Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
What! No, viongozi wetu wanaendesha nchi kwa kundi la utashi binafsi, hawawajali wananchi isipokuwa makundi yao.Huyu Mama, atatupatia katiba mpya, ila wakati wa kipindi chake cha pili cha 2025- 2030.
Hivyo nyie wote mnaotaka katiba mpya, kama mnaitaka kwa dhati, then 2025 twende na Mama.
P
Aliyetabiri JPM atakua president ni member anaitwa MAGAMBA MATATU cheki hii thread ya mwaka 2012Wanabodi,
Moja ya topic ngumu sana humu JF, ni topic za kitu kinachoitwa Trends Readings za psychoanalysis trends, kinacho tokana na ku psychanalyse Trends kisaikolojia kwa kutumia tabia za mtu za nyuma, tabia za sasa kuweza ku détermine tabia kitakachokuja kutokea baadae in near future kwa short term, médium term na long term.
Trends Reading ni Nini, na Zina Kazi Gani, na Zina Faida Gani?.
Kwa kifupi, trends ni mielekeo, hivyo trends readings ni kusoma mielekeo, faida ya kusoma mielekeo, au direction, na kuangalia kule mliko toka, hapo mlipo mlipo, ili kujua kule mnakokwenda. Ni kama somo la Historia, ni kujifunza mambo ya zamani, kule tulikotoka, kulinganisha ya sasa hapa tulipo, hivyo kuweza kujua kule tuendako. History is the study of the past in relation to the present, to determine the future. Hivyo faida kubwa kabisa ya trends reading is the determination of the future. The future haijiji tuu kama kudra ya Mwenyezi Mungu, inakuwa determined na matendo yako ya nyuma, matendo yako ya sasa, hivyo kuipanga kesho yako iweje.
Trends Reading Sio Utabiri, Sio Ubashishiri, Ni Usomaji wa Mienendo na Mielekeo, Matokeo ya Trends ni Uhakika Zaidi Kuliko Utabiri na Ubashiri.
Kuna watu wanachanganya ubashiri, utabiri na trends readings. Japo yote matatu, yanaweza kusema kitatokea nini in future, mtabiri yeye anatumia mizimu kuuliza na kuona kitatokea nini, hawa wanaitwa scorchers, kuna wasoma nyota wanaoweza kukuambia yajayo kwa kusoma nyota yako, hawa wanaitwa astrongers, kama Sheikh Yahaya Hussen. Kuna wabashiri, hawa ni watu wa kubahatisha tuu kama bahati nasibu, Simba na Yanga zikicheza, kuna matokeo matatu tuu, au kushinda, kushindwa na sare. Wabashiri wanabahatisha lolote likitokea, wanakula bingo kwenye betting. Trends Readers, sio wanajimu, sio wabashiri ni watu wa kawaida tuu ambao ni wasoma mielekeo, trends na kuweza kusema kitatokea nini in future kutokan na matendo au matukio ya nyuma, matukio ya sasa na hivyo kujua matukio yajayo.
Trends Readers Humu JF ni Kina Nani na Jee Hizo Trends Zao, Zilikuja Kutokea?
Mimi ni mtu wa mastori mastori, kwa wapenda mastori, sasa kwa faida ya wenzetu wasio penda long stories, mnaweza kuishia hapa, na kwenda kusoma conclusion
Tuanze na Psychoanalysis ni nini na ya kazi gani au inasaidia nini?.
Conclusion
Trends za Samia, zinaonyesha tunaelekea kwenye Tanzania njema yenye rais humber, mpole, nyenyekevu, mstahimilivu, na hata kule UN, tumemshuhudia katika hotuba yake, amehutubia UN akiwa humble vile vile. Once humble, always humble.
Mungu ambariki sana, Mama Samia aendelee na hii humbleness yake asibadilike.
Mtu mcha Mungu, mpole, mnyenyekevu wa type ya Mama Samia, akitibuliwa na akatibuka... JPM atakuwa ni mtakatifu!.
Kama alivyo sema mwenyewe kuhusu uwezo wa macho yake yale, yanaona hayo!, na akasema wazi yeye sio mtu wa kufoka foka na akatoa onyo tusimzengue "mkinizengua, tuta zenguana"
Natoa wito kwa sisi wana Jf, la Watanzania kwa ujumla lets give her time, tumpe muda wa kutosha kuisuka nchi. Lets not take upole wake, unyenyekevu wake na humbleness yake for granted tukaanza kumzengua...
