Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Ngoja niongelee kitu kimoja km mfano...

kuna kitu kimoja kinashangaza inatokea sana mashuleni na vyuoni.
Unakuta mtu anasoma sana halafu kwenye mitihani anafeli halafu kuna huyu yeye hashiki kitabu mpaka siku za mitihani alafu anakuja kufaulu masomo vzr tu. Hapa huwa inanishangaza sana
Hii ni kawaida sana ila pia it's works of powers. Yule mwenye akili anakuwa amejaza CPU too much had ina crack hivyo siku ya mtihani ana panic.

Huyu ambaye hasomi, anakuwa na photographic memory alichosoma ndipo maswali yalipotoka.
P
 
'the will ikiyoko ndani ya hiyo kauli.
If the will is strong enough, you can wish anything and it will happen or materialize!' naendelea kufuatailia taratiiibu...
Yes you have the powers inside you, hata wale wahubiri wanaoponya kwa miujiza, nguvu za uponyaji hazitoki kwa muhubiri au mganga bali zinatoka ndani yako.
P
 
Yes you have the powers inside you, hata wale wahubiri wanaoponya kwa miujiza, nguvu za uponyaji hazitoki kwa muhubiri au mganga bali zinatoka ndani yako.
P
Hii mada imenikumbusha mbali sana. Miaka ya nyuma nilikuwa na hizi power. Vitu vingi ninavyovifanya sasa au miaka ya karibuni vingi nakumbuka nilikuwa naviwaza miaka mingi before. Sasa hii hii nguvu hali imetoweka miaka michache nyuma, natamani niirudishe
 
Hii mada imenikumbusha mbali sana. Miaka ya nyuma nilikuwa na hizi power. Vitu vingi ninavyovifanya sasa au miaka ya karibuni vingi nakumbuka nilikuwa naviwaza miaka mingi before. Sasa hii hii nguvu hali imetoweka miaka michache nyuma, natamani niirudishe
Mkuu TATIANA , hili jina lako changamoto kama utatanguliza neno TU...
Tukija kwenye hizo powes, you still have them ila kuna vitu ulifanya sivyo hivyo hizo nguvu zimelala ndani yako, yaani ziko dormant, you can revive them na kuendelea kuwa kama zamani.
P
 
Mkuu TATIANA , hili jina lako changamoto kama utatanguliza neno TU...
Tukija kwenye hizo powes, you still have them ila kuna vitu ulifanya sivyo hivyo hizo nguvu zimelala ndani yako, yaani ziko dormant, you can revive them na kuendelea kuwa kama zamani.
P
Hahaha haha... Nimejikuta nacheka kwa sauti. Nifanyeje mkuu ili zirudi?
 
Pascal Mayalla
mshana
Hivi mashaka,kutojiamini,hofu unayokuwa nayo mtu pale tu unapotaka kufikia ndoto fulani ina madhara yoyote. Mfano unamwomba Mshana Jr akufanyie mpango fulani alafu kwa hulka tu na nature ya kibinadamu unajikuta una sense mashaka juu ya kufanikisha jambo hilo. Power +Hesitation =?
 
Pascal Mayalla
mshana
Hivi mashaka,kutojiamini,hofu unayokuwa nayo mtu pale tu unapotaka kufikia ndoto fulani ina madhara yoyote. Mfano unamwomba Mshana Jr akufanyie mpango fulani alafu kwa hulka tu na nature ya kibinadamu unajikuta una sense mashaka juu ya kufanikisha jambo hilo. Power +Hesitation =?
Mashaka kinyume chake ni nini?
Hii ni ishara mojawapo inayokupatia mrejesho wako kuwa haupo sawa na nguvu zako, umepoteza au umeshau kuwa una nguvu. Umetoa au umeruhusu maisha yako kutawaliwa na nguvu au power iliyo nje yako. Ukifuatilia kile anachokisema PASCO utaweza kuachana au kuondokana na hayo mashaka na hii inakuja kwa kutambua nguvu uliyonayo.
 
