Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Roho imekuuma, sikiliza ujumbe mzito acha kukaza fuvuHubiri neno la Mungu hukuitwa kuhubiri habari za Tundu Lisu
Nalo ni neno la mungu, maana hata wanao msifia samia na upuuzi wote alio nao na kumombea dua misikitini nao hawakuitwa kwa hayo ,hivyo kaa kwa kutulia kila mtu ashinde mechi zakeHubiri neno la Mungu hukuitwa kuhubiri habari za Tundu Lisu
HahahNalo ni neno la mungu, maana hata wanao msifia samia na upuuzi wote alio nao na kumombea dua misikitini nao hawakuitwa kwa hayo ,hivyo kaa kwa kutulia kila mtu ashinde mechi zake
Rudia kusikilizwa hayakua mahubiri.Tena mno anapotezea muda waumini
Yaani mtu unaenda kanisani kuabudu Mungu halafu mhubiri mahubiri yake yote anahubiri habari za Tundu Lisu aiseee
Hiyo kanisa ningekuwa muumini nikitoka sirudi tena
🤣🤣🤣Tena mno anapotezea muda waumini
Yaani mtu unaenda kanisani kuabudu Mungu halafu mhubiri mahubiri yake yote anahubiri habari za Tundu Lisu aiseee
Hiyo kanisa ningekuwa muumini nikitoka sirudi tena
Mkuu mi na we najua tunaongea lugha mojaHuwezi ongea kwa ujasiri hivi ikiwa sio Mungu Yuko nyuma yako. Time will tell. Nothing impossible under the sun!
Manabii siku zote walitabiri na kuyasema mambo makubwa ya kitaifa na kiulimwengu kwa ujumla kwa ujasiri mwingi bila kuogopa gharama (maana watawala wengi hawapendi kunenewa yaliyo kinyume na matakwa yao)
Ni kweli Kila mtu ana au amebeba kusudi la MunguWatu wapo kazini.
Hapana usimuite pepo mkuuHili ni pepo linaloongea kupitia mtu anaejiita nabii
Tusubiri muda ufikeHizi takataka zinajiita prophety zimekuwa nyingi
sijakusoma bossMkuu mi na we najua tunaongea lugha moja
Ila wakati mwingine lzm turudi Kwa Mungu kuuliza
Uzuri Neno lake linaturuhusu
Sio Kila kitu kujibu Amen
Nasema,wote ni waamini (tunaamini)i ,ktk Yesusijakusoma boss
Nasema,wote ni waamini (tunaamini)i ,ktk Yesu
Na hapo mwanzo kaongea sahihi kuwa Kila mmoja amebeba kusudi la Mungu.
Ila nasema tusikubali tu Kila kitu bila kurudi Kwa Mungu kuuliza, maana kula nabii anaongea lake sijui tutashika lipi na kuacha lipi
Njia rahisi ni kurudi Kwa Mungu kuuliza
Punguza kamdomoHubiri neno la Mungu hukuitwa kuhubiri habari za Tundu Lisu
Sijauliza mkuu!wewe ulivyouliza kwa Mungu umejibiwaje.
yule ndugu ana kusudi kubwa sana la Mungu, kupona lile shambulizi haikuwa jambo la kawaida.
Wewe ukiona watu wanaombewa na majini hustuki?
Yana mwishoTatizo manabii wamekua matapeli nyakati hizi
manabii wa uongo wapo. na wa kweli tupo. Ni kazi yako kupambanua. Ikiwa una Roho wa Mungu ndani yako hutopata shida.Tatizo manabii wamekua matapeli nyakati hizi
Kuwaamini ni ngumu, Mtumishi akishajiita Nabii tu,toka nduki