Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Au kaka ndio maana Steve Jobs yule founder Apple Inc. Kabla ya uzinduzi wa Apple comptures alienda India kwanza kujifunza Buddahism na inasemekana Jobs hakuwa anapenda kuvaa viatu kama Monks. Je kwa elimu uliyoipata wewe uko South hizi dots nazojaribu kuziunganisha hapa zinaweza kuwa ndio mafanikio ya Steve Jobs na Apple kwa ujumla.
Kitu kingine kama ombi binafsi ebu endelea kutupa experince ya uliyojifunza India..na sehemu zote ulizawai pita vitu vipi vya kustajabisha na kufurahisha ulivyowai viona.
Na nimeshawai ona CNN hawa Monks wa Tibet wakijichoma moto hadhalani kama njia ya kudai uhuru wao kutoka China..hii inakuaje?
Kitu kingine mi ni mpenzi wa busara za Dalali Lama huyu kiongozi wa Tibet vipi nae anauwezo ka hao Monks wengine au ye kajikita kwenye politics tu
Mbeky, hili la Steve Jobs na Buddhaism silijui, ila powers hazina dini!. Ya india nitayawekea thread yake infuture ili nikiwa Dheli nilikuwa napost threads humu jf, sema sizikumbuki.

Kiukweli sijawahi sikia miujiza yoyote ya Dalai Lama, ila hawa monks wa Tibet wana fly na kujigeuza invisible tatizo, hawasemi, wala hawaonyeshi!. Kinachofanya wanafly, wana uwezo wa kustop gravitational force kwenye miili yao hivyo wana float hewani!, ukiwaona utawaona kama wanatembea maana wanachapa miguu ukidhani wanakanyaka ardhi, kumbe wanakanyaka upepo, huko kutembea ni ili tuu watu wasijue kuwa they fly!.
Pasco.
 
Kwa yeyote anaetaka kujua zaidi kuhusu haya mambo kwanza kabisa inabidi ukubali Mungu hayupo maana haya mambo mostly yanapingana na imani tulizozizoea.

Unaweza kuendelea huku ukiamini Mungu yupo lakini jua doubts zako juu ya uwepo wa Mungu zitaongezeka greatly.
 
Toka jana sijahama kwenye hii thread. Mkuu Pasco, Mimi huwa inatokea kupepea km ndege na mabawa yake mara baya linapotaka kunitokea dhidi ya maadui zangu. Nawaacha wakinishangaa nikipepea usingizin. Na pia kuna baadhi ya vitu, watu na maeneo mbalimbali huwa nafika, kuvijua au kuwajua kabla ya kukutana nao au kuviona physically. Na kuna wakati hujikuta kuna matukio yanatokea ktk real life nayakumbuka kama yalitokea before. Huwa nashangaa sana.

Ilishapata kutokea mara kadhaa kuwazungumzia watu vifo na ikawa ivo. Moja kuna shangazi yangu aliumwa kwa mda mrefu sana, akawa ananihitaji nikamuone, wazazi waliniimiza niende kumuona coz ananitaja sana na hawakuwa na uhakika na hata chembe ya kesho yake, by then nilikuwa form three na nikiwa ktk maandalizi ya mitihani ya annual km sikosei. Niliwaambia wazazi, anti hatokufa mpk niende kumuona. Ni kweli baada ya kimaliza mitihani nilienda kumuona na siku mbili badae akafa.

Lingine kuna mtoto wa mama yangu mkubwa alikuwa anasumbuliwa na miguu. Nikiwa nimepanga kwenda kumuona kesho yake, usiku nikaona ameshakufa. Asubuhi nikamwambia mama yangu, naenda kuthibitisha, dada amefariki. Mama akasema ni ndoto tu. Nilipofika huko nilikuta wanatoa makochi nje, nikamuuliza bamkubwa hali ya mgonjwa,, kwa majonzi makuu akanijibu " dada yako ametushinda", nilistaajabu sana. Niliporud home kupeleka taarifa mama yang alibaki kunishangaa.

