Kwa kuanzia inabidi upate mwalimu kuna temple moja pale karibu na makaburi ya Muhimbili wanakuwa na meditation sessions kila week waweza fikra pale
Kama unataka kufanya mwenyewe nitajaribu kukutafutia vitabu, kwakuwa kuna mengi ya kufanya kuanzia mavazi lishe vinywaji nk nk kwa mfano kwenye mavazi: Nguo za kubana sana si nzuri, chakula mara nyingi linatakiwa kiwe cha asili na fresh kisiungwe sana ,Epuka vyakula, vya supermarket , soda na hz juice za viwandani vyote c vizr kwa afya ya akili kuna mengi ya kufahamu, kukaa kulala kutembea ni mengi
Jawilat, pole, utakuwa ni nervous yaani umepania mno!. Unatakiwa na simple meditation kama pranayana ( breathing ) kwa kulala tuu huku umerelax, unavuta hewa kwa pua na kuitoa kwa mdomo!, usipanie sana ku relax, utakuwa na tention. Hivyo ili uweze ku meditate, kwanza ni lazima uweze kurelax.Pasco kwa nini kila nnapofanya meditation kichwa kinauma sana..?
Jawilat, pole, utakuwa ni nervous yaani umepania mno!. Unatakiwa na simple meditation kama pranayana ( breathing ) kwa kulala tuu huku umerelax, unavuta hewa kwa pua na kuitoa kwa mdomo!, usipanie sana ku relax, utakuwa na tention. Hivyo ili uweze ku meditate, kwanza ni lazima uweze kurelax.
Pasco
Precognition, premonition and precognitive dreams - Perception of events before they happen.sasa wanaotibu kwa kuoteshwa dawa nao ndo kundi lipi hapo
Sixga, nenda Mafunzo ya Meditation Bure. Ni Kupitia Brahima ... - JamiiForumsMkuu umeelezea vzur sana, kwa mfano mimi nataka nidevelop hapa dsm kuna tempo nayoweza kuhudhuria, au naweza kujitrain alone?
Hii Bullshit ni nzuri sana, bull akiwa ni mnene, hii shit pia ni nene!, inapowers pia ndio maana sisi tunaila kupitia mchicha, na unakuwa ni mtamu sana!, hivyo bullshit ni tamu sana!. Asante!.Bullshit.
Mkuu Cerengeti, Pasco wa jf ni just a pen name tuu, tukianza kutafutana, anakuja mwenyewe halisi!, nimeiona number yako, nitampatia atakutafuta!.Ningependa kujifunza sana kutoka kwako. Naomba nikutafute mkuu.
Hii Bullshit ni nzuri sana, bull akiwa ni mnene, hii shit pia ni nene!, inapowers pia ndio maana sisi tunaila kupitia mchicha, na unakuwa ni mtamu sana!, hivyo bullshit ni tamu sana!. Asante!.
Pasco.
Billioness, monks wa Tibet ni habari nyingine!, wanaitwa shaven heads, wanavaa shuka ya orange huku wamenyoa vipara, saa zote wanatembea na tasbihi huku wakifanya mantra!.
Hawa monks kwanza wanatembea peku!, kwenye milima ya ncha kali bila hata scratch miguuni mwao!. Pili wanatembea kwa miguu hadi kilometa 600 kwa siku!, kinachofanyika ni kuonekana kama wanatembea, wakati i actual case wanapaa!, miguu haigusi chini, wanatembea hewani japo wanachapa miguu!. Kula yao pia ni issue!. Wanaweza kupiga 40 days bila chakula, bali ni maji tuu na vijani fulani, wanatumia powers fulani kusimamisha metabolisim na hata ku control heatbeat!.
Hawa monks ni miongoni mwa noble kweli kama aliowazungumza Yesu, hawabebi begi la safari, wala mfuko wa chakula, kila wafanyacho kitajiseti chenyewe mbele kwa mbele, Temple yao iko Kisutu opp. Kisutu Sec.
Pasco.
Swiper, pia unaweza kwenda hapa Mafunzo ya Meditation Bure. Ni Kupitia Brahima ... - JamiiForumsHii maada imekuja wakati wake.
Mimi nitaomba kujua jinsi ya kupata kitabu hicho. pia kama naweza kuanza kujifunza meditation.
Mkuu hebu anza kutoa mafunzo japo kwa hatua za mwanzo tu!!
SP
Mkuu mshana jr, kwanza asante sana kwa michango yako kwenye uzi huu, hakika wewe ni mwalimu!, nakufuatilia kwa makini. Kiukweli mimi binafsi bado natatizwa kidogo na the dividing between powers from within zinazofanya mambo mazuri, na powers from within zinazofanya uchawi, wanga, satanisim na evil spirits!.Nakubaliana kabisa na wewe Mkuu Pasco, kipindi fulani katika maisha yangu nilitamani sana kujifunza uchawi mwenye tija, nikajikuta nimeangukia kwenye temple moja south Africa iliyokuwa inafundisha Buddhism Yoga meditation na supernatural powers
Yalikuwa ni masomo magumu ya ajabu na yenye kushangaza kwa jinsi yake, kwa ufupi ni kwamba hakuna chenye nguvu duniani kama bongo(mind) ya binadamu, na tunachokitumia katika mind zetu ni theluthi tu ya kile chote kilichopo
Tunafundishwa kuwa kuna 5senses, lakini Zipo 8 ambapo mtu ukiweza kuzifanyia kazi utafanya maajabu mengi , mind ya mwanadamu imejazwa takataka nyingi mno, illusions na dillusions ukiweza kuziondoa kwenye bongo yako ukabaki na pure and stable mind unakuwa mtu mwingine kabisa mwenye maono na nguvu za ajabu mno
Medition ni kitu cha Mwanzo kabisa kuendea kwenye kudevelop supernatural powers, nilifanya meditation zote, chanting, yoga nikiwa vegitarian kwa miaka mitano nikajikuta nabadilika nikaogopa nikaacha , kwakuwa niliona wazimu kuna mafundisho yanapingana waziwazi na imani yangu
Nimeipenda mada yako sana. Nakaribisha maswali na ufafanuzi nimeisoma sana Buddhism, Taiosm, Satanism na Kshna consciousness
Mwenye kupenda hii mambo atafute kitabu kiitwacho Analects: Way and Its Power.