Mkuu The imp, kuna kitu umekisema hapa, Pascal Mayala kazeeka haoni mbele tarehe 25 mwezi 9, mwaka 2019 kunihisu mimi, halafu kilikuja kutokea kweli!. Nikisoma hapa ulisema nini kunihusu na nikipima na kilichokuja kutokea, kiukweli, naanza kujiogopa!.
Nakupitisha kwenye baadhi ya mabandiko yangu uangalie tarehe ya mabandiko hayo, nilisema nini lini na nini kimekuja kutokea kuhusu hicho nilicho kisema!.

The most powerful thing in this world is the power of will!.
Japo kuna msemo kuwa kauli huumba, kumbe kiukweli, kinachoumba sio kauli, bali the will ikiyoko ndani ya hiyo kauli.
If the will is strong enough, you can wish anything and it will happen or materialize!

P
Mie hapo tu nakukubaligiiii kwenye mambo ya powers powers, hivyo hujaweka bango jingine mbali na lile la psychic powers?
 
Kuna mengi ya kufanya lakini nakupa basics kwanza ukifaulu hii hatua ya kwanza nijulishe

Hapo ulipo tafuta Sehemu kimya na utulivu kwa kwenye kiti au jamvi usikunje mgongo weka mikono mapajani kwa kurelax au lala chali kwa kulerax fumba macho halafu anza kuhesabu pumzi

Ili inhale hesabu moja uki exhale mbili endelea na mchakato huo, utaona utakapoanza tu kuhesabu yatakuja mambo kibao utakumbuka mambo ya jana, mipango ya kesho changamoto zako yaani matukio yatakuja kama mkanda wa sinema

Unachotakiwa kufanya ni kustick kwenye pumzi tu, hayo matukio yanayopita ndio takataka zilizojaa kwenye bongo yako


Pia kuna kitu kinaitwa empty meditation: hii unakaa kwakurelax na kuangalia ukuta tu usifikirie chochote zaidi ya kuuangalia huo ukuta, utajikuta huoni ukuta bali unaona mawazoni yako, chanamoto zako mipango yako madeni yako nk nk nk
aya yote ndio takataka zilizojaa kwenye ubongo, Kwahiyo zinacompress mind na kuifanya ishindwe kufanya kazi sawasawa


Unachotakiwa kufanya uwapo kwenye breathing au empty meditation ni kufocus tu kwenye kile ukifanyacho kwa Wakati huo kila kinachojaribu kuja kwenye mind unakifukuza na kurudi kwenye concentration yako ni kazi ngumu mno kutaka kuistation mind kwenye kitu kimoja kwa Wakati mmoja but with serious practice utaona mabadiliko. ...ukiiweza hatua hii ya kwanza nijulishe tuendelee
ahsante
 
Kutokana na kujiuzulu kwa aliyekuwa mwanasheria mkuu wa serikali Jaji Werema ni wazi sasa nafasi hiyo inabaki wazi.

Kwa walio wadau wa tasnia hii ya sheria nadhani wataungana nami pasina shaka lolote kuwa kutokana na nafasi hiyo kuwa nyeti kwa ustawi wa Taifa lolote lile duniani, inahitaji kushikiliwa na mtu mwenye nidhamu, weredi na mwenye uadilifu wa hali ya juu.

Kwa wasomi na wanataaluma wa sheria nchini wenye sifa hitajika ni adimu sasa kwa taifa letu hili kwa sasa, binafsi namfahamu vyema Mhe. Jaji Feleshi licha ya kufanya nae kazi kwa muda wa miaka michache lakini ni mtu ambaye ukimweka na viongozi waandamizi wenye hadhi yake ni kama mtu aliyeshushwa toka peponi.