Pia nilikuwa na uwezo wa kuona wanga na kujua usiku mbaya. Nimepigana na wengi. Ilishanitokea kipindi nikashindwa kulala usingizi japo wa lisaa kwa mwaka mzima. Nikaomba Mungu aniepushie kuona hayo coz nilianza kuogopa. Baadhi ya marafiki nilikuwa nikiwaambia yanitokeayo wakawa wanasema nawasimulia nigerian movies.

Nilpotizama series ya Kyle XY nilipata funzo kwa kiwango fulani juu ya uwepo wa nguvu ndani yetu ambazo binadamu hatuzitumii.

Tupo pamoja katika hii thread.
 
Last edited by a moderator:
Kwa yeyote anaetaka kujua zaidi kuhusu haya mambo kwanza kabisa inabidi ukubali Mungu hayupo maana haya mambo mostly yanapingana na imani tulizozizoea.

Unaweza kuendelea huku ukiamini Mungu yupo lakini jua doubts zako juu ya uwepo wa Mungu zitaongezeka greatly.
Mkuu Bufa, labda kwa wenye imani ya dini nyingine, sawa!, lakini kwa sisi Wakristo, "God is Power!", tumeumbwa kwa mfano wake!, hukaa ndani yetu na sisi ndani yake!, hivyo we have the powers!.

Hii ni mafano ya meditations kwenye Biblia

  1. [h=3]Daily Scripture Readings and Meditations [/h]Biblical Meditation | Bible.org
    What Does the Bible Say About Meditation?
    Meditations - The Word Among Us
    How to Meditate on God's Word - The Scripture Memory Connection
    The Meditation Bible: A Definitive Guide to Meditations for Every ...
    A Meditation on Psalm 103 | Christian Bible Studies
    The Meditation Bible: The Definitive Guide to Meditations for Every ...
    Taizé - Commented Bible Passages
    How Can You Meditate on God's Word? | Bible Gateway Blog


  2. Kama ni matumizi ya powers from within kwenye Bible soma hapa.
    [FONT=Verdana, Arial, Tahoma, Calibri, Geneva, sans-serif][FONT=arial, sans-serif]
    1. [h=3]Romans 7:23 NLT - But there is another power within me - Bible ...[/h]Ephesians 3:20 - Bible Gateway
      BIBLE VERSES ABOUT POWER - King James Bible Online
      Sermons from Seattle - Sermons - Books of the Bible - Ephesians
      Bible verse list - Scriptures about Power from ScriptureMenu.com
      Demons and Their Abilities as Described in the Bible - A Modern ...
      The Miracle of the Holy Bible - general-conference
      What does the Bible say about spiritual warfare? - GotQuestions.org

    [/FONT]
    [/FONT]

Pasco.
 
Kwa yeyote anaetaka kujua zaidi kuhusu haya mambo kwanza kabisa inabidi ukubali Mungu hayupo maana haya mambo mostly yanapingana na imani tulizozizoea.

Unaweza kuendelea huku ukiamini Mungu yupo lakini jua doubts zako juu ya uwepo wa Mungu zitaongezeka greatly.
kiukweli mkuu mm naungana na ww ila nakupingana na ww pia .
ujue hapa nimesoma coment za wadau hasa mkuu Pasco kiukweli mwenyewe kasema kuwa kuna mambo ya kimungu na kishetani na hizi power huwa zinapotea sana hasa kwakufanya mabaya na kila mtu huwa anazaliwa nazo sasa jinsi anapokuwa ndio huwa zinapotea sasa hapa ndio kwenye main point ukiangalia sana mtoto mchanga huwa anakuwa hana dhambi na hatendi dhambi sasa anapokoa shida ndipo huanza huanza kutenda mabaya na hasa machukio kwa mwenyezi mungu na ndipo nguvu hupotea na kama umesoma soma bible kuna sehem kunamistari inasema kama tungekuwa na imani japo hata kiduchu tuu kama punje ya mchanga (hadarani) hakika tungeweza omba moto toka mbinguni na ungeshuka.

