Prophet Denis: Tundu Lissu ni chaguo la Mungu, akiwa Rais atalifanyia makubwa Taifa la Tanzania

Prophet Denis: Tundu Lissu ni chaguo la Mungu, akiwa Rais atalifanyia makubwa Taifa la Tanzania

Mungu anazingiziwa mengi sana,Waliopita piya mulisema wametumwa na Mungu lakini matendo yao hayafanani na watu wanaomjuwa Mungu.
 
Hubiri neno la Mungu hukuitwa kuhubiri habari za Tundu Lisu
Nalo ni neno la mungu, maana hata wanao msifia samia na upuuzi wote alio nao na kumombea dua misikitini nao hawakuitwa kwa hayo ,hivyo kaa kwa kutulia kila mtu ashinde mechi zake
 
Tena mno anapotezea muda waumini

Yaani mtu unaenda kanisani kuabudu Mungu halafu mhubiri mahubiri yake yote anahubiri habari za Tundu Lisu aiseee

Hiyo kanisa ningekuwa muumini nikitoka sirudi tena
Rudia kusikilizwa hayakua mahubiri.
 
Tena mno anapotezea muda waumini

Yaani mtu unaenda kanisani kuabudu Mungu halafu mhubiri mahubiri yake yote anahubiri habari za Tundu Lisu aiseee

Hiyo kanisa ningekuwa muumini nikitoka sirudi tena
🤣🤣🤣
 
Huwezi ongea kwa ujasiri hivi ikiwa sio Mungu Yuko nyuma yako. Time will tell. Nothing impossible under the sun!

Manabii siku zote walitabiri na kuyasema mambo makubwa ya kitaifa na kiulimwengu kwa ujumla kwa ujasiri mwingi bila kuogopa gharama (maana watawala wengi hawapendi kunenewa yaliyo kinyume na matakwa yao)
Mkuu mi na we najua tunaongea lugha moja
Ila wakati mwingine lzm turudi Kwa Mungu kuuliza
Uzuri Neno lake linaturuhusu

Sio Kila kitu kujibu Amen
 
sijakusoma boss
Nasema,wote ni waamini (tunaamini)i ,ktk Yesu
Na hapo mwanzo kaongea sahihi kuwa Kila mmoja amebeba kusudi la Mungu.

Ila nasema tusikubali tu Kila kitu bila kurudi Kwa Mungu kuuliza, maana kula nabii anaongea lake sijui tutashika lipi na kuacha lipi
Njia rahisi ni kurudi Kwa Mungu kuuliza
 
Nasema,wote ni waamini (tunaamini)i ,ktk Yesu
Na hapo mwanzo kaongea sahihi kuwa Kila mmoja amebeba kusudi la Mungu.

Ila nasema tusikubali tu Kila kitu bila kurudi Kwa Mungu kuuliza, maana kula nabii anaongea lake sijui tutashika lipi na kuacha lipi
Njia rahisi ni kurudi Kwa Mungu kuuliza

wewe ulivyouliza kwa Mungu umejibiwaje.

yule ndugu ana kusudi kubwa sana la Mungu, kupona lile shambulizi haikuwa jambo la kawaida.

Wewe ukiona watu wanaombewa na majini hustuki?
 
Sasa hivi baadhi ya watumishi wanatumia kila sarakasi ili wa trend iwe kutoa unabii kwa mtu mpagani asiyeokoka kuwa atakuwa mtu mkubwa na stafanikiwa sana pamoja na kuwa muovu

Unabii wake wa kishetani na haukidhi viwango vya kinabii kama ana ujasiri alitakiwa akamhubirie Lisu aokoke kwanza na kubatizwa kisha baada ya hapo ndipo asiikilize Mungu anasemaje juu ya Lisu

Kujiita nabii na kumtabiria mtu mwovu kuwa atafanikiwa hivyo hivyo alivyo na midhambi yake ni unabii wa kipepo na kishetani


Hakuna nabii hapo .Kuna binadamu wa kawaida mwenye mapenzi tu na Lisu anayetumia jina la Mungu bure na kulitaja bure

Hakuna unabii toka kwa Mungu hapo

Anatumia tu jina la Lisu ku trend kidunia sababu Roho Mtakatifu kakataa ku m trend
 
wewe ulivyouliza kwa Mungu umejibiwaje.

yule ndugu ana kusudi kubwa sana la Mungu, kupona lile shambulizi haikuwa jambo la kawaida.

Wewe ukiona watu wanaombewa na majini hustuki?
Sijauliza mkuu!
Nilisema mi vzr kuuliza!
Ila pia najua Mungu ndo alimuepusha na Ile mauti,hiyo Iko wazi!

Hao wanaoombewa Kwa majini mbona hawatushighulishi mkuu majini Kwa Yesu yatasanda tu

Hicho kiti sio Cha watu wanaolindwa na majini lzm utuachie tu kiti km majini ndo yatahusika 😅
 
Tatizo manabii wamekua matapeli nyakati hizi

Kuwaamini ni ngumu, Mtumishi akishajiita Nabii tu,toka nduki
 
Tatizo manabii wamekua matapeli nyakati hizi

Kuwaamini ni ngumu, Mtumishi akishajiita Nabii tu,toka nduki
manabii wa uongo wapo. na wa kweli tupo. Ni kazi yako kupambanua. Ikiwa una Roho wa Mungu ndani yako hutopata shida.
 
Back
Top Bottom