Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Habari wakuu, uzi ni mzuri ila naomba kuuliza maswali juu ya huu uzi.

1. Ikiwa ukawa na hizo power zote zinajibu kusudi la binadamu hapa duniani au ni ajili ya kucontrol nature basi?
2. Hizo nguvu zina majibu ya life after death? ikiwa hazina majibu naona zina limitation.
3. zina leta majibu juu ya ulimwengu na uumbaji? au bado hazina majibu hayo
4. Lucid Dreams ni nini?
5. kwanini njia hizo zinabaki kuwa siri, kwann zisifundishwe kila mmoja akazijua
6. ikiwa power ipo within, je unaweza kujitibu magonjwa kama figo, tb,kisukari, ukimwi kwa kutumia nguvu hizo?

Maswali mengineyo yatakuja na majibu ya wadau hapa jukwaani, asanteni
 
Ila Mimi nina nguvu zaidi na huwa ninapokuwa nasoma sana biblia na kusikiliza nyimbo za dini na kuzama kwenye maombi ,nakuwa na nguvu kubwa sana,naweza kumtazama mtu na kumwambia mambo anayopitia na kumwambia hivi na huwa natabiri mambo mengi na huwa ni ya kweli maana Huwa nafuatilia na kupata majibu

Na uwezo wa kuona kitu mbele na kufika nakuta ni kweli ,na naweza kupita sehemu mbaya zaidi na nisipatwe na kitu maana nguvu nilizonazo Huwa kubwa zaidi.

Kipindi nikiwa mdogo nilikuwa naona mambo makubwa sana

Nilishawahi kupanda gari na watu wabaya baada ya kuamka mapema kwenda kazini na baada ya kuja kushtuka na kuangalia saa vzr ilikuwa ni saa 7 usiku na nilipoingia kwenye Ile daladala wote waliinama chini wote na hata niliposhuka nilimpa dereva ela alikataa kupokea na konda hakwepo kwenye Ile daladala.walikwepo wanawake na akina baba na Mimi tu ndo sikupata Siti mle na mda wote mpaka nashuka walinamisha vichwa chini mwisho nikashuka na wao wakaendelea na safari zao,na baada ya kushuka nikajua hawakuwa watu wazuri,

Kwa hiyo Kuna mengi sana na Mimi kujihisi na kuelewa kuwa nina kitu Fulani kikubwa sana
 
Binafsi nimekuwa nikikutana na namba inayojirudiarudia mara kwa mara. Mfano naweza nikawa nipo mahali nimetulia nikisema nitoe simu mfukoni jicho likienda kwenye saa hukutana na Dakika 11 yaani kama ni saa 5 basi dk 11 km saa 9 Dk 11

Hii imekaaje?
Universe inajiendesha yenyewe. Najua huez rudisha majibu ila iyo ni message labda" Hi " kujibu ndo hatujui
 
😂😂😂😂😂
 
Najiona Mimi kabisa kwenye hii statement, sema kwakuwa nilikuwa sijafahamu lolote hapo mwanzo nilikuwa najishangaa sana inawezekana vp hii? Ilikuwa kila jambo nikili-wish tu lazima litokee kama nilivyolitarajia pasipo kujali mazingira. Nilipoanza kuwasimulia watu tu, mambo yangu yalianza kuniharibikia nikapigwa vichomi vya kutosha. Kupitia jukwaa hili nimepanua sana ufahamu wangu. Pascal Mayalla Mshana Jr Rakims Thread zenu mbalimbali zimekuwa baraka sana kwangu. Baada ya kuanza kuzifatilia nimeanza kuona matokeo CHANYA na kujitambua. Mungu awabariki sana[emoji120] kwa moyo wa kutoa mlicho nacho bila kujali kuwa ninyi mlitumia pesa na muda wenu mwingi kupata haya mnayoyafundisha kwenye jukwaa hili.
 
Kusoma tu bila practice mkuu haitisaidia kitu. Nisawa sawa na aliyesomea (VETA) ufundi makanika bila practice huwezi mfananisha na makanika wa mtaani ambae hajaingia darasani. Ni vizuri kusoma lakini na kufanya practical ni bora zaid.
 
Hii mkuu Mimi niliwahi kuishuhudia bila kusimuliwa. Kipindi cha nyuma tulikuwa tumepanga nyumba moja mitaa ya uswazi. Kuna jamaa mmoja baada ya kuona mambo kiuchumi kwake yamekuwa tight akaanza kusaga majani ya mpapai na kuponda ponda mikaa hadi inakuwa unga. Then akaongea na marafiki zake ambao walikuwa ni madalali wa vyumba kuwa wamtafutie wateja kwa kuwaambia na wao atakuwa akiwagawia fungo kidogo. Jamaa alianza kama utani tu, watu wakaanza kuja lakini pamoja na kuwapa majani ya mipapai na unga wa mkaa watu walikuwa wanapona. Walichokua wanakifanya wale makuwadi wake wa kumletea wateja ni ku make believe tu Kwa wale wateja ambao walikuwa wakimletea. Wanajifanya kuwa wao walikuwa na hali mbaya jamaa huyo akawaokoa. Mteja anapopigwa Testimony yakutosha wanakuja wameiva kiimani. Menginge sitaki kumuongelea sana. Haya mambo ya Imani ni ya kuacha tu
 

"Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?"​

Kama mtu anakuwa na hizo nguvu na hajitambui, atatambuaje kama hafanyi miujiza? Pia, atatambuaje kama anazo?
 
Very Strength Intelligent
 
Asante Sana mkuu @pasical mayala, ushauri wako nitaufanyia kazi naona umelenga mulemule
 
Na mbaya zaidi kaanza kuwa "prophet of doom" he always wishes doomsday to come in Tanzania for his devilish foresight about someone the "damned"

Na wote tuseme Amina ,
Mkuu The imp, kuna kitu umekisema hapa, Pascal Mayala kazeeka haoni mbele tarehe 25 mwezi 9, mwaka 2019 kunihisu mimi, halafu kilikuja kutokea kweli!. Nikisoma hapa ulisema nini kunihusu na nikipima na kilichokuja kutokea, kiukweli, naanza kujiogopa!.
Nakupitisha kwenye baadhi ya mabandiko yangu uangalie tarehe ya mabandiko hayo, nilisema nini lini na nini kimekuja kutokea kuhusu hicho nilicho kisema!.

The most powerful thing in this world is the power of will!.
Japo kuna msemo kuwa kauli huumba, kumbe kiukweli, kinachoumba sio kauli, bali the will ikiyoko ndani ya hiyo kauli.
If the will is strong enough, you can wish anything and it will happen or materialize!

P
 
'the will ikiyoko ndani ya hiyo kauli.
If the will is strong enough, you can wish anything and it will happen or materialize!' naendelea kufuatailia taratiiibu...
 
Ngoja niongelee kitu kimoja km mfano...

kuna kitu kimoja kinashangaza inatokea sana mashuleni na vyuoni.
Unakuta mtu anasoma sana halafu kwenye mitihani anafeli halafu kuna huyu yeye hashiki kitabu mpaka siku za mitihani alafu anakuja kufaulu masomo vzr tu. Hapa huwa inanishangaza sana
 
Mshana kama Mshana.
 
So mkuu Pascal, unamaanisha hawa secret societies wanajua siri zote za Ulimwengu huu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…