Van Halen
Senior Member
- Dec 4, 2013
- 116
- 191
Duh .. Afadhali waalimu wameongezeka. Maana hapo mwanzo tulikuwa na mwalimu mmoja tu, utadhani shule ya msingi Janja Janja ..!!! :whoo:
Sawa Mkuu! fanya Hivi.. Kila Unapotaka Kulala Na Unapoamka Fanya Meditation Ya Kukaa Kunja Miguu Mtindo Wa Kuikutanisha Nyoosha Mgongo Unyooke Na Kaa Sehemu Ambapo Hutasumbuliwa Na Chochote Kwa Muda Wa Dk 15 Hatapanya Asikatize Vuta Pumzi Mara Tano Zile Deep Na Utoe Zote Ziishe Fumba Macho Uombe Ubongo Wako Utulie Mawazo Sasa Anza Kuhesabu Ukivuta Pumzi Ndani Isikilize Mpaka Ijae Halafu Itoe Mpaka Iishe Vuta Tena Useme Kimoyo Sasa Hivi, Yani Ubongo Ufikilie Wakati Uliopo Pale Na Usiunde Wala Kufikiria Chochote Kuwa Muelewa Acha Vitu Vikutokee
Vyenyewe.. Uwe Na Mavazi Yasiobana Pasiwe Popote Panauma... Endelea Kuvuta Pumzi Kiukweli Kuwaza Pumzi Tu Bila Kingine Ni Ngumu Lakini Jitahidi.. Kila Wazo La Kijinga Likija Sema Sasa hivi Itafika Sehemu Utasikia Mpaka Damu Inavyotembea Hapo Utaendelea Kusema Sasa Hivi Kimoyo Moyo.. Fanya Isizidi Dk 15 Ukanogewa Utaona Kama Video Inacheza Utahisi Kwanza Kama Kitu Kisichoeleweka Yani Hali Ambayo Haielezeki Imetokea Kwenye Paji La Uso.
Halafu Utaanza Kuona Kama Video Ya Mambo Yote Ulioyafanya.. Futa Yote Mabaya Ni Takataka Hizo, Halafu Yakiisha Zitatokea Kama Nyota Zinapanda Juu.. Hiyo Ndio Tunaita Spirits Na Baada Ya Hapo Utahisi Kama Unanyeshewa Mvua Ni Power Hizo Zinaanza Kuingia Mwilini Ukiona Imetosha Inua Kidole Na Ukigonge Kuashiria Unatoka Kwenye Meditation Ukiweza Na Kumaliza Hapo.. Fumbua Macho Na Subiri Usikurupuke Mpaka Macho Yako Yatambue Eneo Uliopo.. Hii Ni Kwa Wanaoanza Zipo Aina Kama 5, Takufundisha Ikikushinda Hii Ahsante.. Karibu Mkuu