Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Km sikosei mkuu inasemekana kwamba DNA za nywele huwa hazipotei pindi mtu anapokufa
Hii ikoje mkuu na kwa nn iwe nywele
mkuu keratin ndo protein ngumu zaidi na haipotezi DNA sequence zake kwa muda mrefu..

Hiyo ni kwa sababu ni very strong and rigid when thick, it can be very flexible when very thin.

kwa hiyo kwenye Keratin Traits hazipotei kirahisi kama ilivyo kwenye ngozi..

Ngozi ikioza tu basi Sequence inapotea ila sio kwenye keratin.

keratin is a protein, which in turn is made up of amino acids and cysteine disulfide. The latter makes sulfur atoms form a firm structure called disulfide bridges. The levels of the amino acids and disulfide bridges determine what the hair will look like.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ni wazi kabisa binadam tukafanana kila kitu lakini co alama za vidole
Je kama kweli tume kua clone mbona sijawahi kuona alama za vidole kufanana
What the secret behind this (fingerprint)
mkuu keratin ndo protein ngumu zaidi na haipotezi DNS sequence zake kwa muda mrefu..

Hiyo ninkwa sababu very strong and rigid when thick, it can be very flexible when very thin.

kwa hiyo kwenye Keratin Traits hazipotei kirahi kama ilivyo kwenye ngozi..

Ngozi ikioza tu basi Sequence inapotea ila sio kwenye keratin.

keratin is a protein, which in turn is made up of amino acids and cysteine disulfide. The latter makes sulfur atoms form a firm structure called disulfide bridges. The levels of the amino acids and disulfide bridges determine what the hair will look like.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu,naomba uniambie kazi ya non coding DNA bases au ...
halafu pia swali la kujiuliza hapo ni kwamba ,human technology inakuwa proccessed under Aliens civilization na ndipo mwanadamu anapata vipawa vingi kupitia connection hiyo, na hilo halina ubishi kwani wanasayansi wenyewe wanadhibitisha kuwa "there is a core where we always obtain power,knowledge and inspirations"

Kama mwanadamu amefundishwa how to clone livibgs things ,huoni kuwa hata yeye inaweza kuwa ni product hiyo??

jiulize kwa kini..usikimbilia kujisifia kuwa ndo una knowlege kuzidi animals basi usiamini kuwa cloned..

Unambiwa hivi higher life forms is more intelligent than lower life forms..
human being ni low life form kwa Aliens hence Aliens are able to transforms human DNA into any cloned species..

kama binadamu kaelekezwa how to generate new organisms huoni kuwa kuna possibility flani a kuwa product naye from other beings

Sent using Jamii Forums mobile app
Am sorry bro, me silinganishi binadamu na kiumbe chochote kile, ila nimemlinganisha binadamu na mambo aliyoyafanya na ambayo anaweza kuyafanya. Binafsi nimekuona kama una doubt na uwezo wa binadamu kiasi kwamba umepata article zilizoendana na doubt zako zinazokuonyesha kua haya makubwa ya duniani binadamu hawezifanya so umeamini kua yanatokea kwa hao viumbe and ts even worse that "you actually think that you are created by aliens" (what a tragidy). And by the way, it looks like u've gone through a lot of trouble to believe what you believ, and it doesn't look like you can give it up because I've seen a lot of logics there which you don seem to give a damn about.

U've gat a bigger mind bro, don't let fools fool you.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu,naomba uniambie kazi ya non coding DNA bases au ...
halafu pia swali la kujiuliza hapo ni kwamba ,human technology inakuwa proccessed under Aliens civilization na ndipo mwanadamu anapata vipawa vingi kupitia connection hiyo, na hilo halina ubishi kwani wanasayansi wenyewe wanadhibitisha kuwa "there is a core where we always obtain power,knowledge and inspirations"

Kama mwanadamu amefundishwa how to clone livibgs things ,huoni kuwa hata yeye inaweza kuwa ni product hiyo??

jiulize kwa kini..usikimbilia kujisifia kuwa ndo una knowlege kuzidi animals basi usiamini kuwa cloned..

Unambiwa hivi higher life forms is more intelligent than lower life forms..
human being ni low life form kwa Aliens hence Aliens are able to transforms human DNA into any cloned species..

kama binadamu kaelekezwa how to generate new organisms huoni kuwa kuna possibility flani a kuwa product naye from other beings

Sent using Jamii Forums mobile app
Am sorry bro, me silinganishi binadamu na kiumbe chochote kile, ila nimemlinganisha binadamu na mambo aliyoyafanya na ambayo anaweza kuyafanya. Binafsi nimekuona kama una doubt na uwezo wa binadamu kiasi kwamba umepata article zilizoendana na doubt zako zinazokuonyesha kua haya makubwa ya duniani binadamu hawezifanya so umeamini kua yanatokea kwa hao viumbe and ts even worse that "you actually think that you are created by aliens" (what a tragidy). And by the way, it looks like u've gone through a lot of trouble to believe what you believ, and it doesn't look like you can give it up because I've seen a lot of logics there which you don seem to give a damn about.

