Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Nakubaliana kabisa na wewe Mkuu Pasco, kipindi fulani katika maisha yangu nilitamani sana kujifunza uchawi mwenye tija, nikajikuta nimeangukia kwenye temple moja south Africa iliyokuwa inafundisha Buddhism Yoga meditation na supernatural powers

Yalikuwa ni masomo magumu ya ajabu na yenye kushangaza kwa jinsi yake, kwa ufupi ni kwamba hakuna chenye nguvu duniani kama bongo(mind) ya binadamu, na tunachokitumia katika mind zetu ni theluthi tu ya kile chote kilichopo

Tunafundishwa kuwa kuna 5senses, lakini Zipo 8 ambapo mtu ukiweza kuzifanyia kazi utafanya maajabu mengi , mind ya mwanadamu imejazwa takataka nyingi mno, illusions na dillusions ukiweza kuziondoa kwenye bongo yako ukabaki na pure and stable mind unakuwa mtu mwingine kabisa mwenye maono na nguvu za ajabu mno

Medition ni kitu cha Mwanzo kabisa kuendea kwenye kudevelop supernatural powers, nilifanya meditation zote, chanting, yoga nikiwa vegitarian kwa miaka mitano nikajikuta nabadilika nikaogopa nikaacha , kwakuwa niliona wazimu kuna mafundisho yanapingana waziwazi na imani yangu

Nimeipenda mada yako sana. Nakaribisha maswali na ufafanuzi nimeisoma sana Buddhism, Taiosm, Satanism na Kshna consciousness

Mwenye kupenda hii mambo atafute kitabu kiitwacho Analects: Way and Its Power.

Samahani mkuu kuna kitabu umekiandika hapo -"Analetics: way and its Power" naweza kukipata wapi make naona kila nkisearch wananiletea vingi nashindwa kukijua..
 
Asee hi Mada nimeipenda sanaa, naona kama zangu zimepotea hivi, nataka kufanya kama wanavyofanya Hao shaven monks
Mkuu Masomo Bal Gera , hizo powers ni possession yaani umepewa ile siku umeumbwa na kuzaliwa, na zitaondoka ile siku unakufa. Haziwezi kupotea ila tuu zinalala!. Unachohitaji kufanya ni kuziamsha tuu!.
P
 
Nataka kujua nakutumia Powers zangu zote nlizonazo for goods of mine, itaweza kunichukua mda gani kuzipata zote zifanye kazi vzr? Pascal Mayalla
Muda utategemea uwezo wako wa concentration na mazoezi ili ziamke. Hakuna hoja ya kuzipata as if hazipo, ni hoja ya namna ya kuziamsha ili zikutumikie.
P
 
Kuna ndoto za kweli ambapo physical body inakuwa imelala, lakini astra inakuwa imeamka na kwenda eneo hilo, hivyo ni kweli hilo eneo uliliona.

Hili ni kumpelekea Rakims mwenyewe ndio mambo zake
P
Sasa naona nimekupata hapa naamini utanisaidia jambo mkuu!

Kuna "mtu" mmoja anaitwa "MUHUNDA" (Jina la CODE) na anasemekana kuwahi kuwa Kiongozi mkubwa wa nchi hii.

"Mtu" huyu tunaambiwa anatumia MIILI tofauti tofauti ili kuendelea kuishi duniani.

Mwili mmoja ukichoka au kuzeeka anahamia kwenye mwili mwingine bila kupitia mchakato wa kifo au reincarnation.

NAOMBA KUKUULIZA, JE, MTU HUYU UNAMFAHAMU? NI NANI?

NA UNA UFAHAMU KUHUSU HUO UWEZO AU HIYO NGUVU YA KUHAMA MIILI?

NAOMBA MSAADA WA MAJIBU MKUU, TAFADHALI.
 
Mkuu Masomo Bal Gera , hizo powers ni possession yaani umepewa ile siku umeumbwa na kuzaliwa, na zitaondoka ile siku unakufa. Haziwezi kupotea ila tuu zinalala!. Unachohitaji kufanya ni kuziamsha tuu!.
P
Nataka kuziamsha mkuu, karibia kila kitu hapo Kuna mengi nimeyaona ninayo mkuu, zaman nlikuwa naambiwa wew uombe basi utuambie kitu flan kimepotelea wapi tukipate na nafanya hivyo afu naoneshwa kwe ndoto, vifo vya watu ninaowajua huwa naoneshwa pia mkuu mpk unaogopa.....
Nataka zote nuzirudishe nianze na nin mkuu Pascal Mayalla
 
Sasa naona nimekupata hapa naamini utanisaidia jambo mkuu!