ila sasa binadam asilimia 99 hatuna imani na mambo ya kumpendeza mungu ndio maana tunaangukia kwenye mikono ya shetani na wafuasi wake ndio maana hizi nguvu zinakuwa za kishetani lkn kama tungekuwa wacha mungu basi tungekuwa na nguvu za kimungu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Sabayi, hawa monks wamevuka stage ya imani!, they are powers!. Kama hukujua unajua baada ya kukufuka Yesu iliishi wapi?. Alitembeaje?!. Alikulaje?, hayo ndio maisha ya hawa monks!, Yesu alitembea juu ya maji!, hawa jamaa wanatembea juu ya maji!. Yesu alikuwa akiibuka na kupotea, hawa jamaa wanatokea na kupotea!. Yesu alikuwa akitembea kwa kupaa!, hawa jamaa wanatembea kwa kupaa!. Ukristo ni wa juzi tuu! na Uislamu ni wa jana tuu, dini ya hawa jamaa ilikuwepo kitambo sana!.

Kwa hizi dini za zamani Hinduism, Buddhiism na Taoism, kuzilinganisha na Ukristu, ni kama mlima na kichuguu!.

Wewe ambaye umezaliwa kwenye kichuguu, umekulia kwenye kichuguu, na unaishi humo humo ndani ya kichuguu, nyie humo ndani ndio mmeambiwa hicho kichuguu chenu, ndio mlima mkubwa kabisa kuliko yote!. Kwa sababu unachikijya ndio hicho hicho kichuguu, hivyo kinakuwa ndio mlima mkubwa wako!.

Ili kuweza kulinganisha, inakubidi wewe sikumoja utoke humo ndani ya kichuguu itembee tembee huko nje, utakaouna mlima mkubwa, uuliza hilo dubwana ni nini?, utaambiwa huo ndio mlima mkubwa!, utashangaa na kuuliza huo utakuwa ndio mlima wakati umeelezwa mlima mkubwa ni ule wewnu wewe ulimotoka!. Ndipo utakapoambiwa mlima mkubwa ni huo unauona!, mule wewe ulimotoka sio kwenye mlima mkubwa, bali umetoka kwenye kichuguu tuu!. Ukilinganisha huo mlima na kile kichuguu sasa ndio utajua ulima ni upi na kichuguu ni kipi!.

Hivi ndivyo ulivyo Ukristu na hizi dini!. Nimekaa kidogo India, nimezisoma kidogo, ndipo nikagundua kumbe Ukristu ni kichuguu tuu!. Pamoja na ukichuguu wa Ukristo, ninaendelea kushikamana nao, ila when it comes to powers, powers zote ziko ndani yetu!.
Pasco.

Ubarikiwe kwa maelezo mazuri mkuu Pasco one more question
Waamini wa Hinduism, Buddhiism na Taoism Mungu wanayemwamini na kumtumikia ni huyu huyu tunayemwamini na kumtumikia Wakristo?
 
Toka jana sijahama kwenye hii thread. Mkuu Pasco, Mimi huwa inatokea kupepea km ndege na mabawa yake mara baya linapotaka kunitokea dhidi ya maadui zangu. Nawaacha wakinishangaa nikipepea usingizin. Na pia kuna baadhi ya vitu, watu na maeneo mbalimbali huwa nafika, kuvijua au kuwajua kabla ya kukutana nao au kuviona physically. Na kuna wakati hujikuta kuna matukio yanatokea ktk real life nayakumbuka kama yalitokea before. Huwa nashangaa sana.
Mkuu mwakibete, kwanza hongera sana!, you have the powers!. Kinachotakiwa sasa ni namna ya kuzidevep na kuzi channel uanze kuzitumia positively to make things happen!. Hilo la kuruka kwenye ndoto ni kuwa watu wabaya hufanya mambo yao usiku, wachawi huloga usiku, wanga huwanga usiku, etc, hizo unazoziona kama ndoto, ni uwezo wa kuwashutukia na hawakupati!, hawakuwezi!.

