asha ngaswaga
Member
- Nov 16, 2013
- 48
- 7
Kwl zpo nkijiangalia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ndipo kwenye tatizo kubwa kabisa na nyinyi ambao mko limited to the Bible!. Haya mambo yamefanyika miaka 300,000 kabla ya Kristu!, issue ni kuamini!, nguvu hizi tulipewa kabla hata ya ujio wa Yesu!,.Narudia tena, Imani anayozungumzia Yesu ni Imani ya mwanadamu kumwamini Mungu na si vinginevyo kama unavodai. Ndio maana walioponywa walimwamini Mungu na si kujiamini wao kama wao. Mbona hiyo Imani iliyomo ndani mwao haikuwaponya mpaka walimwomamini Yesu? Wengine walipogusa upinde wa nguo ya Yesu waliponya. Mbona hakutumia Imani yake kujiponya?
Huu sio uzi wa dini , ni uzi wa powers regardless uko dini gani, you have the powers , use them!.Kwanini usiupeleke huko na huu uzi wako?
Hapa ndipo kwenye tatizo kubwa kabisa na nyinyi ambao mko limited to the Bible!. Haya mambo yamefanyika miaka 300,000 kabla ya Kristu!, issue ni kuamini!, nguvu hizi tulipewa kabla hata ya ujio wa Yesu!,.
Kwenye thread start nimeweka links za dini zote ambazo zinafundisha hizi powers ikiwemo Christianity!
Pasco
Huu sio uzi wa dini , ni uzi wa powers regardless uko dini gani, you have the powers , use them!.
Pasco
Huu sio uzi wa dini , ni uzi wa powers regardless uko dini gani, you have the powers , use them!.
Pasco
Hapa ndipo kwenye tatizo kubwa kabisa na nyinyi ambao mko limited to the Bible!. Haya mambo yamefanyika miaka 300,000 kabla ya Kristu!, issue ni kuamini!, nguvu hizi tulipewa kabla hata ya ujio wa Yesu!. Unayakumbuka mambo ya Musa?, Shadrarck Metili na Abednogo?, Sodoma na Gomora?, Noah, Ayubu, Yusufu, Dudi, Suleimani etc!. Hawa wote walitumia jina la Yesu?!.Narudia tena, Imani anayozungumzia Yesu ni Imani ya mwanadamu kumwamini Mungu na si vinginevyo kama unavodai. Ndio maana walioponywa walimwamini Mungu na si kujiamini wao kama wao. Mbona hiyo Imani iliyomo ndani mwao haikuwaponya mpaka walimwomamini Yesu? Wengine walipogusa upinde wa nguo ya Yesu waliponya. Mbona hakutumia Imani yake kujiponya?
Kinachoponya ni imani!, where there is a will, there is a way!. Hao ambao hawakupona, hawakuwa na imani, kwa vile nguvu ziko ndani yako, haijalishi uko wapi, huko huko ulipo, unapona!.Mbona hiyo Imani haikuwaponya wale vipofu wao kama wao mpaka wakamwamini Yesu ndo wakapona???
Huku ndiko tulikotakiwa kwenda tangu mwanzo na sio huu ubishani!, wewe una uwezo wa kufanya kila kitu!, na kwa vile u miongoni mwa mlionibeza sana humu, hebu pokea mstari huu, kutoka [h=3]Mathayo 17:20[/h][h=3]Yesu akawaambia, Kwa sababu ya upungufu wa imani yenu. Kwa maana, amin, nawaambia, Mkiwa na imani kiasi cha punje ya haradali mtauambia mlima huu, Ondoka hapa uende kule; nao utaondoka; wala halitakuwako neno lisilowezekana kwenu [/h]Maana ya mstari huu ni binadamu amepewa uwezo wa kufanya kila kitu only if, ataamini kuwa uwezo huu anao!, chembe ya haradali ni mbegu ya tunda la komamanga!, hii inamaana imani ya wengi ni kama mbegu ya mchicha!,
Kitu cha kwanza to open powers doors ni kuamini, " you have the powers!, and you can be anything, anybody, and you can do everything!.