Kuna "mtu" mmoja anaitwa "MUHUNDA" (Jina la CODE) na anasemekana kuwahi kuwa Kiongozi mkubwa wa nchi hii.

"Mtu" huyu tunaambiwa anatumia MIILI tofauti tofauti ili kuendelea kuishi duniani.

Mwili mmoja ukichoka au kuzeeka anahamia kwenye mwili mwingine bila kupitia mchakato wa kifo au reincarnation.

NAOMBA KUKUULIZA, JE, MTU HUYU UNAMFAHAMU? NI NANI?

NA UNA UFAHAMU KUHUSU HUO UWEZO AU HIYO NGUVU YA KUHAMA MIILI?

NAOMBA MSAADA WA MAJIBU MKUU, TAFADHALI.
Japo huyo mtu umfahamu, hiyo process ya kubadili miili naijua na ipo, niliisoma kwenye kitabu cha Linda Goodman's Star Signs.

Mtu ukizeeka sana mpaka age mate wako wanakwisha, unaona noma kuendelea kuishi hivyo hapo unauvua huo mwili uliozeeka, hapo unakuwa pronounced dead, halafu una asume body ya mtu mwingine mahali pengine na kuendelea kuishi as that other fellow.
P
 
Japo huyo mtu umfahamu, hiyo process ya kubadili miili naijua na ipo, niliisoma kwenye kitabu cha Linda Goodman's Star Signs.

Mtu ukizeeka sana mpaka age mate wako wanakwisha, unaona noma kuendelea kuishi hivyo hapo unauvua huo mwili uliozeeka, hapo unakuwa pronounced dead, halafu una asume body ya mtu mwingine mahali pengine na kuendelea kuishi as that other fellow.
P
Hiyo kali. Tatizo la vitabu navyo ni kwamba you can't challenge to get the facts coz hizo challenges haziwezi chapishwa on the same book. Kuna vitabu vingi pia huweka reviews/comments za waliokisoma kitabu husika kwenye kitabu hichohicho na huchapishwa kwa pamoja, najiuliza hii imekaaje??

Kweli tusome vitabu kupata maarifa ila vitabu vingine kwa kweli???!!!

Ni sawa na baadhi ya watu wanavyonukuu misemo ya maprofesa (nadhani Msigwa anaongoza) how can we proo msemo huo ni sahihi ikiwa baadhi ya hao maprof wamefanya vitu vya ajabu kabisa (Kabud...., Kitil...)
 
Hiyo kali. Tatizo la vitabu navyo ni kwamba you can't challenge to get the facts coz hizo challenges haziwezi chapishwa on the same book. Kuna vitabu vingi pia huweka reviews/comments za waliokisoma kitabu husika kwenye kitabu hichohicho na huchapishwa kwa pamoja, najiuliza hii imekaaje??

Kweli tusome vitabu kupata maarifa ila vitabu vingine kwa kweli???!!!

Ni sawa na baadhi ya watu wanavyonukuu misemo ya maprofesa (nadhani Msigwa anaongoza) how can we proo msemo huo ni sahihi ikiwa baadhi ya hao maprof wamefanya vitu vya ajabu kabisa (Kabud...., Kitil...)
Hata Mimi Pananishinda Sana Hiki Kipengele Eti Unakufa Alafu Unaamkia Mwili Mwingine,Sasa Hapa Waafrika Tukifa Tuaamkia Mwili Wa Kiafrika Na Wazungu The Same Sio [emoji28]
 
Japo huyo mtu umfahamu, hiyo process ya kubadili miili naijua na ipo, niliisoma kwenye kitabu cha Linda Goodman's Star Signs.

Mtu ukizeeka sana mpaka age mate wako wanakwisha, unaona noma kuendelea kuishi hivyo hapo unauvua huo mwili uliozeeka, hapo unakuwa pronounced dead, halafu una asume body ya mtu mwingine mahali pengine na kuendelea kuishi as that other fellow.
P
Samahani sana. Kwanza nashukuru kwa maelezo mazuri sana, umekuwa muwazi tofauti na wengine ni kama hawataki kusema ukweli.

Naomba niulize, usinichoke.

