Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Kwa kuanzia inabidi upate mwalimu kuna temple moja pale karibu na makaburi ya Muhimbili wanakuwa na meditation sessions kila week waweza fikra pale

Kama unataka kufanya mwenyewe nitajaribu kukutafutia vitabu, kwakuwa kuna mengi ya kufanya kuanzia mavazi lishe vinywaji nk nk kwa mfano kwenye mavazi: Nguo za kubana sana si nzuri, chakula mara nyingi linatakiwa kiwe cha asili na fresh kisiungwe sana ,Epuka vyakula, vya supermarket , soda na hz juice za viwandani vyote c vizr kwa afya ya akili kuna mengi ya kufahamu, kukaa kulala kutembea ni mengi

Na mimi navihitaji vitabu hivyo 0655608067
 
Pasco kwa nini kila nnapofanya meditation kichwa kinauma sana..?
Jawilat, pole, utakuwa ni nervous yaani umepania mno!. Unatakiwa na simple meditation kama pranayana ( breathing ) kwa kulala tuu huku umerelax, unavuta hewa kwa pua na kuitoa kwa mdomo!, usipanie sana ku relax, utakuwa na tention. Hivyo ili uweze ku meditate, kwanza ni lazima uweze kurelax.
Pasco
 
Jawilat, pole, utakuwa ni nervous yaani umepania mno!. Unatakiwa na simple meditation kama pranayana ( breathing ) kwa kulala tuu huku umerelax, unavuta hewa kwa pua na kuitoa kwa mdomo!, usipanie sana ku relax, utakuwa na tention. Hivyo ili uweze ku meditate, kwanza ni lazima uweze kurelax.
Pasco

asante nimefanya tena and it works well
 
sasa wanaotibu kwa kuoteshwa dawa nao ndo kundi lipi hapo
Precognition, premonition and precognitive dreams - Perception of events before they happen.
Energy medicine
- Healing by channeling a form of energy.
Psychic surgery - Removal of diseased body tissue via an incision that heals immediately afterwards
Divination - Gaining insight into a situation via a ritual.[SUP][7]
[/SUP]Clairaudience - receiving messages in thought form from another frequency or realm. It is considered a form.

Baadhi ya waganga ni kweli wananguvu hizi, ila wengi zaidi ni wasanii, wameishajua the powers anazo mgojwa, anachofanya ni make belive kuwa kaoteshwa, anachokupa is nothing, wala hakitibu!, kinachotibu ni imani yako!, kama kikombe cha Babu!. Anayeponyesha sio mganga, bali mwili unajitibu na kujiponya kwa nguvu zako mwenyewe, anachofanya yeye ni kukusaidia tuu wewe kufungua milango ya nguvu zako kufanya mambo!.
Pasco.
 
Ni kweli kabisa kama mtu akiweza kutumia mind yake vizuri then that is where the real power lies. But the benefit of mind power will only be realized if we feed our thinking, which eventual feed the subconscious mind the right thinking. Kama watu wa computer wanavyosema Garbage In Garbage Out...hapo ndipo wengi tunapochemka.Self talk which we do has got a lot to contribute... Na kitu kibaya mawazo mengi tunayoyapeleka kwenye sub conscious mind yanakuwa kama ndio true belief hata kama ukweli hauko hivyo. Kufanikiwa au kuwa tofauti lazima tuweze kuwa na strong affirmations supported by visualization of the reality of our goals
 
Billioness, monks wa Tibet ni habari nyingine!, wanaitwa shaven heads, wanavaa shuka ya orange huku wamenyoa vipara, saa zote wanatembea na tasbihi huku wakifanya mantra!.

Hawa monks kwanza wanatembea peku!, kwenye milima ya ncha kali bila hata scratch miguuni mwao!. Pili wanatembea kwa miguu hadi kilometa 600 kwa siku!, kinachofanyika ni kuonekana kama wanatembea, wakati i actual case wanapaa!, miguu haigusi chini, wanatembea hewani japo wanachapa miguu!. Kula yao pia ni issue!. Wanaweza kupiga 40 days bila chakula, bali ni maji tuu na vijani fulani, wanatumia powers fulani kusimamisha metabolisim na hata ku control heatbeat!.
Hawa monks ni miongoni mwa noble kweli kama aliowazungumza Yesu, hawabebi begi la safari, wala mfuko wa chakula, kila wafanyacho kitajiseti chenyewe mbele kwa mbele, Temple yao iko Kisutu opp. Kisutu Sec.
Pasco.