Pasco.
Yes you have them, kila mtu anazo!, hatua ya kwanza kabisa ni kujitambua kuwa you have the powers kufanya kila kitu!, kupata kazi nzuri, pesa nzuri, nyumba nzuri, gari zuri, mke mzuri, maisha mazuri, just name it, belive it, and get it!, as simple as that, bila masharti yoyote!. Wengi wenye mafanikio, wamefanikiwa kwa sababu ya kuamini wanaweza, ila wengi wanafanya siri za mafanikio yao, ili wengine wasijue.Ha ha ha ha ha hata mimi ninazo enh?
Yes you have them, kila mtu anazo!, hatua ya kwanza kabisa ni kujitambua kuwa you have the powers kufanya kila kitu!, kupata kazi nzuri, pesa nzuri, nyumba nzuri, gari zuri, mke mzuri, maisha mazuri, just name it, belive it, and get it!, as simple as that, bila masharti yoyote!. Wengi wenye mafanikio, wamefanikiwa kwa sababu ya kuamini wanaweza, ila wengi wanafanya siri za mafanikio yao, ili wengine wasijue.
Just open the powers doors and windows za nguvu zako, zitoke zifanye mambo!.
Pasco.
Mkuu Mtuzu, you can never tell things you've never known!. Maadam mwisho wa uelewa wako wa Mungu ni kwa mujibu wa Biblia, then usibishie kuhusu uwepo wa Mungu miaka milioni 100 kabla ya Ukristo!. Kule juu nimekuwekea vitabu mamia kwa maelfu ujisomee mwenyewe!, why limit your self only kwenye Bible?!.Mkuu shida si kwamba napinga uwepo Wa Hizo nguvu na ninalielewa sana Hilo fungu.
Shida ni pale unapomlinganisha Mungu na shetani Na Kusema kua Mungu hakuwaumba malaika na Kusema Adam na Eve tunda walilo kula si tunda la mti na mpaka Yesu kuzaliwa na mama yake bila kuingiliwa ni kukwepa dhambi Ambayo Adam na Hawa waliifanya. Pamoja na mambo mengine Ambayo unadai yamo kwenye bible!
Kwahiyo hiyo Ndio shida! Shida si kwamba napinga nguvu unayo zungumzia ila tatizo unachanganya mambo ya kidunia na maandiko ya Mungu na kumlinganisha Mungu na shetani!
Yesu ni Mungu!.Yesu alikuwa nazo?
Mkuu Tedo, There you are!, tuanzie hapo twendo mdogo mdogo, ili na wengine wenye imani kama yako, wazitumie!. Unazo zipi na unazitumiaje?!.Mkuu Pasco mimi nimekulewa sanaaa!!!! Mimi kama Mkristu huwa nazitumia hizo power kwa jina la Yesu....Nimepata somo zuri sana.....
Yesu ni Mungu!.
Mkuu Tedo, There you are!, tuanzie hapo twendo mdogo mdogo, ili na wengine wenye imani kama yako, wazitumie!. Unazo zipi na unazitumiaje?!.
Pasco.
Yesu ni Mungu!.
Umenichekesha mno, hata na hiyo ni nguvu inaitwa uoganism.duh mie nasoma haya mambo naogopa,,mlango umejibamiza tu wenyewe nimerukajee!mhh endeleeni kutujuza
Mbona una hasira sana we mzee ni Mungu yupo unamtetea kwa kauli chafu hizi?Where did I quote your question! Where!!?
Attention seeker who's IQ is like a scunk!
All you can come up with is"God did that ....why God that.....!
Unatuandikia utumbo mtupu na kujaza server with your garbage!
Mi najibu thread ya mtu mwingine! We unatoa hio pua yako km nyumba ya nyuki!
I told you! Utakuja kufa ghafla halafu utatambua huo Mungu unae mpiga vita kila siku na hao walevi wenzako YUPO au HAYUPO?
Nyau asiye na shukran!
Mnfnsßsssssssssssss