Hilo la la kuwakuta watu na vitu kabla ni
Precognition, premonition and precognitive dreams - Perception of events before they happen.
Kukumbuka mambo yaliyotokea zamani ni

Ilishapata kutokea mara kadhaa kuwazungumzia watu vifo na ikawa ivo. Moja kuna shangazi yangu aliumwa kwa mda mrefu sana, akawa ananihitaji nikamuone, wazazi waliniimiza niende kumuona coz ananitaja sana na hawakuwa na uhakika na hata chembe ya kesho yake, by then nilikuwa form three na nikiwa ktk maandalizi ya mitihani ya annual km sikosei. Niliwaambia wazazi, anti hatokufa mpk niende kumuona. Ni kweli baada ya kimaliza mitihani nilienda kumuona na siku mbili badae akafa.
Kutokana na huyo shangazi yako kukuhitaji, ile statement ya "hotokufa mpaka nimuone", wewe bila kujijua, uli stop her death!. Hizi ni powers kubwa sana na hapo uliweza kuzi invoke kwa sababu you had no way, unahitaji kumuona shangazi ila huwezi kuacha mitihani!, the powers from within, zika open up, zikamzuia shangazi asife mpaka ulikenda, na ulipomuona, wewe bila kujijua, uka let it go, na shangazi alipokuona naye she let it go, the she was gone!, laiti ungelijue by then kuwa you have such powers, ungeweza kuzitumia sio kumuacha shangazi afe, bali hata kumponya!, unless alikuwa too old, and she needed to rest!. Powers to delay death ni sawa na powers to stop death, ni powers to perform miracles!.

Now that you know you have powers, nenda kwenye kumbukumbu, watu waliokuudhi hadi ukaumia, nini huwa kinawakuta!. Sometimes watu sio tuu wana powers za kuzuia mambo makubwa, wengine wana destructive powers bila kujijua!. Inawezekanu mtu akikuudhi sana ukakasirika, ukiumia na kulia machozi ya ndani kwa ndani!, linamkuta la kumkuta!.

Lingine kuna mtoto wa mama yangu mkubwa alikuwa anasumbuliwa na miguu. Nikiwa nimepanga kwenda kumuona kesho yake, usiku nikaona ameshakufa. Asubuhi nikamwambia mama yangu, naenda kuthibitisha, dada amefariki. Mama akasema ni ndoto tu. Nilipofika huko nilikuta wanatoa makochi nje, nikamuuliza bamkubwa hali ya mgonjwa,, kwa majonzi makuu akanijibu " dada yako ametushinda", nilistaajabu sana. Niliporud home kupeleka taarifa mama yang alibaki kunishangaa.
Hapo ni Death-warning - A vision of a living person prior to his or her death.

Pia nilikuwa na uwezo wa kuona wanga na kujua usiku mbaya. Nimepigana na wengi. Ilishanitokea kipindi nikashindwa kulala usingizi japo wa lisaa kwa mwaka mzima. Nikaomba Mungu aniepushie kuona hayo coz nilianza kuogopa. Baadhi ya marafiki nilikuwa nikiwaambia yanitokeayo wakawa wanasema nawasimulia nigerian movies.
Huna haja ya kumuomba Mungu kukuepusha, bali kukuongaza, nguvu hizi zijidhihirishe wazi, uzitumie more positively more profitably zaidi ya kupambana tuu na wanga na wachawi, bali kuwatokomeza na hata ikibidi kutoa mapepo kwa wengine, kuponya, kuzuia vifo na kuleta mafanikio.

Nilpotizama series ya Kyle XY nilipata funzo kwa kiwango fulani juu ya uwepo wa nguvu ndani yetu ambazo binadamu hatuzitumii.

Tupo pamoja katika hii thread.
Hili la kusoma tuu vitabu kuwa makini sana!, kuna vitabu sio tuu vinafundisha kutumia nguvu hizi vuzuri, vingine vinapoteza, ikiwemo matumizi mabaya kuusaka utajiri!.
Pasco.
 
kiukweli mkuu mm naungana na ww ila nakupingana na ww pia .
ujue hapa nimesoma coment za wadau hasa mkuu Pasco kiukweli mwenyewe kasema kuwa kuna mambo ya kimungu na kishetani na hizi power huwa zinapotea sana hasa kwakufanya mabaya na kila mtu huwa anazaliwa nazo sasa jinsi anapokuwa ndio huwa zinapotea sasa hapa ndio kwenye main point ukiangalia sana mtoto mchanga huwa anakuwa hana dhambi na hatendi dhambi sasa anapokoa shida ndipo huanza huanza kutenda mabaya na hasa machukio kwa mwenyezi mungu na ndipo nguvu hupotea na kama umesoma soma bible kuna sehem kunamistari inasema kama tungekuwa na imani japo hata kiduchu tuu kama punje ya mchanga (hadarani) hakika tungeweza omba moto toka mbinguni na ungeshuka.