Imani yao hawa Monks inapingana au inashabihiana vp na imani ya kikristo na/au uislam?
 
Dah we pasco ni noma sana mbona unajaribu kuniamisha kwamba Mungu hayupo bali mimi mwenyewe ndo Mungu! Ooh noo pasco kumbuka mimi ni kiumbe ninayeishi kwa muda tu katika dunia hii na hiyo nguvu iliyomo ndani yangu inakoma mara.Anyway kwakuwa hujaniambia ni nani /nini aliye/kilicho install hiyo nguvu ndani yangu basi hutanitoa kwenye imani yangu kwa sababu imani yangu na msahafu wake ofcoz umeniambia habari za kuwa na uungu ndani yangu, nzuri zaidi imeniambia ni nani aliye install uungu huo ndani yangu na kwa kusudi gani. Ok ndivyo ilivyo kwangu Mungu amenifanya mimi pia mungu!
 
Dah we pasco ni noma sana, mbona unajaribu kuniamisha kwamba Mungu hayupo bali mimi mwenyewe ndo Mungu! Ooh noo pasco! kumbuka mimi ni kiumbe ninayeishi kwa muda tu katika dunia hii na hiyo nguvu iliyomo ndani yangu inakoma mara pumzi ya mwisho inapokata.Anyway kwakuwa hujaniambia ni nani /nini aliye/kilicho install hiyo nguvu ndani yangu, basi hutanitoa kwenye imani yangu kwa sababu imani yangu na msahafu wake ofcoz imeniambia habari za kuwa na uungu(nguvu) ndani yangu, nzuri zaidi imeniambia ni nani aliye install uungu huo ndani yangu na kwa kusudi gani. Ok ndivyo ilivyo kwangu Mungu amenifanya mimi pia mungu!
 
Nakubaliana kabisa na wewe Mkuu Pasco, kipindi fulani katika maisha yangu nilitamani sana kujifunza uchawi mwenye tija, nikajikuta nimeangukia kwenye temple moja south Africa iliyokuwa inafundisha Buddhism Yoga meditation na supernatural powers

Yalikuwa ni masomo magumu ya ajabu na yenye kushangaza kwa jinsi yake, kwa ufupi ni kwamba hakuna chenye nguvu duniani kama bongo(mind) ya binadamu, na tunachokitumia katika mind zetu ni theluthi tu ya kile chote kilichopo

Tunafundishwa kuwa kuna 5senses, lakini Zipo 8 ambapo mtu ukiweza kuzifanyia kazi utafanya maajabu mengi , mind ya mwanadamu imejazwa takataka nyingi mno, illusions na dillusions ukiweza kuziondoa kwenye bongo yako ukabaki na pure and stable mind unakuwa mtu mwingine kabisa mwenye maono na nguvu za ajabu mno

Medition ni kitu cha Mwanzo kabisa kuendea kwenye kudevelop supernatural powers, nilifanya meditation zote, chanting, yoga nikiwa vegitarian kwa miaka mitano nikajikuta nabadilika nikaogopa nikaacha , kwakuwa niliona wazimu kuna mafundisho yanapingana waziwazi na imani yangu

Nimeipenda mada yako sana. Nakaribisha maswali na ufafanuzi nimeisoma sana Buddhism, Taiosm, Satanism na Kshna consciousness

Mwenye kupenda hii mambo atafute kitabu kiitwacho Analects: Way and Its Power.
Mkuu mshana jr, kwanza asante sana kwa michango yako kwenye uzi huu, hakika wewe ni mwalimu!, nakufuatilia kwa makini. Kiukweli mimi binafsi bado natatizwa kidogo na the dividing between powers from within zinazofanya mambo mazuri, na powers from within zinazofanya uchawi, wanga, satanisim na evil spirits!.
Pasco
 
Back
Top Bottom