Profesa wa Chuo Kikuu Oxford amshauri Rais Samia kuhusu miradi aliyoianzisha Hayati Magufuli kwa pupa

Profesa wa Chuo Kikuu Oxford amshauri Rais Samia kuhusu miradi aliyoianzisha Hayati Magufuli kwa pupa

Sijawahi kuona nchi inapata maendeleo bila kuwa na uwekezaji ktk miundombinu na miradi ya maendeleo. Kamwe haiwezekani. Kukopa hela za covid sawa, kukopa za miundombinu dhambi....

Akili za kuambiwa changanya na zako... Mabeberu na makaburu, hata na vibaraka wao, wanahaha sana kuona miradi kabambe kama bwawa la Nyerere, madaraja, ndege na viwanja vyake, SGR nk inasonga mbele.

Siku zote tajiri atataka maskini aendelee kuwa maskini ili abaki kuwa tegemezi na fursa kwa kumpatia huduma muhimu.
Kama tungefanya hiyo miladi kwa pesa zetu za ndani, unafikili kungekuwa na kelele zozote??
 
Profesa wa Uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Oxford amemshauri serikali ya Samia kuwa na uangalifu kuhusiana na kutekeleza miradi mikubwa aliyoianzisha Magufuli kwa pupa kwa kuwa inaweza kuliingiza taifa kwenye madeni makubwa yatakayoathiri uchumi wake

Magufuli alipoingia madarakani alianzisha miradi mingi kwa fujo kama vile kuhamia Dodoma, ununuzi wa ndege kwa fujo, ujenzi wa SGR, ujenzi wa bwawa la Nyerere huku akihadaa wananchi wasio na uelewa kuwa miradi hiyo yote inatekelezwa kwa fedha za ndani

Hadi sasa deni la taifa linakribia kufikia trilioni 100 kutokana na miradi hiyo kutumia fedha nyingi, na hakuna uhakika itakamilika lini

View attachment 2497178


Maprofesa wetu wa uchumi wanasemaje??
 
Hii miradi ilikuwa na ten pasenti za Jiwe, Bashiru, Polepole, Dotto James, Kijazi na Mfugale na Kalemani.

Tunamuomba mama aiondoe kampuni ya ndege ikulu, ikaguliwe.
Uwanja wa ndege Mwanza ni godown, lakini inasemekana ni la bilioni 9.

Masoko yote yachunguzwe, stendi zote, unaambiwa stendi ya JPM mbezi bilioni karibu sabini, hiyo fedha inajenga stendi tatu kama hizo.


Ndio maana Hilo kundi lilikuwa linaipigia kelele miradi hiyo, sio kwamba waliipenda nchi, hapana, walikuwa na vikampuni vyao vina subcontract.

Naona aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa dodoma baadae akahamishiwa njombe ndugu Mtaka alikuwa anajilia tenda za kuuzia serikali matofali kwa kupitia kampuni ya mkwewe wa GRONECY HOTEL, Morogoro,
Kumbe gronecey hoteli ni mkewe mtaka?
 
Hata wakiwa na lakusema haisaidii kitu maana katiba yetu pendwa haimlazimishi rais kufuata ushauri wa mtu/taasisi au ushauri wa aina yoyote ile


Swala hapa sio ama ushauri utapokelewa au laa bali swala ni; kwanini maprifesa wetu wapo kimya??--- ni aibu mtu wa nje aje akushauri jambo wskati ndani unao watu wanaoweza kukushauri.
 
Swala hapa sio ama ushauri utapokelewa au laa bali swala ni; kwanini maprifesa wetu wapo kimya??--- ni aibu mtu wa nje aje akushauri jambo wskati ndani unao watu wanaoweza kukushauri.
Tatizo la sisi wabongo ni kutaka maendeleo bila kupata maumivu! Hata nyumbani kwako uanataka kupiga hatua katoka hatua fulani lazima ujibane na ulifanye kulingana na mahitaji ya mda huo! Ila vichwa naji wanataka taifa lisifanye miradi kisa Mzungu kashauri!
Huyo mzungu hana uchungu na taifa hili yeye yuko kwa ajili ya masrahi yake na watu wa huko ulaya! Tunajua wazungu wanapinga kila kitu mwafrika anachofanya! mfano bomba la mafuta la Hoima Uganda kwenda Chongoleani Tanga Tanzania wamepinga sana mpaka wanachapisha mabango!
 
