Profesa wa Chuo Kikuu Oxford amshauri Rais Samia kuhusu miradi aliyoianzisha Hayati Magufuli kwa pupa

Profesa wa Chuo Kikuu Oxford amshauri Rais Samia kuhusu miradi aliyoianzisha Hayati Magufuli kwa pupa

Profesa wa Uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Oxford amemshauri serikali ya Samia kuwa na uangalifu kuhusiana na kutekeleza miradi mikubwa aliyoianzisha Magufuli kwa pupa kwa kuwa inaweza kuliingiza taifa kwenye madeni makubwa yatakayoathiri uchumi wake

Magufuli alipoingia madarakani alianzisha miradi mingi kwa fujo kama vile kuhamia Dodoma, ununuzi wa ndege kwa fujo, ujenzi wa SGR, ujenzi wa bwawa la Nyerere huku akihadaa wananchi wasio na uelewa kuwa miradi hiyo yote inatekelezwa kwa fedha za ndani

Hadi sasa deni la taifa linakribia kufikia trilioni 100 kutokana na miradi hiyo kutumia fedha nyingi, na hakuna uhakika itakamilika lini

View attachment 2497178
Huyu Profesa kutoka Oxford anatupenda sana watanzania, kuliko alivyotupenda Magufuli! Anatuonea huruma - anatamani bwawa la Nyerere lifukiwe lisiendelee tuepushe deni! Dodoma kuhamia kusitishwe, watu (na ofisi) warudi Dar na SGR tuifumue tuuze vyuma chakavu angalau turudishe nusu hasara! Huyu ni Profesa amefanya utafiti ameona tutaingia matatani! Ameona hatupaswi kufanya jambo lolote la maendeleo hapa tutakuwa masikini sababu ya maendeleo! Tumuamini, maana ni Profesa, tena ni mzungu!
 
Huyu Profesa kutoka Oxford anatupenda sana watanzania, kuliko alivyotupenda Magufuli! Anatuonea huruma - anatamani bwawa la Nyerere lifukiwe lisiendelee tuepushe deni! Dodoma kuhamia kusitishwe, watu (na ofisi) warudi Dar na SGR tuifumue tuuze vyuma chakavu angalau turudishe nusu hasara! Huyu ni Profesa amefanya utafiti ameona tutaingia matatani! Ameona hatupaswi kufanya jambo lolote la maendeleo hapa tutakuwa masikini sababu ya maendeleo! Tumuamini, maana ni Profesa, tena ni mzungu!
Umenikumbusha! Ni mzungu sawa na Tony Blair. Ni mshauri mzuri sana na ni vizuri kupendwa na wazungu. Yawezekana hata hili ni matokeo ya Royal tour!
 
Mradi wa kuhamia Dodoma unaweza kusitishwa kwa muda wa miaka 10 mingine ikamilike kwanza, majengo hayaharibiki.

Hili walifanyie kazi maana ulimwengu wa kidigitali kambi / ofisi popote hivyo waliobaki Dar es Salaam wasihamie Dodoma ili serikali ipate nafuu ya matumizi haya yasiyo ya lazima.

Pia hakuna ulazima wa ofisi zote kuhamia Dodoma .
 
Sasa kama mmelipwa,muacheni huyo father apumzike kwa amani asee
Kwa kuna aliyeenda kufukua kaburi lake? Nani amekwambia huko aliko amepumzika kwa amani na watu wanapotema nyongo zao kuhusu madhila aliyowasababishia kunamkosesha amani huko alikozikwa.
Acha watu wateme nyongo, they are not breaking country's laws.
 
