Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Boss naomba nisaidie hicho kitabu PM nami nipate maujuzi
 
Mkuu Pascal Mayalla , kwa heshima na taadhima, ukishanijibu maswali yangu hapo juu, naomba nikuulize swali kuhusu Paul Kagame.

Na yeye nilisikia anajihusisha na haya maswala ya kuvaa miili.

TAFADHALI, USINICHOKE.
Hiyo ya Kagame sijaisikia, ila wavaa mwili lazima wabadilike from time to time, mfano mzuri ni hapa Tanzania, so far hakuna Mtu mwingine aliemvaa Mwalimu Nyerere. Ila yule Mbunge Regia Mtema kabla ya kuondoa dunia hii, alimtafuta huyu Binti Life After Life: Regia Mtema (RIP) Amerejea Bungeni Kiaina?
P
 
Aise kumbe
 
Mkuu Mimi macho yangu naweza nikawa natembea barabarani alafu MAGARI nayaona MADOGO yaan nina uwezo wa kuzoom in & out yaan gari kubwa naona km kigari kidogo tu au kuna wakati nikiitumia simu naona km ipo kwenye uso wangu yaan maandishi nayaona hapa hata shule darasani nilikua nakaa nyuma kabisa maana nikikaa mbele nilikua nashindwa kuona vizuri, hii imekaaje mkuu ni power au ni uwezo wa kuona mbali?
 
It's powers of observatory powers, binadamu tuna five senses, vision, sound, smell, taste and touch na five sense organs macho, pua, masikio, ulimi na ngozi.

Baadhi ya watu wanakuwa wamejaaliwa uwezo mkubwa wa sense fulani kuliko wengine. Mfano watu wanaozaliwa vipovu wanakuwa na very strong sense of smell and sound. Wanawake wana very strong sense of touch, ukifanikiwa tuu kumgusa yale maeneo sensitive ya mwili wake, ni kwisha kazi!.

Kwenye vision pia kuna baadhi ya watu macho yao yanaona kuliko macho ya kawaida, wanaona mbali, wachawi na wanyama jamii ya paka, wana night vision wanaona usiku kama mchana, wakati kuna wengine ni myopic hawaoni mbali na wengine wana color blindness.

Walimu wa Shule zote wanawajibu wa kuwaripoti watoto wenye vipaji adimu ili wapewe special observation na mwisho wa siku wawe recruited kwa wale "jamaa zetu wa sehemu".

Kuna watu wana senses za ziada wanakuwa na kitu kinachoitwa Extrasensory perception - Wikipedia, wengine wana
very strong sense of smell, wengine sense of taste, wengine sense of touch na wengine sense of hearing, hata sindano ikidondoka sakafuni wanausikia mlio.

The most powerful sense is the sixth sense, hii ni sense ya kuhisi, kwenye sixth sense, iko ya aina nyingi, na inaitwa kwa majina tofauti tofauti, third aye, intuition, voices from within, preconceptions, premonition, clairvoyant, kama nilivyo zitaja kule mwanzo
P
 
Mkuu Pascal Mayalla nilikuuliza haya maswali hapa
 
Mkuu Ulipo Heshima Yako,Nimepitia Uzi Wote,Kuna Kitu Nimejifunza!
Hatua Ya Kwanza Kwa Zoezi Ulilolitoa Nimekwisha Imaliza, Tafadhali Rudi Naomba Hatua Ya Pili.
 
Mhhh, hii mbona ni spiritual corruption ya hali ya juu!!! Very evil!!!!
Yes every highest state spiritual control is like evil!.
Asante sana kwa kunipa haya maarifa makubwa!

