HiDEmYiD
JF-Expert Member
- Mar 14, 2018
- 1,893
- 3,640
Kweli tutachomwa na moto lakini kwa degrees tofaut sio kwa makufuru haya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Km sikosei mkuu inasemekana kwamba DNA za nywele huwa hazipotei pindi mtu anapokufaha ha ha madini ni kitu kidgo sana pengine,lakini intention yao kubwa ilikuwa ni kuhifadhi Genetic traits zao ndo mana tunapata wasi wasi wa kuwepo kwa Non coding DNA bases...
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu keratin ndo protein ngumu zaidi na haipotezi DNA sequence zake kwa muda mrefu..Km sikosei mkuu inasemekana kwamba DNA za nywele huwa hazipotei pindi mtu anapokufa
Hii ikoje mkuu na kwa nn iwe nywele
mkuu keratin ndo protein ngumu zaidi na haipotezi DNS sequence zake kwa muda mrefu..
Hiyo ninkwa sababu very strong and rigid when thick, it can be very flexible when very thin.
kwa hiyo kwenye Keratin Traits hazipotei kirahi kama ilivyo kwenye ngozi..
Ngozi ikioza tu basi Sequence inapotea ila sio kwenye keratin.
keratin is a protein, which in turn is made up of amino acids and cysteine disulfide. The latter makes sulfur atoms form a firm structure called disulfide bridges. The levels of the amino acids and disulfide bridges determine what the hair will look like.
Sent using Jamii Forums mobile app
Am sorry bro, me silinganishi binadamu na kiumbe chochote kile, ila nimemlinganisha binadamu na mambo aliyoyafanya na ambayo anaweza kuyafanya. Binafsi nimekuona kama una doubt na uwezo wa binadamu kiasi kwamba umepata article zilizoendana na doubt zako zinazokuonyesha kua haya makubwa ya duniani binadamu hawezifanya so umeamini kua yanatokea kwa hao viumbe and ts even worse that "you actually think that you are created by aliens" (what a tragidy). And by the way, it looks like u've gone through a lot of trouble to believe what you believ, and it doesn't look like you can give it up because I've seen a lot of logics there which you don seem to give a damn about.mkuu,naomba uniambie kazi ya non coding DNA bases au ...
halafu pia swali la kujiuliza hapo ni kwamba ,human technology inakuwa proccessed under Aliens civilization na ndipo mwanadamu anapata vipawa vingi kupitia connection hiyo, na hilo halina ubishi kwani wanasayansi wenyewe wanadhibitisha kuwa "there is a core where we always obtain power,knowledge and inspirations"
Kama mwanadamu amefundishwa how to clone livibgs things ,huoni kuwa hata yeye inaweza kuwa ni product hiyo??
jiulize kwa kini..usikimbilia kujisifia kuwa ndo una knowlege kuzidi animals basi usiamini kuwa cloned..
Unambiwa hivi higher life forms is more intelligent than lower life forms..
human being ni low life form kwa Aliens hence Aliens are able to transforms human DNA into any cloned species..
kama binadamu kaelekezwa how to generate new organisms huoni kuwa kuna possibility flani a kuwa product naye from other beings
Sent using Jamii Forums mobile app
Am sorry bro, me silinganishi binadamu na kiumbe chochote kile, ila nimemlinganisha binadamu na mambo aliyoyafanya na ambayo anaweza kuyafanya. Binafsi nimekuona kama una doubt na uwezo wa binadamu kiasi kwamba umepata article zilizoendana na doubt zako zinazokuonyesha kua haya makubwa ya duniani binadamu hawezifanya so umeamini kua yanatokea kwa hao viumbe and ts even worse that "you actually think that you are created by aliens" (what a tragidy). And by the way, it looks like u've gone through a lot of trouble to believe what you believ, and it doesn't look like you can give it up because I've seen a lot of logics there which you don seem to give a damn about.mkuu,naomba uniambie kazi ya non coding DNA bases au ...
halafu pia swali la kujiuliza hapo ni kwamba ,human technology inakuwa proccessed under Aliens civilization na ndipo mwanadamu anapata vipawa vingi kupitia connection hiyo, na hilo halina ubishi kwani wanasayansi wenyewe wanadhibitisha kuwa "there is a core where we always obtain power,knowledge and inspirations"
Kama mwanadamu amefundishwa how to clone livibgs things ,huoni kuwa hata yeye inaweza kuwa ni product hiyo??
jiulize kwa kini..usikimbilia kujisifia kuwa ndo una knowlege kuzidi animals basi usiamini kuwa cloned..
Unambiwa hivi higher life forms is more intelligent than lower life forms..
human being ni low life form kwa Aliens hence Aliens are able to transforms human DNA into any cloned species..
kama binadamu kaelekezwa how to generate new organisms huoni kuwa kuna possibility flani a kuwa product naye from other beings
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu umesoma characteristics za genetic codes??Mkuu ni wazi kabisa binadam tukafanana kila kitu lakini co alama za vidole
Je kama kweli tume kua clone mbona sijawahi kuona alama za vidole kufanana
What the secret behind this (fingerprint)
ha ha ha well said..Am sorry bro, me silinganishi binadamu na kiumbe chochote kile, ila nimemlinganisha binadamu na mambo aliyoyafanya na ambayo anaweza kuyafanya. Binafsi nimekuona kama una doubt na uwezo wa binadamu kiasi kwamba umepata article zilizoendana na doubt zako zinazokuonyesha kua haya makubwa ya duniani binadamu hawezifanya so umeamini kua yanatokea kwa hao viumbe and ts even worse that "you actually think that you are created by aliens" (what a tragidy). And by the way, it looks like u've gone through a lot of trouble to believe what you believ, and it doesn't look like you can give it up because I've seen a lot of logics there which you don seem to give a damn about.
U've gat a bigger mind bro, don't let fools fool you.
Sent using Jamii Forums mobile app
sawa 😀 😀 ukiwa una tafakari basi usisahau kujiuliza juu ya wàpi tunapata technolojia
Royal families have pure hybrid genetically from Extraterrestrial beings..Shukrani mkuu!
Lakini mkuu jiulize pia na hao alien walitoka wapi????
Kwanza Aliens is hoax never existed ni man made creature of imagination...
Una ushahidi kua Aliens wapo...?
sci-fi movies are there to fantasy your mind...
Human and other living creatures follow the same principles,sci-fi movies are there to fantasy your mind...
Everything can be expressed in whatever form..
Fiction is a mode of present the present ,future as well as the past under hidden codes of simulation..
Life is simulation guided by principles of the Divinr matrix..
Sent using Jamii Forums mobile app
AseeRoyal families have pure hybrid genetically from Extraterrestrial beings..
Consider about ther infiltrations to the governement as well as in the religous groups...
They induce laws to those people who instruct others what to do being guided by formulated laws and principles ,all in all is to keep hidding their traits in order to expand their civilizations..
Sent using Jamii Forums mobile app