Hakuna mtu wa kada yeyote anaeza ongea swala la hongo kwa Mhe. Jaji Feleshi, kwa kipindi chote nlichofanya kazi pale Sukari sijawahi ona mfanyakazi wa kawaida akimtangulia kufika ofisini na alikuwa wa mwisho kutoka ofisini, sikuelewa nia ya Mhe Rais kumtoa kwenye uDPP lakini huenda alikuwa akiandaliwa kushika nyazifa za juu katika muhimili huo muhimu ili kuusuka upya lakini kutokana na ombwe hili katika nafasi ya AG bado sijaona mtu mbadala.
Mkuu Tunkamanin, kwanza hongera sana kwa uzi huu.
Japo binadamu wote tumeumbwa sawa, lakini tunatofautiana sana uwezo, karama, vipawa, vipaji na nguvu, yaani powers, kuna baadhi ya wenzetu wana nguvu, ama kwa kujijua ama bila kujijua, mmoja miongoni mwa wenye nguvu hawa ni wewe!.

Amini usiamini, inawezekana kabisa ni kauli yako hii ndio imemuumbia feleshi u AG!.

Nafanya research ya powerful people wa JF, ili niwakusanye pamoja, mziunganishe powers zenu katika lile jambo langu, ili liwe.
Hongera sana kwa powers, naomba support yako kwenye lile jambo langu!.

Hizo powers kila mmoja wetu anazo, hata wewe unazo, ila wengi hawazitumii powers walizonazo kwa kutokujua kuwa wanazo hizo powers as a result, they just lay in a waste!.

Ili kujipima kama unazo na unaweza kuzitumia, tembelea hapa Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?
P
 
"Powers" ndicho kitu kikubwa kabisa duniani kuliko kitu kingine chochote! . God is Power, yaani Mungu ni nguvu, hakuna kitu chochote kinachoonekana kwa macho kumhusu Mungu, bali ni powers zake tuu za mambo Mungu anayoyafanya ndizo zinazoonekana. Chochote mtu atakachokiona kuhusu Mungu iwe ni kwenye mawazo, kwenye maneno, kwenye matendo, kwenye mahubiri, kwenye ndoto, kwenye unabii, kupitia Roho Mtakatifu au kupitia Malaika wake, it's just the manifestation of God's power kwa sababu God is a spirit of power ambazo zinafanya mambo mazuri, doing good.

Powers ndio kila kitu. Watu wote wenye nguvu ni powers, spiritual powers kwa watu wa imani, political powers kwa wanasiasa, economical powers kwa matajiri, social powers kwa wenye vipaji mbalimbali. Everything thing is about powers na mafanikio yoyote katika kila kitu ni jinsi watu wanavyo master hizi powers.

Kitu chenye nguvu kabisa katika mwili wa binadamu ni power ambayo ni nguvu inayoitwa "Will Powers" ambayo kila binadamu, anazaliwa nayo, ila wengine wanabahatika kwa nguvu hizo kujionyesha bayana, huku wengine wengi wakiwa nazo zikiwa zimejificha bila kujijua kuwa wanazo hizo nguvu.

Matumizi ya nguvu hizo, yanapotumika kutenda mema, huitwa nguvu za "Mungu", "Yesu", au "Roho Mtakatifu", "Powers of Light", nguvu za Mwanga, na nguvu hizo zinapotumika kutenda maovu kama uchawi, majanga, magonjwa, etc huitwa "Nguvu za Shetani" powers of the darkness, nguvu za giza, evil spirits etc.

Kwa vile nguvu hizi kila mtu anazo, hata hao wanaofanya miujiza ya uponyaji, wanachofanya ni kufungua tuu milango, ili nguvu zilizo ndani yako, ziweze kutenda hiyo miujiza, na ukipona, kilichokuponya sio huyo mponyaji, wala lile jina la Yesu, au jina Mungu, bali ni nguvu zilizo ndani yako!, "the powers from within!". Hivyo hata usipotumia jina la Mungu au jina la Yesu na ukatumia neno jingine lolote lenye powers vibrations kuzifungulia nguvu hizi zilizo ndani yako, nguvu hizo hufunguka, ndio maana watu wa dini zote hutumia.