She will be....
Naomba nisimalizie
Nakutakia Jumapili Njema.
Paskali
Na hii reply tunasave for coming referencesMkuu LoyalTzCitizen , huyu Mama, atatupatia katiba mpya, ila wakati wa kipindi chake cha pili cha 2025- 2030.
Hivyo nyie wote mnaotaka katiba mpya, kama mnaitaka kwa dhati, then 2025 twende na Mama.
PWatanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!
Wanabodi, Kati ya maeneo magumu sana kwenye tasnia ya habari ambayo kwa sisi Tanzania tumelikosa, tunaendelea kulikosa, na kama hawatajitokeza watu wenye uwezo wa kulifanya, tutaendelea kulikosa, ni eneo la "news analysis" uchambuzi wa habari. Kazi kuu za traditional media ni kuhabarisha...www.jamiiforums.com
Hahaha nicheke mimiWanabodi,
Moja ya topic ngumu sana humu JF, ni topic za kitu kinachoitwa Trends Readings za psychoanalysis trends, kinacho tokana na ku psychanalyse Trends kisaikolojia kwa kutumia tabia za mtu za nyuma, tabia za sasa kuweza ku détermine tabia kitakachokuja kutokea baadae in near future kwa short term, médium term na long term.
Trends Reading ni Nini, na Zina Kazi Gani, na Zina Faida Gani?.
Kwa kifupi, trends ni mielekeo, hivyo trends readings ni kusoma mielekeo, faida ya kusoma mielekeo, au direction, na kuangalia kule mliko toka, hapo mlipo mlipo, ili kujua kule mnakokwenda. Ni kama somo la Historia, ni kujifunza mambo ya zamani, kule tulikotoka, kulinganisha ya sasa hapa tulipo, hivyo kuweza kujua kule tuendako. History is the study of the past in relation to the present, to determine the future. Hivyo faida kubwa kabisa ya trends reading is the determination of the future. The future haijiji tuu kama kudra ya Mwenyezi Mungu, inakuwa determined na matendo yako ya nyuma, matendo yako ya sasa, hivyo kuipanga kesho yako iweje.
Trends Reading Sio Utabiri, Sio Ubashishiri, Ni Usomaji wa Mienendo na Mielekeo, Matokeo ya Trends ni Uhakika Zaidi Kuliko Utabiri na Ubashiri.
Kuna watu wanachanganya ubashiri, utabiri na trends readings. Japo yote matatu, yanaweza kusema kitatokea nini in future, mtabiri yeye anatumia mizimu kuuliza na kuona kitatokea nini, hawa wanaitwa scorchers, kuna wasoma nyota wanaoweza kukuambia yajayo kwa kusoma nyota yako, hawa wanaitwa astrongers, kama Sheikh Yahaya Hussen. Kuna wabashiri, hawa ni watu wa kubahatisha tuu kama bahati nasibu, Simba na Yanga zikicheza, kuna matokeo matatu tuu, au kushinda, kushindwa na sare. Wabashiri wanabahatisha lolote likitokea, wanakula bingo kwenye betting. Trends Readers, sio wanajimu, sio wabashiri ni watu wa kawaida tuu ambao ni wasoma mielekeo, trends na kuweza kusema kitatokea nini in future kutokan na matendo au matukio ya nyuma, matukio ya sasa na hivyo kujua matukio yajayo.
Trends Readers Humu JF ni Kina Nani na Jee Hizo Trends Zao, Zilikuja Kutokea?
Mimi ni mtu wa mastori mastori, kwa wapenda mastori, sasa kwa faida ya wenzetu wasio penda long stories, mnaweza kuishia hapa, na kwenda kusoma conclusion
Tuanze na Psychoanalysis ni nini na ya kazi gani au inasaidia nini?.
Conclusion
Trends za Samia, zinaonyesha tunaelekea kwenye Tanzania njema yenye rais humber, mpole, nyenyekevu, mstahimilivu, na hata kule UN, tumemshuhudia katika hotuba yake, amehutubia UN akiwa humble vile vile. Once humble, always humble.