U've gat a bigger mind bro, don't let fools fool you.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ni wazi kabisa binadam tukafanana kila kitu lakini co alama za vidole
Je kama kweli tume kua clone mbona sijawahi kuona alama za vidole kufanana
What the secret behind this (fingerprint)
mkuu umesoma characteristics za genetic codes??

Ni hivi ,unaweza ukakuta genetic codes zinamatch kuwa na kazi tofauti au group tofaut za genetic codes zinatengeneza kitu kimoja..

unaweza ukakuta codon zinatengeneza nywele sura yako ni AGG lakini zangu zilizotumika kutengeneza sura yangu ni GGA ,

Unaona sasa hapo kwa hiyo two different amino acids can form the sama characteristics sema appearance inakuwa tofauti kutokana na arrangement ya Genetic codes hizo..

The code is degenerate which means that the same amino acid is coded by more than one base triplet.

For example, the three amino acids arginine, alanine and leucine each have six synonymous codons
A triplet code could make a genetic code for 64 different combinations (4 X 4 X 4) genetic code and provide plenty of information in the DNA molecule to specify the placement of all 20 amino acids.

When experiments were performed to crack the genetic code it was found to be a code that was triplet. These three letter codes of nucleotides (AUG, AAA, etc.) are called codons.

Mkuu si unakumbuka somo la permutation la mathematics
yani unambiwa hivi ni namna gani tutaweza kupata namna tofauti kwenye namba 234 ,!! yani unaambiwa ni namba zipi au arrangements ngapi zitapatikani kweny namba hii??

kuna malaki mamia ya arrangements tofaut za namba 234 .
hiyp njia itakupatia arrangements tofaut za namba ile ile..

ndivyo inavyotumika hata kwenye genetic predisposition ya traits na ndo mana hatuwezi kufanana hata siku moja na hutaweza kufanana na mtu duniani kote..

unakuta wew una codes AGC halafu posibility ya mtoto kuwa na codes kama yako ni CGA ,unaona hapo yani mtoto kainherit genes zako lakini katika mfumo tofauti..

nadhani utakuwa umeelewa kwnaini tupo tofauti..




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Am sorry bro, me silinganishi binadamu na kiumbe chochote kile, ila nimemlinganisha binadamu na mambo aliyoyafanya na ambayo anaweza kuyafanya. Binafsi nimekuona kama una doubt na uwezo wa binadamu kiasi kwamba umepata article zilizoendana na doubt zako zinazokuonyesha kua haya makubwa ya duniani binadamu hawezifanya so umeamini kua yanatokea kwa hao viumbe and ts even worse that "you actually think that you are created by aliens" (what a tragidy). And by the way, it looks like u've gone through a lot of trouble to believe what you believ, and it doesn't look like you can give it up because I've seen a lot of logics there which you don seem to give a damn about.

U've gat a bigger mind bro, don't let fools fool you.

Sent using Jamii Forums mobile app
ha ha ha well said..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukrani mkuu!
Lakini mkuu jiulize pia na hao alien walitoka wapi????
Kwanza Aliens is hoax never existed ni man made creature of imagination...
Una ushahidi kua Aliens wapo...?
Royal families have pure hybrid genetically from Extraterrestrial beings..

Consider about ther infiltrations to the governement as well as in the religous groups...

They induce laws to those people who instruct others what to do while being guided by formulated laws and principles ,all in all is to keep hidding their traits in order to expand their civilizations..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
sci-fi movies are there to fantasy your mind...

Everything can be expressed in whatever form..

Fiction is a mode of present the present ,future as well as the past under hidden codes of simulation..

Life is simulation guided by principles of the Divinr matrix..

Sent using Jamii Forums mobile app
Human and other living creatures follow the same principles,
1) birth,
2) inheritance of behavior patterns,
3) death

And that is called Life,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Royal families have pure hybrid genetically from Extraterrestrial beings..

Consider about ther infiltrations to the governement as well as in the religous groups...

They induce laws to those people who instruct others what to do being guided by formulated laws and principles ,all in all is to keep hidding their traits in order to expand their civilizations..



Sent using Jamii Forums mobile app
Asee

[emoji767]101-03-821.M|T|C
 
Back
Top Bottom