Prove Me Wrong: Kwamba 85% ya wadada wanaopatikana humu JF ni Wabaya Wa Sura adi Maumbo

Prove Me Wrong: Kwamba 85% ya wadada wanaopatikana humu JF ni Wabaya Wa Sura adi Maumbo

we nae una matatizo makubwa sana ya kisaikolojia, kwa akili yako unajua ccm ni concrete matter unayoweza kuipima kwa vizio fulani,
ndugu, ccm, chadema, nccr mageuzi, act wazalendo, n.k ni imani zilizojijenga chini ya falsafa za kisiasa, ccm haiwezi ikawa na watu wake kwa misingi ya vinasaba, watu ni walewale, imani tofauti..
Don't hate too much others who differ with you in terms of political philosophies!! take it normal
We ni ccm hakika..... Si kwa povu hili
 
_UTAJUAJE KAMA DEMU WAKO NI MBAYA???_

*NI PALE UTAKAPOMTAMBULISHA KWA WAZAZI WAKO.*

*KISHA UNASIKIA WANAKWAMBIA......*
*KIKUBWA NI UPENDO TU BABA.*

*KUPENDANA NDO KITU CHA MUHIMU*[emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Hahaha hahah Nimekua nikianguaga kicheko sana nikiona kuwa **** mchizi umu anajitia ujaja akijiongeza kwa watoto wa kike ambao kimsingi huwa sanalinga sana humu kwakuwa tu atuna access ya kuwaona ...

Sasa ndugu zangu mnatakiwa kufahamu kwamba wachina wengi ambao mnawaona umu wakilinga na nyie mkidhini kuwa ni mapini ( wazuri wa kuvutia sura adi shape zao) kuwa Ni wabaya kinoma na pengine ukiwaona unaweza ata ukajichekaa kuwa ni mjinga kwa kuzania kitu ambaeho sio kweli ....

Takwimu zinaonesha 85% ya wasichana ambao wako humu ni WABAYA KICHIZI YANI [emoji12] [emoji15] [emoji15] [emoji16]

JIANGALIE KAMA UNATAFUTA MLEMBO HUMU HAHAH[emoji15] [emoji2]
HII THREAD YAKO HAITAPATA WACHANGIAJI WENGI MAANA IMEKAA KICHOKOZI ZAIDI MKUU.

JIANDAE KUPIGWA MAWE INBOX.
 
Hahaha hahah Nimekua nikianguaga kicheko sana nikiona kuwa **** mchizi umu anajitia ujaja akijiongeza kwa watoto wa kike ambao kimsingi huwa sanalinga sana humu kwakuwa tu atuna access ya kuwaona ...

Sasa ndugu zangu mnatakiwa kufahamu kwamba wachina wengi ambao mnawaona umu wakilinga na nyie mkidhini kuwa ni mapini ( wazuri wa kuvutia sura adi shape zao) kuwa Ni wabaya kinoma na pengine ukiwaona unaweza ata ukajichekaa kuwa ni mjinga kwa kuzania kitu ambaeho sio kweli ....

Takwimu zinaonesha 85% ya wasichana ambao wako humu ni WABAYA KICHIZI YANI [emoji12] [emoji15] [emoji15] [emoji16]

JIANGALIE KAMA UNATAFUTA MLEMBO HUMU HAHAH[emoji15] [emoji2]
duh..! inamaana hata yule naniliu naye atakuwa sio mzuri kweli.? siamini.!
mboni kwenye avatar yake anaonekana mtamu hivyo?
labda kweli, ngoja hiyo kesho nikamwone live maana kuna mtu kanielekeza kazini kwao na jina analotumia.
 
_UTAJUAJE KAMA DEMU WAKO NI MBAYA???_

*NI PALE UTAKAPOMTAMBULISHA KWA WAZAZI WAKO.*

*KISHA UNASIKIA WANAKWAMBIA......*
*KIKUBWA NI UPENDO TU BABA.*

*KUPENDANA NDO KITU CHA MUHIMU*[emoji23]
Jf hatar tupu!
 
Yani umepiga mmoja alafu unahitimisha kwamba wote wako hvyo c ndio!!???
Tutake radhi wengine hatuna sura ngumu kama futari ya magimbi
Sasa wew kama hauna sura mbovu tatizo lako nini sasa maana hatujasema 100% au we umeelewajee??
 
duh..! inamaana hata yule naniliu naye atakuwa sio mzuri kweli.? siamini.!
mboni kwenye avatar yake anaonekana mtamu hivyo?
labda kweli, ngoja hiyo kesho nikamwone live maana kuna mtu kanielekeza kazini kwao na jina analotumia.
Wote ni wale wale tu ,kwani anafanyia wap kazi kama mikocheni imekula kwako maana ......[emoji114]
 
Mwenye picha ya demu yeyeto MBAYA wa umu Jf atusaidie kuattach kwenye hii tread please

Mdemu Wabaya Wenye Malingo Yenu umu JF Samahanini Lakin Jamani
 
UMEPIGA MULE MULE YANI. NI MAJANGA TUPU.
 
_UTAJUAJE KAMA DEMU WAKO NI MBAYA???_

*NI PALE UTAKAPOMTAMBULISHA KWA WAZAZI WAKO.*

*KISHA UNASIKIA WANAKWAMBIA......*
*KIKUBWA NI UPENDO TU BABA.*

*KUPENDANA NDO KITU CHA MUHIMU*[emoji23]
Loooh!!!
 
Back
Top Bottom