Projects za Mchungaji Kimaro akiwa KKKT Kijitonyama

Safi sana Kimaro!

Kwapiga kwenye mshono! Yani mlitaka aondoke pale usharikani kimyakimya bila kusema?

Aondoke tu akafungue kanisa lake. Kwanza Kimaro sio mchungaji per se ni motivational speaker. Mjungaji huwezi kusema vijana wa dini Fulani sio waaminifu. Umefanya research wapi? Mchungaji alitakiwa awaite vijana awafundishe uaminifu.
 
Ngoma ikivuma sana hupasuka.
 

Huwezi kuleta taratibu zako ndani ya kanisa nankulazimisha zifutwe. Tuwe wa kweli. Kimaro akafungue kanisa lake Basi.
 
Hakuna alichokosea?. Kuwaita KKKT kanisa la madalali na Katoliki kanisa la kweli?. Ukweli ndio Nini? Kesi za ufiraji zipo kanisa gani? Tuache kutetea mambo kisa kasema Fulani. Huyo alitakiwa kufukuzwa kabisa aende huko Katoliki.
Kwenye ufiraji kunahusiana nini na Kanisa? ufiraji ni tabia ya mtu binafsi usichanganye mambo mawili kwa pamoja.
 
Safi sana Kimaro!

Kwapiga kwenye mshono! Yani mlitaka aondoke pale usharikani kimyakimya bila kusema?
Simfahamu,sijawahi kumuona zaidi ya kumsoma hapa.... Nachangia tu kama wengine humu......
 
Tumsubiri huyo Mchungaji Msaidizi kama ataweza kuendesha hizo projects (maana nina uhakika pesa ilikua inatoka kwa waumini ambao wamestuka kwa Dkt Kimaro kupewa likizo na kuhamishwa Kijitonyama.

Ataweza Sana na atafanya makubwa. Maana sio mtu wa mapicha picha.
 
Aondoke tu akafungue kanisa lake. Kwanza Kimaro sio mchungaji per se ni motivational speaker. Mjungaji huwezi kusema vijana wa dini Fulani sio waaminifu. Umefanya research wapi? Mchungaji alitakiwa awaite vijana awafundishe uaminifu.
Acha kufundisha watu unafiki ww. Mnapenda mtu anaye sugur-coat uovu ili iweje.
 

Acheni hizo. Kijitonyama ilikuwepo na itaendelea kuwepo. Kimaro aliikuta na ameiacha.
 

Wewe ndio ziro kabisa. Mfano wa Yesu mbona ni tofauti na Kimaro?. Mchungaji unadai vijana wa kikikristo wote sio waaminifu. Kisa umeibiwa na vijana wako wa kanisani kwako?

Alitakiwa kuaanda semina ya kufundisha vijana kuhusu uamnifu na sio kutoa kauli ya jumla kwa vijjana wote. Yule sio mchungaji ni motivational speaker
 
ukitenda mazuri kwa wanadamu chukizo kwa
wanadamu tena
Chukizo gani, kuna ubaya gani akipelekwa mahali pengine kusambaza neema kama hizo. Yeye ni mchungaji anayeweza kufanya kazi popote pale. Acheni umbeya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…