Hatua ya kwanza ya kufungua nguvu hizi ni "imani" kuamini kuwa "you have the powers" and that "you can do anything!", or "you can be anybody". Kuamini Mungu, Yesu, Mtume, Allah, Roho Mtakatifu, Bikira Maria, Watakatifu, Wachungaji, Wahubiri, Baba Mtakatifu, Sangoma, Sheriffu, Mlingotini, Chini ya Mti, Chini ya Mbuyu, Mlimani, Pangoni, Kisimani, Mtoni, Ziwani, Kwa Mganga, Vitabu Vitakatifu etc, ni njia rahisi ya kuanzia kufungua milango ya "higher power" to open up your doors for powers from within!" to act on you for you!.

"I know I can, be what I wanna be!"
Psychic Powers- ni nguvu za kufanya miujiza ambazo wengi wanazo bila kujitambua!, swali ni jee wewe unazo?!,
Take time kujitambua kuwa you have the powers,
Nitakusaidia website za kukuelekeza ufanye nini kuhusu hizo powers ulizo nazo zikuletee mafanikio!.
Watu wote wenye mafanikio, wameisha jitambua, ila wengi wanafanya siri!.

Hii ni fursa kwa wewe kujitambua, kuzitumia powers ulizo nazo, kubadili maisha yako!,
NB. Hili ni muhimu sana kuzingatia, mzingi mkuu wa mada hii ni kujitambua, self awareness, kwa vile nimesema Mungu ni Nguvu za kutenda mema, God is Powers of Lightness, na Shetani ni nguvu za kutenda maovu, is powers of darkness, the dividing line between hizi powers ni very thin. Shetani is very clever, ni imposter, ana penda kuji disguise as Mungu, hivyo kuna mambo mengi ikiwemo miujiza ya uponyaji inayofanyika kwenye dunia hii, huku watu wakidhani ni kazi ya Mungu, kumbe sio kazi ya Mungu, ni kazi ya shetani. Hivyo be very careful.

Karibu tujadiliane!.

Paskali
Today, I putting them into practice!.
P
 
Mimi ninanguvu ambayo kunasaa inanifanya nipende kutumia muda mwingini nikiwa pekee yangu kwenye mazingira tulivu(mazingira ya asili),kadiri nitakavo jaribu kuishi maisha ya kawaida napata onyo mfano mimi siku nitakayo shiriki tukio lenye mkusanyiko wa watu baada ya hapo nitachoka tofauti na siku nyingine(I feel like I lost energy),ikitokea hivyo itanilazimu nitafute muda wakukaa pekee yangu hasa napendelea kwenye uoto wa asili, napenda wanyama,kuna aina ya vyakula nikila najisikia hukumu.
Maisha yangu nimekuwa mtu wa kuwa mwenyewe maisha yangu iliwapa wazazi shida kunizoea na kunielewa sikuwa mtu wa kuchangama na watu,lakini kuna mambo kwangu yanatokea naona kawaida lakini ukumwambia mtu anashangaa
1)Mimi nikikutana na mtu mgeni kwa mara ya kwanza naweza kujua ni mtu mzuri au mbaya
2)Watoto wadogo wananipenda kwangu nirahisi kutengeneza urafiki na mtoto kuliko mtu mzima
3)Kwa mfano unafanya kitu ambacho kinaniuzi sio lazima nikuambiye nikiwaza tu unakuta mtu anaacha kufanya hicho kitu mfano mtu akiwa anavuta sigara karibu yangu nikiwaza tu huyo mtu anajishtukia tena saa nyingine anaomba samahani
4)Nikiota ndoto nikiweza kuikumbuka mpaka asubuhi lazima inakuwa na maana lakini kuna muda nashindwa kujua tafsiri labda mpaka tukio litokee
 
