Propaganda? Hao wasomi waliojaa pomoni wapo wapi? Mbona mimi siwaoni!!!

Unakuja kijiweni unatuuliza wenye shahada,stashahada wakati huna hata muonekano wa kibosi ili tuhisi kwamba unataka kutupa ajira ila una muonekano wa kishilawadu wa kutaka kutuchora...man ukisikia matangazo ofisi zinazohitaji kuajiri watu uje utatukuta zaidi ya 10000 na vyetu vyetu tunagombania nafasi za kazi 50...
 
Msomi wa Tanzania anaweza kuwa na Ph.D ya Chemistry lakini anakataa sayansi ya chanjo na barakoa.

Hapo lazima ujiulize.

Msomi ni nani?
 
WAPO WENGI, UKITAKA KUWAPATA TANGAZA NAFASI ZA AJIRA TUU, HAPO NDO UTAJUA VITA YA TATU DUNIA ILIKUAJE,
 
Hivi ni lazima kianzisha Uzi!? Sometime kausha kama huna LA maana!!!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…