Kwenye ufiraji kunahusiana nini na Kanisa? ufiraji ni tabia ya mtu binafsi usichanganye mambo mawili kwa pamoja.
Kayataka, kayapata.. Washarika hawamtakiDuuh. Mara hii kaanza kupiga simu mbona mapema? Aendelee alipoishia dkt. Kimaro jamani hizi taasisi zinataka kujitoa na unyenyekevu sasa wewe ukija macho juu lazima macho yakutoke
Sasa ile clip INA shida gani?Nadhani hujamuelewa. Anaongelea clip ya Dr Kimaro akiongea na Kwaya. Itafute ndio utoe conclusion.
Nasisi Mungu asipo tujibu vile tunavyo taka tuendelee na shetani.
Labda wamejaribu kuiga utaratibu wa RC tatizo wamefanya ionekane kama walikuwa na lengo la kum-seize angehamishwa bila kuambiwa habari za mapumziko isingekuwa issue kubwa sana,ukimuangalia huyu Kimaro ana kitu cha ziada ambacho siyo wengi wanacho so upo uwezekano amehamishwa kwenda pengine ili hayo mazuri aliyoyafanya hapo K/nyama akayafanye na huko na ni kitu chema sana ili kuendeleza uinjilishaji na siyo sahihi waumini kuwa wabinafsi kumng'ang'ania mtumishi maana kila mtu anapenda kupata mafundisho mazuri waache na wenzao wakayapate.Kwenye hizi taasisi kuna namna huwa uongozi wa juu hawataki wa chini afanye makubwa yanahoonekana sana? Kisa cha likizo ya siku60 ni nn
Kwenye kitabu cha 48 rules of power , rules ya kwanza inasema.NEVER OUTSHINE YOUR MASTER.Labda wakubwa walishindwa kufanya aliyofanya Kimaro
Acha kufundisha watu unafiki ww. Mnapenda mtu anaye sugur-coat uovu ili iweje.
Tujikumbushe, projects kadhaa ambazo Mchungaji Dkt. Kimaro amezifanya akiwa Mchungaji Kiongozi, KKKT Usharika wa Kijitonyama,
1. School of Healing (Morning & Evening Glory) -Youtube Channel (mwanzoni ikiwa Eliona Kimaro TV baadae KKKT Usharika wa Kijtonyama) inayowafikia watu wote Duniani.
2. TAMASHA LA MBINGU KUJAA SIFA (kila mwaka)
3. Jengo jipya la Sunday School (lililogharimu yapata takribani 200m TZS)
4. Ununuzi wa Kiwanja pembezoni mwa kanisa yapata 300m TZS
5. Kusomesha yatima yapata 100
6. World Pray Online (WPO), Call Centre ya maombi masaa 24, siku 7 za wiki.
NB: Ikumbukwe waliokuwa wanasali hizo Morning & Evening Glory wengi hawakuwa waumini wa KKKT bali wa madhehebu mengine na Waislam kuondoka kwake Dkt Kimaro tutarajie mabadiliko kiasi.
***Mchungaji Kiongozi (Mpya) Anna apewe ushirikiano kuendeleza alipoishia Dkt Kimaro.
👍👍👍🙏Aende akafanye hayo mazuri sehemu nyingine. Hiyo ndio ilikuwa mifumo ya wamisionari. Unapelekwa sehemu ngumu ukiweza kuleta maendeleo ghsfla unajamishwa na kupelekwa sehemubovu zaidi
Kayataka, kayapata.. Washarika hawamtaki
Mimi nikajua Kkkt wana uelewa kidogo, kumbe nako kuna ng'ombe wanaoenda Kanisani kwa sababu ya kumfuata mchungaji fulani kama ilivyo wale ng'ombe wa mwamposa na huko kwa wakina gwajima.Kila usharika KKKT una baraza la wazee, sharika ngapi zimefanya hayo yote? Nenda Usharika wa Sinza, hiyo Youtube Chalinze ikiwa live viewers wakizidi sana 15 na bado wanapambana na Deni mpaka kesho, Mwenge hali kadhalika.
NB: Kimaro hata apelekwe GEZAULOLE ataonyesha maajabu, jiulize kabla ya Kimaro-Knyama hapo Kinyama mbona kulikua jiiiii
Sasa ile clip INA shida gani?
Na mimi nashukuru pia kwa kunielewa.Nashukuru umelielewa hilo. Hayo ndio ungemwambia Kimaro kwamba uaminifu sio suala la dini ni la mtu binafsi. Kusema dini A ni waaminifu na dini B sio waaminifu ni ujinga wa kiwango kikubwa. Uaminifu is personal sio connected kwa religion.
Mjadala umefungwaAcheni hizo. Kijitonyama ilikuwepo na itaendelea kuwepo. Kimaro aliikuta na ameiacha.
Hayo ndio ungemwambia Kimaro kwamba uaminifu sio suala la dini ni la mtu binafsi[emoji817][emoji818]Nashukuru umelielewa hilo. Hayo ndio ungemwambia Kimaro kwamba uaminifu sio suala la dini ni la mtu binafsi. Kusema dini A ni waaminifu na dini B sio waaminifu ni ujinga wa kiwango kikubwa. Uaminifu is personal sio connected kwa religion.
Hii ni kweli kabisa!
Yani hao Viongozi wanataka waumini wasipate badiliko la kimwenendo,
Wanataka waumini wabaki na Ukristo wa jina badala ya mwenendo na tabia?!
Wanajiita Wakristo lakini wachawi, ndugu na ndugu hawaongei miaka nenda , washirikina kama wasio amini
Sasa yanakuja mafundisho mnaleta mikingamo?!
Aibu yenu!
Siku 60 ?
Tunasubiri taarifa ya uchunguzi.
Mnatetea ujinga hadi mnajitoa ufahamu. Unatenganishaje uaminifu na dini wakati dini hiyo hiyo inatusihi tuwe waaminifu.Hayo ndio ungemwambia Kimaro kwamba uaminifu sio suala la dini ni la mtu binafsi[emoji817][emoji818]