Profesa wa Uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Oxford amemshauri serikali ya Samia kuwa na uangalifu kuhusiana na kutekeleza miradi mikubwa aliyoianzisha Magufuli kwa pupa kwa kuwa inaweza kuliingiza taifa kwenye madeni makubwa yatakayoathiri uchumi wake

Magufuli alipoingia madarakani alianzisha miradi mingi kwa fujo kama vile kuhamia Dodoma, ununuzi wa ndege kwa fujo, ujenzi wa SGR, ujenzi wa bwawa la Nyerere huku akihadaa wananchi wasio na uelewa kuwa miradi hiyo yote inatekelezwa kwa fedha za ndani

Hadi sasa deni la taifa linakribia kufikia trilioni 100 kutokana na miradi hiyo kutumia fedha nyingi, na hakuna uhakika itakamilika lini

View attachment 2497178
Ushauri wa mkoloni?It has never been so akward.Huo sio ushauri,Ni ndoano.
 
Profesa wa Uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Oxford amemshauri serikali ya Samia kuwa na uangalifu kuhusiana na kutekeleza miradi mikubwa aliyoianzisha Magufuli kwa pupa kwa kuwa inaweza kuliingiza taifa kwenye madeni makubwa yatakayoathiri uchumi wake

Magufuli alipoingia madarakani alianzisha miradi mingi kwa fujo kama vile kuhamia Dodoma, ununuzi wa ndege kwa fujo, ujenzi wa SGR, ujenzi wa bwawa la Nyerere huku akihadaa wananchi wasio na uelewa kuwa miradi hiyo yote inatekelezwa kwa fedha za ndani

Hadi sasa deni la taifa linakribia kufikia trilioni 100 kutokana na miradi hiyo kutumia fedha nyingi, na hakuna uhakika itakamilika lini

View attachment 2497178
Huyo profesa ushuzi mwenye wivu hana lolote. Ndio hayo maprofesa yanapenda kuona Africa ipo nyuma siku zote
 
Wenye taaluma zetu bora za uchumi tulishauri hili siku nyingi Sana.

 
Hii miradi ilikuwa na ten pasenti za Jiwe, Bashiru, Polepole, Dotto James, Kijazi na Mfugale na Kalemani.

Tunamuomba mama aiondoe kampuni ya ndege ikulu, ikaguliwe. Uwanja wa ndege Mwanza ni godown, lakini inasemekana ni la bilioni 9.

Masoko yote yachunguzwe, stendi zote, unaambiwa stendi ya JPM mbezi bilioni karibu sabini, hiyo fedha inajenga stendi tatu kama hizo.

Ndio maana Hilo kundi lilikuwa linaipigia kelele miradi hiyo, sio kwamba waliipenda nchi, hapana, walikuwa na vikampuni vyao vina subcontract.

Naona aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa dodoma baadae akahamishiwa njombe ndugu Mtaka alikuwa anajilia tenda za kuuzia serikali matofali kwa kupitia kampuni ya mkwewe wa GRONECY HOTEL, Morogoro,
Wenye taaluma zetu bora za uchumi tulishauri siku nyingi mno.

 
Profesa wa Uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Oxford amemshauri serikali ya Samia kuwa na uangalifu kuhusiana na kutekeleza miradi mikubwa aliyoianzisha Magufuli kwa pupa kwa kuwa inaweza kuliingiza taifa kwenye madeni makubwa yatakayoathiri uchumi wake

Magufuli alipoingia madarakani alianzisha miradi mingi kwa fujo kama vile kuhamia Dodoma, ununuzi wa ndege kwa fujo, ujenzi wa SGR, ujenzi wa bwawa la Nyerere huku akihadaa wananchi wasio na uelewa kuwa miradi hiyo yote inatekelezwa kwa fedha za ndani

Hadi sasa deni la taifa linakribia kufikia trilioni 100 kutokana na miradi hiyo kutumia fedha nyingi, na hakuna uhakika itakamilika lini

View attachment 2497178
Hili jambo Rais analijua maana na yeye alikuwepo.kwenye utawala wa Magufuli aliona ambavyo hiyo miradi yake Ili u stress Uchumi na ku paralyse sekta zingine..

But naunga mkono hoja ya Kukopa ila watafute mikopo yenye masharti nafuu zaidi kuliko kutumia mapato ya ndani..