ila sasa binadam asilimia 99 hatuna imani na mambo ya kumpendeza mungu ndio maana tunaangukia kwenye mikono ya shetani na wafuasi wake ndio maana hizi nguvu zinakuwa za kishetani lkn kama tungekuwa wacha mungu basi tungekuwa na nguvu za kimungu.

Kwahiyo hizo ni nguvu za Mungu sio zetu (powers from within). Hizi ni nguvu tegemezi kwa maana hiyo, kama ni tegemezi kwanini watu kama buddhist ambao hawaamini Mungu kabisa wanaoneka wanauwezo zaidi katika kutumia hizi nguvu?
 
Last edited by a moderator:
Ubarikiwe kwa maelezo mazuri mkuu Pasco one more question
Waamini wa Hinduism, Buddhiism na Taoism Mungu wanayemwamini na kumtumikia ni huyu huyu tunayemwamini na kumtumikia Wakristo?
Hapana, Hinduis wana miungu kibao, miungu wakuu ni Shiva, Visnhu and Brahma, Buddhism wao waabudu sanamu ya Budha. Tao wanaabudu sanamu fulani fulani. Dini zote hizi hazimwamini Mungu tunayemwamini sisi, bali kwao ni cencerpt tuu!. Mimi nilipoishi India, nimeisoma kidogo Hinduism na Buddhism, ukizama sana, kama sio imara!, unaweza kutetereka maana huko ni manifestations of powers.
Pasco.
 
Hapana, Hinduis wana miungu kibao, miungu wakuu ni Shiva, Visnhu and Brahma, Buddhism wao waabudu sanamu ya Budha. Tao wanaabudu sanamu fulani fulani. Dini zote hizi hazimwamini Mungu tunayemwamini sisi, bali kwao ni cencerpt tuu!. Mimi nilipoishi India, nimeisoma kidogo Hinduism na Buddhism, ukizama sana, kama sio imara!, unaweza kutetereka maana huko ni manifestations of powers.
Pasco.


Pasco

Kama unadalili ya aura reading, na retrocognition je nini faida yake??
 
Mkuu MC RAS PAROKO, hii inatwa De-javu, yaani unakutana na mtu unajiona uliisha wahi kumuona!, au unafika mahali papya kwa mara ya kwanza, unajiona kama uliishawahi kufika hapo!.

Sababu kuu ni mbili.
1. Huwa unatembea kwa astra travel, hivyo huyo mtu umekutana nae huko, au hapo mahali ulipatembelea hivyo kumbukumbu zimehifadhiwa kwenye sub-concious mind yako, unapomuona au kufika mahali hapo, phisical mind inalink na sub-concious na hivyo kukujulisha ulishamuona, au mahali hapo uliishafika!.
2.Remote viewing - Gathering of information at a distance. Hii ni kuwa kabla hujafika hapo, mind yako imetembelea hilo eneo au imemuona huyo mtu kabla, hivyo unapomuona, unajiona uliisha muona au hapo mahali uliishafika!.
3. Kwa waumini wa Hinduisim, Buddhiisn na Krisna, wanaamini kwenye life after life na life before life katika kitu wanachoita reincarnation, hivyo hoyo mtu ulikutana nae katika life before, na hapo mahali ulifika kwenye maisha yako ya before, hivi hayo maisha yako ya sasa ni "after life!".
Pasco.