Mimi ninanguvu ambayo kunasaa inanifanya nipende kutumia muda mwingini nikiwa pekee yangu kwenye mazingira tulivu(mazingira ya asili),kadiri nitakavo jaribu kuishi maisha ya kawaida napata onyo mfano mimi siku nitakayo shiriki tukio lenye mkusanyiko wa watu baada ya hapo nitachoka tofauti na siku nyingine(I feel like I lost energy),ikitokea hivyo itanilazimu nitafute muda wakukaa pekee yangu hasa napendelea kwenye uoto wa asili, napenda wanyama,kuna aina ya vyakula nikila najisikia hukumu.
Maisha yangu nimekuwa mtu wa kuwa mwenyewe maisha yangu iliwapa wazazi shida kunizoea na kunielewa sikuwa mtu wa kuchangama na watu,lakini kuna mambo kwangu yanatokea naona kawaida lakini ukumwambia mtu anashangaa
1)Mimi nikikutana na mtu mgeni kwa mara ya kwanza naweza kujua ni mtu mzuri au mbaya
2)Watoto wadogo wananipenda kwangu nirahisi kutengeneza urafiki na mtoto kuliko mtu mzima
3)Kwa mfano unafanya kitu ambacho kinaniuzi sio lazima nikuambiye nikiwaza tu unakuta mtu anaacha kufanya hicho kitu mfano mtu akiwa anavuta sigara karibu yangu nikiwaza tu huyo mtu anajishtukia tena saa nyingine anaomba samahani
4)Nikiota ndoto nikiweza kuikumbuka mpaka asubuhi lazima inakuwa na maana lakini kuna muda nashindwa kujua tafsiri labda mpaka tukio litokee
Iv ishawah kukutokea ukiwa unataka kulala kunasauti znakuj na kuondoka kama minongo'no af uwezi kuelew vinavyo zungumzwa au sura za watu au za mahar ulipoenda kweny mzunguko yak yakila cku ndugu?
 
Iv ishawah kukutokea ukiwa unataka kulala kunasauti znakuj na kuondoka kama minongo'no af uwezi kuelew vinavyo zungumzwa au sura za watu au za mahar ulipoenda kweny mzunguko yak yakila cku ndugu?
Hiyo inatokea mfano kuna mazingira mengine nikipita naweza kusikia minong'o au nikahisi kunawatu wanaongea lakini hawaonekani ila pindi ninaposogea unakuta wananyamaza
 
Mimi ninanguvu ambayo kunasaa inanifanya nipende kutumia muda mwingini nikiwa pekee yangu kwenye mazingira tulivu(mazingira ya asili),kadiri nitakavo jaribu kuishi maisha ya kawaida napata onyo mfano mimi siku nitakayo shiriki tukio lenye mkusanyiko wa watu baada ya hapo nitachoka tofauti na siku nyingine(I feel like I lost energy),ikitokea hivyo itanilazimu nitafute muda wakukaa pekee yangu hasa napendelea kwenye uoto wa asili, napenda wanyama,kuna aina ya vyakula nikila najisikia hukumu.
Maisha yangu nimekuwa mtu wa kuwa mwenyewe maisha yangu iliwapa wazazi shida kunizoea na kunielewa sikuwa mtu wa kuchangama na watu,lakini kuna mambo kwangu yanatokea naona kawaida lakini ukumwambia mtu anashangaa
1)Mimi nikikutana na mtu mgeni kwa mara ya kwanza naweza kujua ni mtu mzuri au mbaya
2)Watoto wadogo wananipenda kwangu nirahisi kutengeneza urafiki na mtoto kuliko mtu mzima
3)Kwa mfano unafanya kitu ambacho kinaniuzi sio lazima nikuambiye nikiwaza tu unakuta mtu anaacha kufanya hicho kitu mfano mtu akiwa anavuta sigara karibu yangu nikiwaza tu huyo mtu anajishtukia tena saa nyingine anaomba samahani
4)Nikiota ndoto nikiweza kuikumbuka mpaka asubuhi lazima inakuwa na maana lakini kuna muda nashindwa kujua tafsiri labda mpaka tukio litokee
Kuna namna tunafanana
 
Back
Top Bottom