Ukiangalia Kwa Sasa Afya ya uchumi Ina nafuu kuliko tulikotoka na Bado naamini strategy ya Rais ya kuvutia wawekezaji walau inamlipa .

Mfano ndani ya miaka 2 ,mapato ya TRA yameongezeka Kwa bil.750 kutoka 1.2T Hadi 1.95T ,hii inaonesha uchumi unafanya vizuri.
 
Wasimchanganye. Wanataka kumtoa kwenye reli maana wanajua ni wale wa kujipendekeza kwa wazungu.
Miradi wala sio ya magafuli ila ni ilani za chama cha mapinduzi. Mama ashikilie tu usukani hakuna mradi wowote utakua wa hasara. Wao wanapofikiria hasara wanafikiria muwekezaji binafsi lakini miradi yetu ni ya umma. Haijaanzishwa kiwazimu. Faida zake mingi ni ya kuonekana muda mfupi na mingi muda mrefu.
Hakuna ilani iliyosemaga itajengwa bwawa wala haipo,pili kwenye Sgr ilani ilisema ujenzi ungekuwa wa ppp na machina alishapewa tenda Mwendazake ndio alibadili ndio maana mzigo unakuwa mkubwa
 
Through my doctorates of philosophy in economics,
Katika kutekeleza miradi hii ya pupa, tuigawe katika makundi mawili, ile itakayoleta tija haraka na ile ambayo tija yake itachukuwa muda mrefu, tukazane na hiyo ambayo italeta tija haraka au faida, ile ambayo tija yake iko mbali itekelezwe polepole mno, mfano, midege mikubwa tuiuze, na fedha ziingizwe kwenye SGR. 😁😁😁
 
Huyo Proffesor wa Oxford kwa nini asimshauri waziri mkuu wa Uingereza Rish Sunak jinsi ya kurekebisha uchumi unaoyumba kwa sasa!

Kutokana na mradi mkubwa wa upanuzi wa mfumo wa treni za mwedokasi nchini kwake Uingereza!

Sio kila msomi ni muelewa wa mambo anayoshairi.kina Dk Musukuma wapo hata Ulaya!

Huyu amewekwa hapo,kuna Kitu tunaenda kupigwa na Msoga Team verry Soon!

Mark my words!
[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957] ameshafanga hiyo kazi,,Sunak mwenyewe ni Mchumi
 
Nyerere aliwahi kutuambia ukiona beberu anakusifia sana jiulize umekosea wapi. Pia magufuli aliwahi kunukuliwa kwamba ukiona beberu anakukosoa basi jua umemtandika penye mshono. Sasa huto samaiah achague mwenyewe, kusifiwa au kukosolewa na beberu.
Zote ya zote yakuambiwa changanya na zako!, namwamini Rais wangu sioni PA kumyumbisha.
 
Profesa wa Uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Oxford amemshauri serikali ya Samia kuwa na uangalifu kuhusiana na kutekeleza miradi mikubwa aliyoianzisha Magufuli kwa pupa kwa kuwa inaweza kuliingiza taifa kwenye madeni makubwa yatakayoathiri uchumi wake

Magufuli alipoingia madarakani alianzisha miradi mingi kwa fujo kama vile kuhamia Dodoma, ununuzi wa ndege kwa fujo, ujenzi wa SGR, ujenzi wa bwawa la Nyerere huku akihadaa wananchi wasio na uelewa kuwa miradi hiyo yote inatekelezwa kwa fedha za ndani

Hadi sasa deni la taifa linakribia kufikia trilioni 100 kutokana na miradi hiyo kutumia fedha nyingi, na hakuna uhakika itakamilika lini