Swala hapa sio ama ushauri utapokelewa au laa bali swala ni; kwanini maprifesa wetu wapo kimya??--- ni aibu mtu wa nje aje akushauri jambo wskati ndani unao watu wanaoweza kukushauri.
Maprofesa wetu bado wana muweweseko maana awamu ilihopita ulikuwa ukitoa ushauri ambao mzee baba haupendi, ulikuwa unapoteza ajira au unapotezwa wewe mwenyewe
 
Maprofesa wetu bado wana hofu sana maana awamu ilihopita ulikuea ukitoa ushauri ambao mzee baba haupendi, ulikuwa unapoteza ajira au unapotezwa wewe mwenyewe
Hakuna mtu atakuja kukusaidia hata ukosee! Huyo Profesor anaongea lakini tusipowekeza na kupata matatizo atakuja hapa kusema tatizo la viongozi wa Kiafrika huwa hawawekezi kwenye vitu vya msingi! Hata China na nchi zingine za Asia ziliamua kufanya maendeleo bila kusitasita
 
Profesa wa Uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Oxford amemshauri serikali ya Samia kuwa na uangalifu kuhusiana na kutekeleza miradi mikubwa aliyoianzisha Magufuli kwa pupa kwa kuwa inaweza kuliingiza taifa kwenye madeni makubwa yatakayoathiri uchumi wake

Magufuli alipoingia madarakani alianzisha miradi mingi kwa fujo kama vile kuhamia Dodoma, ununuzi wa ndege kwa fujo, ujenzi wa SGR, ujenzi wa bwawa la Nyerere huku akihadaa wananchi wasio na uelewa kuwa miradi hiyo yote inatekelezwa kwa fedha za ndani

Hadi sasa deni la taifa linakribia kufikia trilioni 100 kutokana na miradi hiyo kutumia fedha nyingi, na hakuna uhakika itakamilika lini

View attachment 2497178
Wazungu huwa hawarembi, hutaki unaacha
 
Profesa wa Uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Oxford amemshauri serikali ya Samia kuwa na uangalifu kuhusiana na kutekeleza miradi mikubwa aliyoianzisha Magufuli kwa pupa kwa kuwa inaweza kuliingiza taifa kwenye madeni makubwa yatakayoathiri uchumi wake

Magufuli alipoingia madarakani alianzisha miradi mingi kwa fujo kama vile kuhamia Dodoma, ununuzi wa ndege kwa fujo, ujenzi wa SGR, ujenzi wa bwawa la Nyerere huku akihadaa wananchi wasio na uelewa kuwa miradi hiyo yote inatekelezwa kwa fedha za ndani

Hadi sasa deni la taifa linakribia kufikia trilioni 100 kutokana na miradi hiyo kutumia fedha nyingi, na hakuna uhakika itakamilika lini

View attachment 2497178
Kwapupa kutokana na akili ya mtu nipupa kwa akili ya samia ila kwa big brain ya magufuli ilikuwa siyo pupa ....tatizo ni uwezo wa kiakili wa mtu
 
Hakuna mtu atakuja kukusaidia hata ukosee! Huyo Profesor anaongea lakini tusipowekeza na kupata matatizo atakuja hapa kusema tatizo la viongozi wa Kiafrika huwa hawawekezi kwenye vitu vya msingi! Hata China na nchi zingine za Asia ziliamua kufanya maendeleo bila kusitasita
Nafikili unashidwa kuelewa baadhi ya mambo, kufanya maendelea hakuna mtu anayekukataza. Hao unaowataja hapa wamefanya maendeleo kwa pesa zao za ndani sio kwa kukulupuka kama mzee magu. Miladi mikubwa unaifanya kwa kubalansi uchumi wako kwanza tena mladi mmoja baada ya mmoja sio mamiladi mingi wakati ela hauna. Inakuwa huo ni ukichaa
 
SAMIA NA MARIDHIANO, KAMARI YA KUELEKEA MAENDELEO MAKUBWA YA KUSHANGAZA YA NCHI
PROF. STEFAN DERCON - GAMBLING ON DEVELOPMENT
Explained : Why Some Countries Win Economically and Others Lose - Prof. Stefan Dercon


Source : SpiceFM

Rais Samia Hassan ameamua liwalo na liwe hata kama chama chake kitashindwa viti vingi vya ubunge au hata urais yote ni anataka kujenga maridhiano ambayo hatimaye yataweka uwanja mzuri wa Tanzania kupiga hatua kubwa ya Maendeleo ya Watu na Maendeleo ya Vitu hicho ndicho profesa Stefan Dercon anaelezea ndiyo njia sahihi nchi kuelekea kupata maendeleo endelevu.

Profesa Stefan Dercon katika mahojiano mbalimbali anasema uwezo wa kiuongozi kuwashawishi wadau wote ikiwemo wapinzani, wafanyabiashara, wasomi wa nchi n.k kufunguka kuelezea wanataka nchi yao iende vipi ndiyo muarubaini wa kutia chachu maendeleo yapatikane na siyo kuwa na staili ya kiongozi mfalme anayeamrisha na kuburuza watu kuwa njia hii ndiyo ya kuelekea kupata maendeleo.

Profesa Stefan Dercon anaongeza kuwa kiongozi akiweza kushawishi makundi yote ndani mwa nchi kisha akatumia staili hiyo kushawishi wadau wa Maendeleo kutoka nchi haijalishi kama ni kukopa kutoka IMF, World Bank n.k bali ni jinsi atakavyoweza kutumia rasilimali hiyo ya mikopo kwa kufuata maoni ya wadau wa ndani ndiyo itakayokuwa dawa ya kasi ya kweli ya maendeleo kupatikana tofauti na maamuzi ya mtu mmoja ambaye hataki kusikiliza wengine wana maoni gani mikopo na rasilimal8 fedha za kodi zitumike vipi.

Profesa Stefan Dercon anaongeza kuwa,nchi kama China uongozi wake ulitumia ushawishi kuwasikiliza wadau wa ndani kuwa nchi yao katika miaka 40 iliyopita waende vipi na ndiyo maana maendeleo endelevu yanaendelea katika nchi hiyo ya China na pia kukinusuru chama cha kikomunisti cha China kunusurika kupotea.


5463E756-A803-4A9B-9FE4-AF4CC2044470.jpeg

Picha toka maktaba.

Nguli huyu katika mihadhara yake mingi anasema uwezo wa kiuongozi ngazi ya kisiasa au kampuni ni jinsi kiongozi anavyoweza kuwa na ushawishi wa kuwaita wadau wote katika meza ili timu hiyo mchanganyiko iweze kuleta mawazo makubwa nchi iendelee mbele kubwa ni mazingira ya utulivu ambayo kiongozi anaweza kuyashawishi, basi hakuna lisilowezekana kubwa sana kupatikana lakini mabavu, kuziba uwazi, kukaba sauti za wengine zisisikike n.k nchi au kampuni haiwezi kuwa na maamuzi sahihi endelevu kwa kutegemea mtu mmoja.

Nchi zote kama China, Malaysia, Singapore, Dubai n.k kwa nje kunaonekana kama kuna kinara mmoja aliyesababisha mabadiliko makubwa ya haraka ya kiuchumi lakini sivyo hivyo bali kulikuwapo kundi kubwa la wadau waliishirikishwa na wanaendelea kushirikishwa kwa maneno mengine kuna 'maridhiano' ukipenda neno jepesi ndiyo imefanya na kufanya nchi hizo kuendelea kufanya makubwa.

TAASISI IMARA ZA KUSAIDIA MFUMO WA MAAMUZI


N.B
Wahafidhina na ma chawa mnaombwa mtulie mazungumzo ya maridhiano yataleta mambo makubwa ikiwemo katiba mpya (maridhiano), uchumi mkubwa utakaokuwa una mguso ktk kila waleti na pochi ya mtu mzima na familia zao pia utulivu na amani ya kweli katika nchi na kushawishi wadau wa maendeleo kutoka nje haijalishi masharti gani magumu ya mikopo michache tutakayo chukua lakini itatumika tulivyokubaliana ktk maridhiano na matokeo chanya yatapatikana bila kujali vyama au nani yupo Ikulu.
 
Profesa wa Uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Oxford amemshauri serikali ya Samia kuwa na uangalifu kuhusiana na kutekeleza miradi mikubwa aliyoianzisha Magufuli kwa pupa kwa kuwa inaweza kuliingiza taifa kwenye madeni makubwa yatakayoathiri uchumi wake

Magufuli alipoingia madarakani alianzisha miradi mingi kwa fujo kama vile kuhamia Dodoma, ununuzi wa ndege kwa fujo, ujenzi wa SGR, ujenzi wa bwawa la Nyerere huku akihadaa wananchi wasio na uelewa kuwa miradi hiyo yote inatekelezwa kwa fedha za ndani

Hadi sasa deni la taifa linakribia kufikia trilioni 100 kutokana na miradi hiyo kutumia fedha nyingi, na hakuna uhakika itakamilika lini

View attachment 2497178
Akafie mbali na ushauri mbovu wenye wivu ndani yake. Kwa hao waingereza na wamarekani maendeleo waliyapata bila mikopo. Walipaji ni wananchi watanzania deni nilao cha msingi mikopo hiyo ionekane imefanya kitu gani cha kimaendeleo na cha kujivunia.
 
Mambo ya JPM yalikuwa ya hovyohovyo, kwa mara ya kwanza mkuu wa Mkoa anagombania ghorofa la mabilioni Masaki. Mshahara wa mkuu wa Mkoa hauzidi milioni tano.
Mbowe ameifadhili chadema mabilioni ya fedha anayatoa wapi?
 
Nadhani wangeacha ununuzi wa ndege. Kwenye usafiri wa anga wavutie wawekezaji kama fastjet warudi.

Pesa hiyo inayopelekwa kununulia ndege zinazoliingizia Taifa hasara kila mwaka, zote zipelekwe kwenye reli.

Kiuhalisia na kwa faida za kiuchumi, ujenzi wa reli, barabara na madaraja ilikuwa sahihi. Vingine vingefuata taratibu.
Huna akili ,kuna nchi gani haina ndege?
 
Back
Top Bottom