Prophet Denis: Tundu Lissu ni chaguo la Mungu, akiwa Rais atalifanyia makubwa Taifa la Tanzania

Prophet Denis: Tundu Lissu ni chaguo la Mungu, akiwa Rais atalifanyia makubwa Taifa la Tanzania

Sasa hivi baadhi ya watumishi wanatumia kila sarakasi ili wa trend iwe kutoa unabii kwa mtu mpagani asiyeokoka kuwa atakuwa mtu mkubwa na stafanikiwa sana pamoja na kuwa muovu

Unabii wake wa kishetani na haukidhi viwango vya kinabii kama ana ujasiri alitakiwa akamhubirie Lisu aokoke kwanza na kubatizwa kisha baada ya hapo ndipo asiikilize Mungu anasemaje juu ya Lisu

Kujiita nabii na kumtabiria mtu mwovu kuwa atafanikiwa hivyo hivyo alivyo na midhambi yake ni unabii wa kipepo na kishetani


Hakuna nabii hapo .Kuna binadamu wa kawaida mwenye mapenzi tu na Lisu anayetumia jina la Mungu bure na kulitaja bure

Hakuna unabii toka kwa Mungu hapo

Anatumia tu jina la Lisu ku trend kidunia sababu Roho Mtakatifu kakataa ku m trend
Nani alisema kwamba Mungu akitaka kutimiza kusudi lake kupitia mtu ni lazima Huyo mtu aokoke kwanza?Yule kahaba Rahabu aliyewaficha wale wapelelezi waliotumwa na Joshua kuipeleleza Yericho mbona hawakumwambia okoka kwanza ndio utufiche?
 
Sasa hivi baadhi ya watumishi wanatumia kila sarakasi ili wa trend iwe kutoa unabii kwa mtu mpagani asiyeokoka kuwa atakuwa mtu mkubwa na stafanikiwa sana pamoja na kuwa muovu

Unabii wake wa kishetani na haukidhi viwango vya kinabii kama ana ujasiri alitakiwa akamhubirie Lisu aokoke kwanza na kubatizwa kisha baada ya hapo ndipo asiikilize Mungu anasemaje juu ya Lisu

Kujiita nabii na kumtabiria mtu mwovu kuwa atafanikiwa hivyo hivyo alivyo na midhambi yake ni unabii wa kipepo na kishetani


Hakuna nabii hapo .Kuna binadamu wa kawaida mwenye mapenzi tu na Lisu anayetumia jina la Mungu bure na kulitaja bure

Hakuna unabii toka kwa Mungu hapo

Anatumia tu jina la Lisu ku trend kidunia sababu Roho Mtakatifu kakataa ku m trend
Ngoja tusubiri unabii wa Samia kushinda kwa kishindo najua ndio unautaka
 
Nani alisema kwamba Mungu akitaka kutimiza kusudi lake kupitia mtu ni lazima Huyo mtu aokoke kwanza?Yule kahaba Rahabu aliyewaficha wale wapelelezi waliotumwa na Joshua kuipeleleza Yericho mbona hawakumwambia okoka kwanza ndio utufiche?

huyo ndugu anasukumwa na itikadi za kisiasa. Anadhani huyo mtumishi yuko kisiasa.

Hajui utendaji wa Mungu.
 
Back
Top Bottom