Mkuu sikutaka kuchangia lakini dah hapa hata Mimi ni victim.
Ninauwezo wa kujua nini kitatokea. Ninakuwa ninafahamu kabisa ajali itatokea, kesho. Akili na ufahamu unaniambia kuna hatari inakuja kuibiwa au kutapeliwa nk. nisipochukua tahadhari inatokea kweli.
Nikiwa nimelala naota napigana na adui nikiwa nna uwezo wa kupaa kupita katikati ya kuta nikatokea upande wa pili. bila kupitia mlangoni.
Asilimia 90 ya conversations ninazozifanya na watu ninaokutana nao kwa mara ya kwanza ninakuwa nilishazifanya. Nikikutana huwa najikuta nafanya kama marudio.
Mimi sio architect lakini naweza kuchora michoro ya majengo mbali mbali alafu nikampa architect akaweka vipimo.
Majengo mengi huwa naambiwa yalishajengwa mahali mbali mbali!
Natamani kujua Nina nguvu gani na nitazifanyaje ili ziwe real ktk maisha yangu bila kumuathiri Mtu mwingine.
 
Mimi ninazo 2:
  1. Astral projection: Nimewahi kuhama kutoka ndani ya mwili wangu kama mara 2 hivi, moja ni pale nilipokuwa natembea barabarani halafu nikajaribu kuhama kutoka kwenye mwili, nilipourejea nikaukuta umelala chini kwenye vumbi katikati ya barabara, sikufurahia tendo hilo zaidi ya kuogopa! Pili, ni pale nilipokuwa nimekaa kwenye kiti nikisikiliza mziki laini na kujaribu kuzama kwenye huo mziki na kuuacha mwili wangu ambao baadaye nilijikuta nimelala sakafuni!
  2. Hii ya pili bado sijaijua jina au haipo kwenye list hapo juu: Nina uwezo wa kuwaona watu walio uchi ambao wenzangu huwa hawawaoni kila ninapojaribu kuwaonesha, wamefikia mahali wanadhani mimi ni mchawi!

Nimeipenda mada hii, nadhani ni ukweli mtupu ingawa inaweza kuonekana kituko kwa wengine!

Mimi nakuelewa na nakubaliana na wewe haswa kuhama kwenye mwili.
Mwanadamu ni roho iliyo hai inayoishi kwenye Nyumba ambayo ni mwili.
Hivyo basi waweza kuondoka/kutoka/kuhama kwenye mwili na mwili ukawa hauna uhai mpaka unaporudi tena.
Njia tuliyozoea ni kifo ambacho mara zote ukiondoka huwezi kurudi.
Sasa njia hii kuna watu wameigundua siku nyingi. Na ndiyo sababu unasikia mtu anachukua wenzie misukule. Kwa kutumia nguvu hizo alizozitaja Pasco unaweza kumnyofoa mtu kwenye mwili ukampeleka kukutumikia kwenye kazi zako na huku wengine wakaona mwili umeanguka/ haufanyi kazi na madaktari wakasema amefariki!!
 
Mimi ninazo 2:
  1. Astral projection: Nimewahi kuhama kutoka ndani ya mwili wangu kama mara 2 hivi, moja ni pale nilipokuwa natembea barabarani halafu nikajaribu kuhama kutoka kwenye mwili, nilipourejea nikaukuta umelala chini kwenye vumbi katikati ya barabara, sikufurahia tendo hilo zaidi ya kuogopa! Pili, ni pale nilipokuwa nimekaa kwenye kiti nikisikiliza mziki laini na kujaribu kuzama kwenye huo mziki na kuuacha mwili wangu ambao baadaye nilijikuta nimelala sakafuni!
  2. Hii ya pili bado sijaijua jina au haipo kwenye list hapo juu: Nina uwezo wa kuwaona watu walio uchi ambao wenzangu huwa hawawaoni kila ninapojaribu kuwaonesha, wamefikia mahali wanadhani mimi ni mchawi!

Nimeipenda mada hii, nadhani ni ukweli mtupu ingawa inaweza kuonekana kituko kwa wengine!