Mungu ambariki sana, Mama Samia aendelee na hii humbleness yake asibadilike.
Mtu mcha Mungu, mpole, mnyenyekevu wa type ya Mama Samia, akitibuliwa na akatibuka... JPM atakuwa ni mtakatifu!.
Kama alivyo sema mwenyewe kuhusu uwezo wa macho yake yale, yanaona hayo!, na akasema wazi yeye sio mtu wa kufoka foka na akatoa onyo tusimzengue "mkinizengua, tuta zenguana"
Natoa wito kwa sisi wana Jf, la Watanzania kwa ujumla lets give her time, tumpe muda wa kutosha kuisuka nchi. Lets not take upole wake, unyenyekevu wake na humbleness yake for granted tukaanza kumzengua...
She will be....
Naomba nisimalizie
Nakutakia Jumapili Njema.
Paskali
HakikaKatiba mpya is the only solution' periodd!
Umenena mkuuWanabodi,
Moja ya topic ngumu sana humu JF, ni topic za kitu kinachoitwa Trends Readings za psychoanalysis trends, kinacho tokana na ku psychanalyse Trends kisaikolojia kwa kutumia tabia za mtu za nyuma, tabia za sasa kuweza ku détermine tabia kitakachokuja kutokea baadae in near future kwa short term, médium term na long term.
Trends Reading ni Nini, na Zina Kazi Gani, na Zina Faida Gani?.
Kwa kifupi, trends ni mielekeo, hivyo trends readings ni kusoma mielekeo, faida ya kusoma mielekeo, au direction, na kuangalia kule mliko toka, hapo mlipo mlipo, ili kujua kule mnakokwenda. Ni kama somo la Historia, ni kujifunza mambo ya zamani, kule tulikotoka, kulinganisha ya sasa hapa tulipo, hivyo kuweza kujua kule tuendako. History is the study of the past in relation to the present, to determine the future. Hivyo faida kubwa kabisa ya trends reading is the determination of the future. The future haijiji tuu kama kudra ya Mwenyezi Mungu, inakuwa determined na matendo yako ya nyuma, matendo yako ya sasa, hivyo kuipanga kesho yako iweje.
Trends Reading Sio Utabiri, Sio Ubashishiri, Ni Usomaji wa Mienendo na Mielekeo, Matokeo ya Trends ni Uhakika Zaidi Kuliko Utabiri na Ubashiri.
Kuna watu wanachanganya ubashiri, utabiri na trends readings. Japo yote matatu, yanaweza kusema kitatokea nini in future, mtabiri yeye anatumia mizimu kuuliza na kuona kitatokea nini, hawa wanaitwa scorchers, kuna wasoma nyota wanaoweza kukuambia yajayo kwa kusoma nyota yako, hawa wanaitwa astrongers, kama Sheikh Yahaya Hussen. Kuna wabashiri, hawa ni watu wa kubahatisha tuu kama bahati nasibu, Simba na Yanga zikicheza, kuna matokeo matatu tuu, au kushinda, kushindwa na sare. Wabashiri wanabahatisha lolote likitokea, wanakula bingo kwenye betting. Trends Readers, sio wanajimu, sio wabashiri ni watu wa kawaida tuu ambao ni wasoma mielekeo, trends na kuweza kusema kitatokea nini in future kutokan na matendo au matukio ya nyuma, matukio ya sasa na hivyo kujua matukio yajayo.
Trends Readers Humu JF ni Kina Nani na Jee Hizo Trends Zao, Zilikuja Kutokea?
Mimi ni mtu wa mastori mastori, kwa wapenda mastori, sasa kwa faida ya wenzetu wasio penda long stories, mnaweza kuishia hapa, na kwenda kusoma conclusion
Tuanze na Psychoanalysis ni nini na ya kazi gani au inasaidia nini?.
Conclusion
Trends za Samia, zinaonyesha tunaelekea kwenye Tanzania njema yenye rais humber, mpole, nyenyekevu, mstahimilivu, na hata kule UN, tumemshuhudia katika hotuba yake, amehutubia UN akiwa humble vile vile. Once humble, always humble.
Mungu ambariki sana, Mama Samia aendelee na hii humbleness yake asibadilike.
