Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
Profesa Stefan Dercon amekubaliana na comments nyingi ambazo wana JamiiForums wamekuwa wakitupia hapa tangu enzi za Rais John Pombe Magufuli yupo madarakani.
Sasa kwa kuwa maoni ya nguli huyu wa chuo kikuu cha Oxford umewekwa gazeti, ushauri kwa serikali iwe inachukua hatua haraka maoni ya wanaJF badala ya kusubiri ushauri wa kutoka nje ambao umekuja umechelewa na nchi ina mzigo mzito wa "mamiradi"
SPICE FM
Prof. Stefan Dercon ni mjuzi wa mazingira ya Tanzania kwa kina na pia ameandika kitabu cha Gambling on Development / Kucheza Kamari ya Maendeleo ...
PROF. STEFAN DERCON - GAMBLING ON DEVELOPMENT
Explained : Why Some Countries Win Economically and Others Lose - Prof. Stefan Dercon
Source : SpiceFM
Hakuna kitu zaidi ya kurudishana nyuma tu