Aramun
JF-Expert Member
- Nov 8, 2023
- 461
- 2,213
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena mno anapotezea muda wauminiMmh ila Mungu sometimes anasingiziwa sn
Mmh ila Mungu sometimes anasingiziwa sn
Hubiri neno la Mungu hukuitwa kuhubiri habari za Tundu Lisu
Mahubiri potofu kuhubiri mambo yaliyo ndani ya mtu halafu ili iweje? Hayo mahubiri yatamfanya mtu atubu dhambi na kuokoka?huyu hamhubiri Tundu Lissu, anakisema kile cha Mungu kilicho ndani ya mtu aitwaye Tundu Lissu.
Mahubiri potofu kuhubiri mambo yaliyo ndani ya mtu halafu ili iweje? Hayo mahubiri yatamfanya mtu atubu dhambi na kuokoka?
Taifa la Israel lilikuwa lote dini mojahapa kinachoongelewa ni mustakabali wa Taifa. Mungu ni wa wote wenye mwili, waliookoka na wasiookoka.
kwani huyo mtumishi amekataa sanduku la kura? Yeye anasema kile ambacho kilimuokoa mtu. Kile kilichoko ndani ya mtu. Wewe hujiulizi yaliyompata Lissu na hajarudi nyuma na haogopi. Jiulize: wewe ungeweza? nani angeweza ikiwa sio supernatural powers iliyo nyuma yake. Kwa taarifa yako hata familia yake huwa wanamshangaa.Taifa la Israel lilikuwa lote dini moja
Na walikuwa na nabii wa Taifa anayetambuliwa na taifa Zima na ndiye aliyekuwa akiweka wafalme na kutoa unabii wa Taifa
Sasa hivi hakuna nabii wa taifa sababu kwanza serikali yenyewe haina dini
Kiongozi kupatikana hapatikani kupitia dini au unabii ni kwa sanduku la kura tofauti na enzi za manabii
Kinachoamua ni sanduku la kura
Anakula na kulala kupitia siasa ulitarajia aache baada ya kupigwa risasi?kwani huyo mtumishi amekataa sanduku la kura? Yeye anasema kile ambacho kilimuokoa mtu. Kile kilichoko ndani ya mtu. Wewe hujiulizi yaliyompata Lissu na hajarudi nyuma na haogopi. Jiulize: wewe ungeweza? nani angeweza ikiwa sio supernatural powers iliyo nyuma yake. Kwa taarifa yako hata familia yake huwa wanamshangaa.
Mipango inajengwa nabkusingiziwa sehemu ambayo huwezi kukagua ushahidi wake.Mmh ila Mungu sometimes anasingiziwa sn
Anakula na kulala kupitia siasa ulitarajia aache baada ya kupigwa risasi?
Tatizo saivi hatuelewi Namna MUNGU anavyoongeaHubiri neno la Mungu hukuitwa kuhubiri habari za Tundu Lisu