Mimi nakuelewa na nakubaliana na wewe haswa kuhama kwenye mwili.
Mwanadamu ni roho iliyo hai inayoishi kwenye Nyumba ambayo ni mwili.
Hivyo basi waweza kuondoka/kutoka/kuhama kwenye mwili na mwili ukawa hauna uhai mpaka unaporudi tena.
Njia tuliyozoea ni kifo ambacho mara zote ukiondoka huwezi kurudi.
Sasa njia hii kuna watu wameigundua siku nyingi. Na ndiyo sababu unasikia mtu anachukua wenzie misukule. Kwa kutumia nguvu hizo alizozitaja Pasco unaweza kumnyofoa mtu kwenye mwili ukampeleka kukutumikia kwenye kazi zako na huku wengine wakaona mwili umeanguka/ haufanyi kazi na madaktari wakasema amefariki!!
Kwa hiyo ulipotoka ulitumia nguvu gani? au kuna mtu alikutoa? ulikwenda wapi?
Kwa maana nyingine mwili wako ungekutwa pale kabla hujarudi watu wangesema umekufa
 
Mkuu Utali, usemayo ni kweli, mimi nilifikia stage ya kujiungana Illuminati waitwa Rosecrusins, hawa ndio the most powerful of all, wanaweza kuchange their body vibration at will na kuwa invicible!. Tatizo lao wanataka kwanza lazima ufanyiwe ukubali kula kiapo cha usiri, ndipo ufanyiwe initiations ndipo uwe member!. Hili la kiapo na initiations liliniogopesha!. Freemasons ni cha mtoto!.

Kiukweli lazima uwe very selective, unatafuta powers zipi kwa sababu za Mungu na za shetani ziko hapo hapo from within!.
Pasco.

Mkuu Pasco kwanini kula kiapo cha kufanya usiri? Kuna nini nyuma yake? Kama ni kitu kizuri kwanini wadiweke wazi watu wengi wakafahamu na kutumia nguvu hizo kwa faida na ustawi wa mwanadamu???
 
Toka jana sijahama kwenye hii thread. Mkuu Pasco, Mimi huwa inatokea kupepea km ndege na mabawa yake mara baya linapotaka kunitokea dhidi ya maadui zangu. Nawaacha wakinishangaa nikipepea usingizin. Na pia kuna baadhi ya vitu, watu na maeneo mbalimbali huwa nafika, kuvijua au kuwajua kabla ya kukutana nao au kuviona physically. Na kuna wakati hujikuta kuna matukio yanatokea ktk real life nayakumbuka kama yalitokea before. Huwa nashangaa sana.

Ilishapata kutokea mara kadhaa kuwazungumzia watu vifo na ikawa ivo. Moja kuna shangazi yangu aliumwa kwa mda mrefu sana, akawa ananihitaji nikamuone, wazazi waliniimiza niende kumuona coz ananitaja sana na hawakuwa na uhakika na hata chembe ya kesho yake, by then nilikuwa form three na nikiwa ktk maandalizi ya mitihani ya annual km sikosei. Niliwaambia wazazi, anti hatokufa mpk niende kumuona. Ni kweli baada ya kimaliza mitihani nilienda kumuona na siku mbili badae akafa.

Lingine kuna mtoto wa mama yangu mkubwa alikuwa anasumbuliwa na miguu. Nikiwa nimepanga kwenda kumuona kesho yake, usiku nikaona ameshakufa. Asubuhi nikamwambia mama yangu, naenda kuthibitisha, dada amefariki. Mama akasema ni ndoto tu. Nilipofika huko nilikuta wanatoa makochi nje, nikamuuliza bamkubwa hali ya mgonjwa,, kwa majonzi makuu akanijibu " dada yako ametushinda", nilistaajabu sana. Niliporud home kupeleka taarifa mama yang alibaki kunishangaa.

Pia nilikuwa na uwezo wa kuona wanga na kujua usiku mbaya. Nimepigana na wengi. Ilishanitokea kipindi nikashindwa kulala usingizi japo wa lisaa kwa mwaka mzima. Nikaomba Mungu aniepushie kuona hayo coz nilianza kuogopa. Baadhi ya marafiki nilikuwa nikiwaambia yanitokeayo wakawa wanasema nawasimulia nigerian movies.

Nilpotizama series ya Kyle XY nilipata funzo kwa kiwango fulani juu ya uwepo wa nguvu ndani yetu ambazo binadamu hatuzitumii.

Tupo pamoja katika hii thread.

Mkuu I think wewe ni pacha wangu. We are the same trust me!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom