Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Lakini alikuwa mlevi sana enzi hizo. Bado namkumbuka. RIP.RIP Prof James Shaba. Alikuwa mzalendo wa kweli na mwanataaluma makini.
Prof wa Kwanza wa Pathology katika East and Central Africa.
Kuna Captains Mazula wawili. Yupi alikuwa jirani yenu?Mkuu Lole, Lole Gwakisa, thanks for this, umenikumbusha mbali, Capt. Mazula tulikuwa tunaishi jirani yetu pale Drive In flats, Mafletini!.
P
Rashid Mfaume Kawawa alikuwa waziri mkuu wa mwisho wa Tanganyika January 1962 mpk 9 December 1962.Wa kwanza wa TANZANIA ni yupi?
Huyo pimbi siyo mlokole ni mlevi mbwa fulani alitumia ujana wake vibaya sasa ni mzee anaishi kwa kudoea pombe. Ana chuki sana na Wachaga anafikiri ndiyo itaondoa umasikini wake.Mkuu please. Acha kusema mbege ni pombe chafu. Dah!
Hata mzee Mengi mwenyewe kwenye sherehe zake aliiweka na alikunywa vilevile.
Huyo unayemjibu ni mkabila nashangaa hujamjuwa.
Ni mlokole ambaye ni mkabila.
Ali gwa kukaja??Kweli wahenga walisema, muda unaongea, na wenzetu walisema, Time Heals!
Ni mwaka 1984, ndiyo kwanza kijana mtanashati, msomi na nimepata kazi nzuri shika la umma.l
Ndo kwanza nimehamishiwa Dar toka mkoani, sasa niko makao makuu ya shirika langu.
Kwa sheria za kazi miaka hiyo nilikuwa -entirled" kupatiwa nyumba.
Kwa vile nilikuwa sijapatiwa nyumba, mwajiri wangu aliniweka hotel kubwa ya kisasa, New Africa Hotel,
Siku hiyo ilikuwa week end mimi niko Bandari Grill, na girlfriend wangu, ambaye atskuja kuwa mke wangu.
Pembeni yangu kama meza ya tatu ,nikamwona mzee mmoja yuko peke yake, akinywa Konyagi, kavu na huku yuko kimya.
Mara wakaingia vijana, kaka zangu, mmoja namfahamu ni Kapteni wa Air Tanzania, lakini yeye hanifahamu.
Nilimfahamu Kapteni George Mazula kwa vile nilikuwa na safari nyingi Mwanza na Musoma miaka hiyo na ndege aina ya Fokker Friendship 50.
Sasa wale vijana kaka zangu wakaingia wakaanza kumzonga yule mzee.
Wakaanza kumcheka wanamwambia "Profesa uko njwii, uko njwii....acha Konyagi Profesa Shaba"
Nikageuka kumtazama huyo mzee, na nikajiuliza, kumbe huyu ndiye Profesa Shaba?
Jina lilikuwa linajulikana sana, lakini mtu mwenyewe mfupi na mwembamba na ndevu za kutosha usoni.
Proffessor akameza fundo la Konyagi akawajibu wale vijana,
"Ninyi vijana, ninyi vijana" na huku akionyesha wazi kuwa kinyaji kimekolea.
"Ninyi vijana mtakuja tu mortuary, mtakuja tu. Nimemwona Sokoine nanyi mtakuja tu"
Wale vijana na Capt Mazula, walitoweka pale kama wamefukuzwa, wote wakaogopa na kutokomea haraka haraka.
Nami nilipigwa butwaa ,lakini nikamsalimia kwa adabu, "shikamoo Proffessor Shaba"
Tukaanza maongeze lakini kwa jinsi nilivyo mchulia kiheshima nikagundua kuwa amekulia Tukuyo na alikuwa anaifahamu familia yangu toka babu yangu.
RIP Proffessor James Shaba, Mungu akuweke mahali pema peponi.
Wewe pimbi nilikuwa najibu post # 46. Soma uelewe usikurupuke pimbi wewe. Soma pia post # 67 Sexless amefafanua vizuri,ndiyo maana mnashindwa mitihani.Bure kabisa
Halafu ndio mshindane na UVCCM zamani TYL?!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani Kawawa wa wapi?!! Duh..
Tutake radhi wanywa mbege tafadhali ndugu SAGAI GALGANO .Sinywi mipombe michafu,wala sina asili ya pombe hiyo.
Kawawa Funika Kikombe 😂😂Wewe pimbi nilikuwa najibu post # 46. Soma uelewe usikurupuke pimbi wewe. Soma pia post # 67 Sexless amefafanua vizuri,ndiyo maana mnashindwa mitihani.
James Shaba na kaka yake Austin Shaba wamekulia Tukuyu na James Shaba kasoma Mpuguso.Ali gwa kukaja??
Alikuwepo pia dr sijui Prof yule kssambala naye alikuwa vzr na alikuwa mtu wa kinywaji piaJames Shaba na kaka yake Austin Shaba wamekulia Tukuyu na James Shaba kasoma Mpuguso.
Wao ni watu walizaliwa nasikia Mtwara au Makawi, baba yao alilosea Tukuyu..
Wenyewe wanasema ilikuwa uzembe wa trafficAmeenda na siri ya tukio, apumzike kwa amani sokoine, apumzike kwa amani prof.
Bila shaka bado mibangi ipo kichwani na hapo unajiona upo kuzimu.Hapana, ni ile miuno aliyonipa maza wako ndiyo ilinipagawisha, bimkubwa anapiga miuno kama feni.
Wengi kama siyo nyie ni wake zenu ambao mumeshahudumiwa na pengine kufanyiwa upasuaji na dokta ambaye yuko maji.Lakini alikuwa mlevi sana enzi hizo. Bado namkumbuka. RIP.
Samahani waungwana wote mnaotumia kinywaji pendwa cha mbege,alinivuruga huyu pimbi mnafiq Jo chapombe asiyejua kununua pombe anaishi kwa offer.