Kwahiyo sasa, akishauvua huo mwili wake, anaenda kwenye mwili mpya UPI?

Anavamia mwili wa mtu aliye hai kama mapepo yanavyomvamia mtu?

Au anapata wapi huo mwili mpya wa kuuvaa?

Kwa sababu ukumbuke hapa mtu huyu hapitii mchakato wa KUZALIWA UPYA KAMA MTOTO?

TAFADHALI.
 
Samahani sana. Kwanza nashukuru kwa maelezo mazuri sana, umekuwa muwazi tofauti na wengine ni kama hawataki kusema ukweli.

Naomba niulize, usinichoke.
Uliza tuu sikuchoki
Kwahiyo sasa, akishauvua huo mwili wake, anaenda kwenye mwili mpya UPI?
Kwanza anapouvua huo mwili wake, ule mwili unakuwa umekufa na unazikwa, kisha yeye anaingia kwenye mwili mwingine wa mtu kijana ambaye na yeye kwao watadhani amekufa na wanazika kumbe wanazika mgomba!.
Anavamia mwili wa mtu aliye hai kama mapepo yanavyomvamia mtu?.
No anavamia mwili wa mtu hai kwa ama kumfanya kama amekufa na jamaa zake kuzika mgomba, ama mtu anapotea mazima na kuhamia eneo jingine jina jingine maisha mengine na kuendelea kuishi.
Au anapata wapi huo mwili mpya wa kuuvaa?
Anajichagulia tuu mtu yoyote na kumuingia
Kwa sababu ukumbuke hapa mtu huyu hapitii mchakato wa KUZALIWA UPYA KAMA MTOTO?

TAFADHALI.
Yes hapiti, kwa upande wa after life za Hinduism na Buddhism, mtu huyo huzaliwa upya kwenye mwili wa mtoto mchanga. Kama umefanya dhambi sana unazaliwa mbwa, paka, mbuzi, panya.

Hivyo Hinduism na Buddhism hawali nyama yoyote, ni total vegetarian wakiamini kila nyama ni binadamu, ila wanakula samaki, na maziwa, hawali mayai.

Hata ma Rastafarian ni hivyo.

P
 
No anavamia mwili wa mtu hai kwa ama kumfanya kama amekufa na jamaa zake kuzika mgomba, ama mtu anapotea mazima na kuhamia eneo jingine jina jingine maisha mengine na kuendelea kuishi.

Anajichagulia tuu mtu yoyote na kumuingia

P

Mhhh, hii mbona ni spiritual corruption ya hali ya juu!!! Very evil!!!!

Asante sana kwa kunipa haya maarifa makubwa!

Kwahiyo, huyo kijana ambaye amekufa kimazingira, roho yake inaenda wapi?

Kwa sababu ndani ya mwili wa yule kijana palikuwa na roho yake.

Sasa inapotokea huyu mvamizi kavamia mwili wa huyu kijana, maana yake panakuwa na roho mbili ndani ya mwili mmoja? yaani roho ya kijana na roho ya mvamizi? (KUMBUKA HUYU KIJANA HAJAFA KIUKWELI UKWELI, BADO YUPO).

NA PIA, Kwa ufahamu wako, umewahi kukutana na scenario ya mwanasiasa wa Tanzania kufanya jambo kama hili? au mtu maarufu?

NA PIA, huyu "mtu" mwenye uwezo wa kuhama miili, anakuwa ni roho ya kawaida ya binadamu, au ni roho ya pepo inayokuwa inapenda kuchukua miili ya binadamu? Au ni kiumbe wa aina gani huyu?
 
Anajichagulia tuu mtu yoyote na kumuingia

P

Hapa umenisisimua nimebaki na maswali mengi.

Anajichagulia mwili anaoutaka?

Kwa mfano akiamua kuuchukua mwili wako anaweza? Kwa jinsi unavyojifahamu? ataweza? atafanikiwa?

Na je, ni kweli ana nguvu za kuchukua mwili wa MTU YEYOTE?

Kila mwili unaingilika? hakuna upinzani fulani wa kiroho kwa wakati fulani kwa baadhi ya watu fulani fulani?
 
Mkuu Pascal Mayalla , kwa heshima na taadhima, ukishanijibu maswali yangu hapo juu, naomba nikuulize swali kuhusu Paul Kagame.

Na yeye nilisikia anajihusisha na haya maswala ya kuvaa miili.

TAFADHALI, USINICHOKE.
 
Back
Top Bottom