Mtu mcha Mungu, mpole, mnyenyekevu wa type ya Mama Samia, akitibuliwa na akatibuka... JPM atakuwa ni mtakatifu!.
Kama alivyo sema mwenyewe kuhusu uwezo wa macho yake yale, yanaona hayo!, na akasema wazi yeye sio mtu wa kufoka foka na akatoa onyo tusimzengue "mkinizengua, tuta zenguana"
Natoa wito kwa sisi wana Jf, la Watanzania kwa ujumla lets give her time, tumpe muda wa kutosha kuisuka nchi. Lets not take upole wake, unyenyekevu wake na humbleness yake for granted tukaanza kumzengua...
She will be....
Naomba nisimalizie
Nakutakia Jumapili Njema.
Paskali
Mtu mcha Mungu, mpole, mnyenyekevu wa type ya Mama Samia, akitibuliwa na akatibuka... JPM atakuwa ni mtakatifu!.
Paskali
Mkuu masare, kwanza asante kunitambulisha bandiko la MAGAMBA MATATU, la mwaka 2012. Kwanza nimelisoma, ni kweli amemtaja JPM, lakini kama mmoja miongoni mwa wengi. He/she was not specific. Tembelea bandiko hili, la mwaka 2012 wakati wa upepo wa EL, uangalie nilisema nini kuhusu EL na kusema kama sio EL CCM imsimamishe nani.Aliyetabiri JPM atakua president ni member anaitwa MAGAMBA MATATU cheki hii thread ya mwaka 2012
Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa
Sikubaliani na wewe, baada ya 2015 kutakuwa na katiba mpaya ambayo haitampa raisi madaraka makubwa na kutakuwa na utawala wa sheria, pia kuwawajibisha wavivu siyo udikteta, swala la mashoga raisi hawezi kuwa na maamuzi nalo kwani litakuwa chini ya mahakama ya katiba kuamua, kumbuka wakati huo...www.jamiiforums.com
Pasco acha sifa za kijinga
Mkuu Babe la mji , duh...!, yaani Pasco ni TISS!, uandishi ni kuzuga tuu!, kiukweli hii kali na kubwa kuliko!. Tiss anayeikosoa serikali yake mitandaoni!.Pasko kuwa Usalama wa Taifa basi Tunajua unapewaga briefing uzilete hapa na unafanya uandishi kama cover tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Bwana PGO, mimi sio mtu wa K vant, mimi ni kijana wa Joni Mtembezi Alama Nyeusi, ni kitu very fine, haina nang over na hauamki nazo, bali stimu hukata after few hours na una kuwa uko fersh kabisa.Amka kunywa supu, ondoa hangover then andika vizuri, muda huo nitakua nimetoka ibadani. Kwasasa naona ni Kvant ndio imeandika sio Wewe
Mkuu zandrano , naunga mkono hoja.Unyeyekevu wake unatokana na malezi yake bora aliyo yapata.
ni mtu mcha Mungu mwenye hofu ya Mungu, anaye amini kuwa cheo au madaraka vyote hivyo haviwezekani isipokuwa kwa Mkono wa Mungu.
Hivyo kiongozi anayejua hayo kamwe hawezi kuinua mabega juu. Rais Mama Samia ni mfano mzuri sana kwa viongozi wengine wa juu, wa chini na hata wananchi wa kawaida, kama Amiri Jeshi Mkuu anakuwa mnyenyekevu kwa kila mtu kiasi hiki! sembuse mimi na wewe!
kwa wenye akili tayari wamejiongeza lkn kwa wenye akili nusu kikombe wanaweza kujenga dharau na udhaifu kumbe sivyo.
Kiongozi yeyote anayejua maaana ya uongozi lazima awe mnyenyekevu.
Mkuu Akasankara , kwani ni yeye?, maadam kesi inasikilizwa, nashauri tusiingilie uhuru wa mahakama, nadhani hata Mama hapendi hizo mambo.Kitendo cha kubambikia watu mashitaka hakijapokelewa vyema na watanzania. Tutende HAKI siku zote. Kuwaonea watu na kuwaweka watu magerezani huku wewe ukila na kushiba ni kumkosea Muumba mbingu na Dunia.
kama alijipendekeza kwa msukuma mwenzie na hakufanikiwa sidhani kama atafanikiwa kwa mama.Hizi sio zama za kujipendekeza