PSRS interview questions (written, pract & oral)

PSRS interview questions (written, pract & oral)

Hivi kumbe hii kitu inatokeaga..?

Kama mimi apa tuliitwa interview watu wanne tu tulioenda ni mtu tatu tu. Interview zilikua mbili ya practical then oral, written haikuwepo...

Practical haikua fair kabisa yaani absolute ridiculous ... Tukakandwa wote kwa post ile hakuna aliyetoboa to oral... Dah apo nikaanza kushangaa sana how come wanafanya vile? What will be way forward???
Mimi naona kama kuna practical kwenye kada husika, ni sahihi muifanye kwanza maana hapo mtaonesha uwezo wenu kivitendo.

Kama ngoma imewakali tenge hapo ni vigumu kusonga mbele.
 
Hiyo post ilitangwazwa publicly pale ajira.go.tz means tulio-apply tulikua hundreds ila tuliokuwa shortlisted ni wanne tu of which watatu tu ndo tulifanya practical interview "tukawa-assassinated" wote apo nobody aliye advance to oral interview.

Look like possibly watarudia kushortlist au hata kuita one of us... The later is unlikely.

Ata ivyo hawakutuita kwa email au pdf la call for interview but through phone call thats another odd thing. Asa apo wanakuwa wanareport utumishi au wanamaliza wao kama wao juu kwa juu? Practical yao ilikua na kasoro kubwa technically speaking
Muandaaji wa Prac naye usikute ni tatizo.

Akikosea huko kwenye kuandaa, ninyi huku mtapata tabu sana kuifanya
 
Muhimbili watamaliza wao kama wao juu kwa juu kwasababu hata names zilikuwa posted kwenye website yao na sio ajira.go.tz ,cha muhimu ni kuomba sana hata kama wataita upya wawarudishe wale wa mwanzo maana wanaweza kuona mliofanya practical hamjakidhi vigezo vya kwenda oral so wakahitaji sura mpya nyie mkawa cancelled, au ikafanyika njia ya ziada zaidi ya hiyo.
Tangazo na Call lilipitia PSRS website mkuu
 
Upo vzuri mkuu kutowarudia waliokandwa wote hadi same post ikakosa mtu means waliotolewa ndo walionekana best wakawa shortlisted ila because of mtihani uliotungwa bila kuzingatia yaan irrelevant/out of contest/unfair evil approach iliyotumika asa apo kutotoa second chance au wao kujistukia na kurekebisha hapo ni problem. Sisi wakitureject completely, Sizani hata wakishortlist wengine waliowaacha mwanzo kama watatoboa paper likiwa lile lile/similar... Apo busara inaitajika or else breaucracy is not an option
Maybe watumie busara lakini kwenye Dunia hii ya Karne ya 21 busara hai-work, umenikumbusha post moja iliyotoka ,akaitwa mtu mmoja oral akapata 43% afu akawa unselected,just imagine only one position but still alikuwa unselected,so hata hapo jua tambua kuwa kutokana na nature ya paper na position wanaweza kuwa term kama failures ambao mkipewa kazi au second chance mtaenda kuharibu kazi maybe practical iwe ilikosewa au iwe valid kuwa ilikuwa irrelevant au Kuna makandokando yaliyofanyika, lasivyo litakuwa re-advertised upya au njia mbadala nyingine itatumika.
 
Maybe watumie busara lakini kwenye Dunia hii ya Karne ya 21 busara hai-work, umenikumbusha post moja iliyotoka ,akaitwa mtu mmoja oral akapata 43% afu akawa unselected,just imagine only one position but still alikuwa unselected,so hata hapo jua tambua kuwa kutokana na nature ya paper na position wanaweza kuwa term kama failures ambao mkipewa kazi au second chance mtaenda kuharibu kazi maybe practical iwe ilikosewa au iwe valid kuwa ilikuwa irrelevant au Kuna makandokando yaliyofanyika, lasivyo litakuwa re-advertised upya au njia mbadala nyingine itatumika.

Wafanye wafanyavyo its up to them.

Sisi candidates hatukuwaelewa kabisa na hatujali walichotufanyia tuna mioyo mieupe cause obvious procedures haikuzingatiwa technically

Imagine mnapewa chip/ IC ngeni bila datasheet mtajuaje pinouts kweli? Na maswali yote yalikua chip. Haujui ile chip imetengenezwaje/pinouts... Asa ni mtaalam yupi anaweza kutumia chip asiyo na idea nayo to build a working circuit?

Why all qns iwe ni chip mwanzo mwisho ina maana field ile is made of chip only.? APO MWANDAAJI ALIZINGUA. HATA WASHORTLIST TENA SIDHANI KAMA wATAPATA WA KUISOLVE ILE ISSUE.., unless awe anazijua zile chip.
au waprovide datasheet au wabadili paper. Pure evil nenda kokote duniani a well established exam rules or laws of war haziruhusu to eliminate all ikitokea lazima cause iangaliwe
 
Wafanye wafanyavyo its up to them.

Sisi candidates hatukuwaelewa kabisa na hatujali walichotufanyia tuna mioyo mieupe cause obvious procedures haikuzingatiwa technically

Imagine mnapewa chip/ IC ngeni bila datasheet mtajuaje pinouts kweli? Na maswali yote yalikua chip. Haujui ile chip imetengenezwaje/pinouts... Asa ni mtaalam yupi anaweza kutumia chip asiyo na idea nayo to build a working circuit?