View attachment 2497178
Viability ys Stieglers Gorge project ilikuwa derived na Consultants wa mebeberu hawo hawo zamani za 1986. The original idea ilikuwa ni kuunganisha Inga Zaire na Caborra Basa Msumbiji into one power pool wateja wake katika nchi hizo. Hii ingetukwamua for centuries na mabeberu wakaona hivyo. Wakakataa kutekeleza (yaani wakavunja mkataba) kwa sababu "it's too big for you", essentially sababu hizi hizi anazotoa huyu. Watatupiga vita hadi majogoo. Hawaja kataa na unfortunately jirani zetu Kenya wanatupiga vita sana. Kumbukeni, mathalani, kwamba SGR yao ni ya dizeli hawawezi kucompete. Pia kumbuka kuwa hawana umeme wa uhakika bila gesi ya Tanzania (na powerpool ya Stieglers)kwa hiyo you can imagine how they are feeling hasa baada ya oilpipeline ya Uganda kwenda Tanga. Bahati mbaya humu humu tunao CHADEMA ambao wako tayari to throw any spanner in the works ili wapate tumehuru.
 
Viability ys Stieglers Gorge project ilikuwa derived na Consultants wa mebeberu hawo hawo zamani za 1986. The original idea ilikuwa ni kuunganisha Inga Zaire na Caborra Basa Msumbiji into one power pool wateja wake katika nchi hizo. Hii ingetukwamua for centuries na mabeberu wakaona hivyo. Wakakataa kutekeleza (yaani wakavunja mkataba) kwa sababu "it's too big for you", essentially sababu hizi hizi anazotoa huyu. Watatupiga vita hadi majogoo. Hawaja kataa na unfortunately jirani zetu Kenya wanatupiga vita sana. Kumbukeni, mathalani, kwamba SGR yao ni ya dizeli hawawezi kucompete. Pia kumbuka kuwa hawana umeme wa uhakika bila gesi ya Tanzania (na powerpool ya Stieglers)kwa hiyo you can imagine how they are feeling hasa baada ya oilpipeline ya Uganda kwenda Tanga. Bahati mbaya humu humu tunao CHADEMA ambao wako tayari to throw any spanner in the works ili wapate tumehuru.
Goodies enumerations indeeds!
 
Profesa wa Uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Oxford amemshauri serikali ya Samia kuwa na uangalifu kuhusiana na kutekeleza miradi mikubwa aliyoianzisha Magufuli kwa pupa kwa kuwa inaweza kuliingiza taifa kwenye madeni makubwa yatakayoathiri uchumi wake

Magufuli alipoingia madarakani alianzisha miradi mingi kwa fujo kama vile kuhamia Dodoma, ununuzi wa ndege kwa fujo, ujenzi wa SGR, ujenzi wa bwawa la Nyerere huku akihadaa wananchi wasio na uelewa kuwa miradi hiyo yote inatekelezwa kwa fedha za ndani

Hadi sasa deni la taifa linakribia kufikia trilioni 100 kutokana na miradi hiyo kutumia fedha nyingi, na hakuna uhakika itakamilika lini

View attachment 2497178duh
Hii miradi ilikuwa na ten pasenti za Jiwe, Bashiru, Polepole, Dotto James, Kijazi na Mfugale na Kalemani.

Tunamuomba mama aiondoe kampuni ya ndege ikulu, ikaguliwe. Uwanja wa ndege Mwanza ni godown, lakini inasemekana ni la bilioni 9.

Masoko yote yachunguzwe, stendi zote, unaambiwa stendi ya JPM mbezi bilioni karibu sabini, hiyo fedha inajenga stendi tatu kama hizo.

Ndio maana Hilo kundi lilikuwa linaipigia kelele miradi hiyo, sio kwamba waliipenda nchi, hapana, walikuwa na vikampuni vyao vina subcontract.

Naona aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa dodoma baadae akahamishiwa njombe ndugu Mtaka alikuwa anajilia tenda za kuuzia serikali matofali kwa kupitia kampuni ya mkwewe wa GRONECY HOTEL, Morogoro,
🤮🤮
 
Back
Top Bottom