Kwahiyo, huyo kijana ambaye amekufa kimazingira, roho yake inaenda wapi?
Roho zote hazifi ni eternal, kwenye reincarnation sio kila roho zina reincarnate, roho nyingine zinabaki zikitanga tanga kwenye ulimwengu wa roho, as wondering spirits or ghosts.
Kwa sababu ndani ya mwili wa yule kijana palikuwa na roho yake.
Miili ni makasha tuu!, roho ndio kila kitu!, roho ikiisha toka mwili is nothing ndio maana dini zote zinazoamini kwenye after life na reincarnation, mtu akifa tuu ni cremation!.
Sasa inapotokea huyu mvamizi kavamia mwili wa huyu kijana, maana yake panakuwa na roho mbili ndani ya mwili mmoja?
No kabla hajauvamia huo mwili wa kijana, hatua ya kwanza ni kumtoa roho, ili achukue mwili.
yaani roho ya kijana na roho ya mvamizi? (KUMBUKA HUYU KIJANA HAJAFA KIUKWELI UKWELI, BADO YUPO).
Kufa ni roho kuacha mwili!, hivyo hatua ya kwanza ni kumtoa kijana roho hivyo kwenu anakuwa kama amekufa mwili, mnaweza hadi kuzika, kisha usiku jamaa anafuata mwili wake, na kwenda kuishi mbali.

Ikitokea huko alipo kuna mtu anamjua, akirudi kuripoti amemuona, mkipata kibali kufukua kaburi mtakuta jeneza tupu!.
NA PIA, Kwa ufahamu wako, umewahi kukutana na scenario ya mwanasiasa wa Tanzania kufanya jambo kama hili? au mtu maarufu?
No!. Ila nikiwa jeshini JKT Makotupora 1988 kuna jank fulani wa Mirambo nimemsahau jina, alisema amepata reincarnation ya Bruce Lee!. Alikuwa anapiga pushups 100 za kidole gumba!. Anapasua tofali la zege kwa karate!. Baada ya JKT aikwenda UDSM, nikasikia akiwa 2nd year alipata mental case, akapigwa DISCO, then he died mysteriously!.
NA PIA, huyu "mtu" mwenye uwezo wa kuhama miili, anakuwa ni roho ya kawaida ya binadamu, au ni roho ya pepo inayokuwa inapenda kuchukua miili ya binadamu? Au ni kiumbe wa aina gani huyu?
Hizo ni highest states of spiritualism. You can control death!.
P
 
Ahsante sana. Duuh.

Nina maswali mengi sana, lakini naomba unijibu hili la mwisho kwa leo.

1. Umesema mchakato wa kwanza wa huyu mvamizi ni kutoa roho ya kijana.

2. Hii roho ya "kijana" ikishatolewa kwa nguvu, inakuwa haina hamu ya kurudi tena ndani ya mwili? inakuwa haina ari ya ku-claim mwili wake au kuwa na nguvu fulani ya kupambana na mvamizi?

SWALI LANGU HAPA LA MSINGI: Kwenye hii body takeover ya kivamizi, kunakuwa hakuna mashindano fulani ya kiroho au mapigano baina ya hizi roho mbili ya mvamizi na ya kijana?

SAMAHANI.
 
Ahsante sana. Duuh.

Nina maswali mengi sana, lakini naomba unijibu hili la mwisho kwa leo.

1. Umesema mchakato wa kwanza wa huyu mvamizi ni kutoa roho ya kijana.
Kwenye ulimwengu wa mwili, the physical world, every human being is an animal by nature, hence the law of the jungle applies, kama simba anavyomtafuna swala bila huruma, ndivyo masimba kwenye spiritual wanavyo vitafuna viswala bila huruma!.

Kwenye reincarnation, roho ya binadamu akifa anaweza kuzaliwa mbwa, paka au hata panya, hivyo hao wenye uwezo huo wa kuchukua miili ya watu, zile roho zao huzigeuza mbwa, paka au panya!.

