Hassan Mambosasa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 3,359
- 4,528
Hao jamaa ukiona mahali wanapapiga vita sana jua kuna uwezekano kutakuja kubana maslahi yao, hawajawahi kuwa na nia nzuri kaa waafrika zaidi ya unafiki mwingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Profesa wa Uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Oxford
Professor of Economic Policy ... Risk, crop choice, and savings: Evidence from Tanzania. S Dercon. He has worked extensively in Ethiopia and Tanzania, as well as in India, Peru, ..
heko sana,hapo JPM hakukurupuka ilo ni daraja muhimu sana.Vipi daraja la busisi..
Kha!Huyu Magufuli inawezekana alikuwa na IQ kubwa sana kiasi kwamba vilaza wengi humumuelewi .RIP
Kwani corona ndio iliyomng'oa magufuli?Mradi wa kumtia mimba mama yako. Sasa kama mlimuua kwa kigezo cha Corona ili mumpore kibali chake kuwepo hapa duniani kuwapa ahueni watu wa Mungu mlitegemea aimalize akiwa kaburini? 🤣
Ngoja wafuasi wake waje!!Profesa wa Uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Oxford amemshauri serikali ya Samia kuwa na uangalifu kuhusiana na kutekeleza miradi mikubwa aliyoianzisha Magufuli kwa pupa kwa kuwa inaweza kuliingiza taifa kwenye madeni makubwa yatakayoathiri uchumi wake
Magufuli alipoingia madarakani alianzisha miradi mingi kwa fujo kama vile kuhamia Dodoma, ununuzi wa ndege kwa fujo, ujenzi wa SGR, ujenzi wa bwawa la Nyerere huku akihadaa wananchi wasio na uelewa kuwa miradi hiyo yote inatekelezwa kwa fedha za ndani
Hadi sasa deni la taifa linakribia kufikia trilioni 100 kutokana na miradi hiyo kutumia fedha nyingi, na hakuna uhakika itakamilika lini
View attachment 2497178
Shikamoo voicer.ukiona beberu linatia mapoz ya ajabu ajabu ujue kuna demu kapack pembeniHuyo Proffesor wa Oxford kwa nini asimshauri waziri mkuu wa Uingereza Rish Sunak jinsi ya kurekebisha uchumi unaoyumba kwa sasa!
Kutokana na mradi mkubwa wa upanuzi wa mfumo wa treni za mwedokasi nchini kwake Uingereza!
Sio kila msomi ni muelewa wa mambo anayoshairi.kina Dk Musukuma wapo hata Ulaya!
Huyu amewekwa hapo,kuna Kitu tunaenda kupigwa na Msoga Team verry Soon!
Mark my words!
Magu amemuachia mama msala maana ana jinsi maana hii miladi imeshakula pesa nyingi sana za mikopo na ili tuimalizie inabidi tuendelee kukopa. Huu ni msala babu kunwaHakuna namna miradi yote lazima iishe tuu especially SGR, bwawa la umeme na Busisi, yale mandege sijali hata wakitaka waje wayachukue tuu
Huenda alikuwa Kiasi kikubwa cha akili yaani Intelligence Quotient (IQ) akakosa kabisa kiwango cha Kihisia yaani Emotional Quotient (EQ) na Kiwango cha Kijamii yaani Social Quotient (SQ)Huyu Magufuli inawezekana alikuwa na IQ kubwa sana kiasi kwamba vilaza wengi humumuelewi .RIP
Yule bwana angekuwepo angesema mabeberu hawataki tuendelee, na angepigiwa makofi.Profesa wa Uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Oxford amemshauri serikali ya Samia kuwa na uangalifu kuhusiana na kutekeleza miradi mikubwa aliyoianzisha Magufuli kwa pupa kwa kuwa inaweza kuliingiza taifa kwenye madeni makubwa yatakayoathiri uchumi wake
Magufuli alipoingia madarakani alianzisha miradi mingi kwa fujo kama vile kuhamia Dodoma, ununuzi wa ndege kwa fujo, ujenzi wa SGR, ujenzi wa bwawa la Nyerere huku akihadaa wananchi wasio na uelewa kuwa miradi hiyo yote inatekelezwa kwa fedha za ndani
Hadi sasa deni la taifa linakribia kufikia trilioni 100 kutokana na miradi hiyo kutumia fedha nyingi, na hakuna uhakika itakamilika lini
View attachment 2497178
Atubu kwa kuwatumbua nyie vyeti feki au kwa kipi?Kama hakuacha amani ambayo ingemsindikiza huko aliko kwa amani, atapumzikaje kwa amani? Yaani kama kaburi lake lina masikio, kwa aliyoyafanya, kelele hizi zitamnyima amani
Na bahati baya hawezi kuamka kuomba radhi na kutubu.
Katuharibia sana nchi yetu, hatutamuacha kamweSasa kama mmelipwa,muacheni huyo father apumzike kwa amani asee
Hapana, huyo ni fugitiveAtubu kwa kuwatumbua nyie vyeti feki au kwa kipi?
duh!.Katuharibia sana nchi yetu, hatutamuacha kamwe