- Thread starter
- #21
Kutofautiana kauli na mtizamo kisiasa Si mgogoro,Sio jambo dogo mkuu 🙌 ila acheni kukaza kichwa.
Huo ndio ukomavu wa DEMOKRASIA.
Hajatekwa hata sisimizi kwenye mtanange huo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutofautiana kauli na mtizamo kisiasa Si mgogoro,Sio jambo dogo mkuu 🙌 ila acheni kukaza kichwa.
Ukilijua lengo hasa la kuanzisha kwa vyama vya Upinzani hapa Tz mwaka 1992, utakuwa unajua wazi kabisa kwamba Mbowe hawezi kuacha kugombea Uenyekiti huko Chadema.Hellow!
Naona CHADEMA imeamua kutumia njia hii ya propaganda Ili kusababisha iteke tena mijadala yote kisiasa na vinywa vya watz baada ya kuepuka kifo Awamu ya Magu.
CHADEMA imefanikiwa Kwa wiki hizi chache kurudisha umaarufu wao haraka kuelekea uchaguzi.
Na propaganda hii inaenda kuhitimishwa na Mbowe Leo akitangaza kukiunganisha chama Leo Kwa kutangaza ku.....
Mungu ibariki CHADEMA, CCM imesahaulika.
Karibuni 🙏
Do tell, and kill them already!Hauujui uchaguzi wa Tanzania. Ningekuelekeza,I am afraid I can kill you!
Ila haya yanayotokea chadema yangekuwa yanatokea ccm ahhh 😂 sasa hv wanachadema mngekuwa kwenye furaha kama ile ya kifo cha JPMKutofautiana kauli na mtizamo kisiasa Si mgogoro,
Huo ndio ukomavu wa DEMOKRASIA.
Hajatekwa hata sisimizi kwenye mtanange huo!
Ni wizi mtupu hadi hata kuandika hesabu kamili wanashindwa.Do tell, and kill them already!