Why all qns iwe ni chip mwanzo mwisho ina maana field ile is made of chip only.? APO MWANDAAJI ALIZINGUA. HATA WASHORTLIST TENA SIDHANI KAMA wATAPATA WA KUISOLVE ILE ISSUE.., unless awe anazijua zile chip.
au waprovide datasheet au wabadili paper. Pure evil nenda kokote duniani a well established exam rules or laws of war haziruhusu to eliminate all ikitokea lazima cause iangaliwe
Obviously was not fair,but ndio mfumo no way out but wanaweza kufanya consideration upya na kuwapa second chance.
 
Wafanye wafanyavyo its up to them.

Sisi candidates hatukuwaelewa kabisa na hatujali walichotufanyia tuna mioyo mieupe cause obvious procedures haikuzingatiwa technically

Imagine mnapewa chip/ IC ngeni bila datasheet mtajuaje pinouts kweli? Na maswali yote yalikua chip. Haujui ile chip imetengenezwaje/pinouts... Asa ni mtaalam yupi anaweza kutumia chip asiyo na idea nayo to build a working circuit?

Why all qns iwe ni chip mwanzo mwisho ina maana field ile is made of chip only.? APO MWANDAAJI ALIZINGUA. HATA WASHORTLIST TENA SIDHANI KAMA wATAPATA WA KUISOLVE ILE ISSUE.., unless awe anazijua zile chip.
au waprovide datasheet au wabadili paper. Pure evil nenda kokote duniani a well established exam rules or laws of war haziruhusu to eliminate all ikitokea lazima cause iangaliwe
Hapo walizingua vinginevyo nijuavyo kwenye issue za circuit lazima kuwe na ile circuit configuration sheet au watoe pc zenye proteus ili utest system yako kama itatoa majibu au vipi
 
Obviously was not fair,but ndio mfumo no way out but wanaweza kufanya consideration upya na kuwapa second chance.
Wanaudhi sn. Ila yote kheri aliyeshiba always anabeua tu imagine mwenye njaa anavyofeel lakini yeye ata hajari. More than 100k imechomwa hapo not to mention maneuvre tuliyofanya kupata time kwenda kule dom only to find this joke! Ndo maana zipo mtu mingi tu hazi-risk kwenda hata zikiwa shortlisted...
 
Hapo walizingua vinginevyo nijuavyo kwenye issue za circuit lazima kuwe na ile circuit configuration sheet au watoe pc zenye proteus ili utest system yako kama itatoa majibu au vipi
Hapo ndo technical mistake ilipo. No sheet no pc no proteus no nothing only a bunch of ics zaidi ya 5
 
😂😂😂😂
Hapo ndo technical mistake ilipo. No sheet no pc no proteus no nothing only a bunch of ics zaidi ya 5
Hapo huwezi kutoboa hata kwa vipi yani ukute wamekuwekea IC hujawahi hata kuiona unaanzaje sasa😂😂😂😂
 
Wanaudhi sn. Ila yote kheri aliyeshiba always anabeua tu imagine mwenye njaa anavyofeel lakini yeye ata hajari. More than 100k imechomwa hapo not to mention maneuvre tuliyofanya kupata time kwenda kule dom only to find this joke! Ndo maana zipo mtu mingi tu hazi-risk kwenda hata zikiwa shortlisted...
Unakuta umeomba ruhusa sehemu kwa magumashi mengi lakini Bado wanaleta mapicha picha
 
Wanaudhi sn. Ila yote kheri aliyeshiba always anabeua tu imagine mwenye njaa anavyofeel lakini yeye ata hajari. More than 100k imechomwa hapo not to mention maneuvre tuliyofanya kupata time kwenda kule dom only to find this joke! Ndo maana zipo mtu mingi tu hazi-risk kwenda hata zikiwa shortlisted...
I know how you feel, was happened to me also very painful unapotezewa muda na bado unachoma nauli not only that pia ukute energy uliyoinvest kusoma vinaenda Bure daaah so sad.
 
Unakuta umeomba ruhusa sehemu kwa magumashi mengi lakini Bado wanaleta mapicha picha
Mi niliomba ruhusa nilipojishikiza nilipretend ugonjwa good thing boss is so understanding.... Na nilichoma zaidi ya kilo mia kuenda kule unakutana na ule utopolo... Atleast angalau angepita hata mmoja wetu hapo ningejipit kwamba sikutosha ila kutukata wote at atuja qualify oral dah nilichokaje
 
Mi niliomba ruhusa nilipojishikiza nilipretend ugonjwa good thing boss is so understanding.... Na nilichoma zaidi ya kilo mia kuenda kule unakutana na ule utopolo... Atleast angalau angepita hata mmoja wetu hapo ningejipit kwamba sikutosha ila kutukata wote at atuja qualify oral dah nilichokaje
Inakatisha tamaa sana
 
Umeelewa mada kweli mkuu?
Mimi nimemuelewa sana jamaa kafanya ku generalize maana mfumo wao wa maswal na technique za kujibu inatakiwa iwe hivi ila wengi wetu hatujui nini unaenda kukutana nacho, I did last year na nilipata 44 the first one got 62 and I was not selected at time.
 
Back
Top Bottom