Dini Kuu mbili za wana wa Ibrahim, Wakristo na Waislamu, don't believe in reincarnation ni ushetani!. Wachawi pia hutumia powers hizi kuchukua watu kichawi huku ndugu mkizika mgomba
2. Hii roho ya "kijana" ikishatolewa kwa nguvu, inakuwa haina hamu ya kurudi tena ndani ya mwili? inakuwa haina ari ya ku-claim mwili wake au kuwa na nguvu fulani ya kupambana na mvamizi?
The law of the jungle applies, hao wavamizi hutafuta watu weak ndio huwatoa roho, ukiwa strong in whatever the belief, hawakuwezi!, sometimes kuna mapambo spiritual battles ndio ile mtu anaumwa hadi mnajua atakufa akipambana au mkimpambania nguvu za giza zinashindwa anapona!.
SWALI LANGU HAPA LA MSINGI: Kwenye hii body takeover ya kivamizi, kunakuwa hakuna mashindano fulani ya kiroho au mapigano baina ya hizi roho mbili ya mvamizi na ya kijana?
Mapambano yapo kama nilivyoeleza hapo juu ukiwa weak unaondoka!. Hata kwenye uchawi, only the weak in spirit ndio wanalogeka, ukiwa strong hulogeki!.

SAMAHANI.
Bila samahani.
p
 
Very interesting. Ahsante sana.

Sijui nikuulize swali lingine, au umechoka!?

Kama hautajali naomba nikuulize swali lingine tena.

SAMAHANI.
 
Very interesting. Ahsante sana.

Sijui nikuulize swali lingine, au umechoka!?

Kama hautajali naomba nikuulize swali lingine tena.

SAMAHANI.
Bila samahani, unapokutana na mtu Inquisitive kama wewe, kwanza type ya maswali yako yanaonyesha intelligence ya mtu!, hii if ya sasa vilaza wametamalaki sana humu, hivyo unapokutana na an intelligent fellow, you'll be more than happy!, uliza tuu chochote na nijakujibu na sichokagi kujibu!.
P
 
Asante sana, i am very humbled. Majibu yako ni mazuri sana na yananipa maswali mengi.

Naomba nikuulize kitu kuhusu mwanasiasa anaitwa UPENDO PENEZA. Naamini unamfahamu.

Kwa utambuzi wako, unadhani kwamba mwili wa UPENDO PENEZA unatumiwa na marehemu REGIA MTEMA?

Nauliza swali hili kutokana na uzi wako uliouandika kuhusu hawa watu wawili na nimekuwa nikijiuliza sana kama hichi ndicho ulichomaanisha.

Samahani kama swali langu litakuwa limevuka privacy ya hawa watu wawili. Lengo langu ni kutaka kujua tu kuhusu UWEZEKANO wa hili jambo.

Na kwa jinsi inavyoonekana, kwa mtiririko wa mahusiano ya hawa watu wawili katika kipindi cha mwisho cha uhai wa REGIA MTEMA, nashawishika kuamini kwamba wakati mwingine kunakuwa na MKATABA FULANI WA KIROHO wa mtu kuamua mwenyewe kwa ridhaa yake kumpa mwili wake mtu mwingine? Hii inawezekana?

Kama hivyo ndivyo, ni yapi hasa yanaweza kuwa malipo na masharti ya aina hii ya MKATABA? Ni mkataba halali?
 
Mimi nimejaribu sana kujifunza meditation, lakini kutokana na kusongwa na mawazo mengi ya kidunia, huwa siwezi kuconcentrate. Yaani nikianza tu mawazo yanakuja mengi mchanganyiko, hata dakika moja siwezi kutuliza akili. Naomba msaada je nifanyeje ili niweze ku concentrate? Natamani sana kuamsha my psychic powers maana najua ninazo
 
Ni kweli kila mtu anazo. Waalimu wa kutosha tuu tunao humu, TAHAJUDI (Meditation): Mbinu, faida, aina na mambo ya kuzingatia huyu Mkuu Mtambuzi ndie ticha mkuu.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…