Rose Gabriella
JF-Expert Member
- Oct 17, 2020
- 603
- 583
Mwanahabari aliyepotea MKIRUAzory gwanda ndio kitu gani nyie wapuuzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanahabari aliyepotea MKIRUAzory gwanda ndio kitu gani nyie wapuuzi.
Anajifanya PolisiMaking a good guess? Wewe ni Polisi?...
Maelezo meeeeengi yasiyo na maana. Jipange uandike upyaRubbish. Professor Palamagamba is right to speak the truth. Azorygwanda alipotea Kibitilindi lakini hatujui alipoteaje but we can make a good shrewed guess. Who was he? A journalist, not "proper" journalist but a freelance, not much better than a petty informer. He was working for Kenyan newspapers, kazi yake kubwa ilikuwa breaking news. We assume he was being paid well for his scoops as they call them. Who knows, labda majambazi waligutu au walihisi anawatibulia mipango yao breaking news kuzitoa prematurely?
One more thing: breakingnews ilikuwa magazeti ya Kenya tu, si ya Tanzania, hata ya Kubenea nduhu. Pili, zilikuwa breaking news tu kama polisi au kada wa CCM kanyongwa au kachinjwa porini na magaidii su kituo cha polisi kimevamiwa. You must remember that Kibitilindi kilikuwa kitovu cha magaidi, walikimbizwa Mombasa wakaenda Tanga wakaenda Sitakisheri, mhamsishaji wao akiwa ni kikundi cha Uamsho toka Zanzibar.
Walikamatwamatwa wakakimbilia Kibitilindi kwa Azorigwanda, baadaye wamekimbilia Msumbiji. Kama unatafuta ukweli waulize watu watatu: 1. Magazeti ya Kenya; 2. Chadema (walisema Bungeni kuwa CCM wenyewe wamejitakua); 3, wa tatu waulize Uamsho kupitia ACT wazalendo (walipofukuzwa CUF na lilipumba walihamua huko) ndiyo watetezi wao.
Jiulize: Kibitilindi hakuna mtu wa CUF au ACT au Chadema aliyeuliwa na magaidi. You don't have to be a Policeman to see it is an organised racket for political ends.
Tayari nimemsameheMsamehe
CHADEMA huyoooNdio nini hii mkuu?
Mambo yenu ya "codes" au sio?RAMJANE
Wabongo mkoje nyie?Azory gwanda ndio kitu gani nyie wapuuzi.
Nyie wawili mnajuana mimi siingiliiWabongo mkoje nyie?
Nimemtaja Azory gwanda hapo?
Hao jamaa ni CHADEMA UFIPA wanawewesekaWabongo mkoje nyie?
Nimemtaja Azory gwanda hapo?
Umekosea sana kutumia neno wapuuziAzory gwanda ndio kitu gani nyie wapuuzi.
pouwaa😂😂😂mm c mwanasiasa malkia
Njoo nikupe kadi ya CCMWabongo mkoje nyie?
Nimemtaja Azory gwanda hapo?
Njoo CCM dadapouwaa
Busara kitu cha bureUmekosea sana kutumia neno wapuuzi
Siwezi kuwa mwanachama wa hivi vyama ambavyo mwanachama hana ubavu wa kumkosoa mkubwa wake.Njoo nikupe kadi ya CCM
Wachache humu wanaichafua JF yetuBusara kitu cha bure
Daaah...Siwezi kuwa mwanachama wa hivi vyama ambavyo mwanachama hana ubavu wa kumkosoa mkubwa wake.
Mbona unapenda sana "assumptions" na sio realities? Alafu hii ni kazi ya Polisi kwa mujibu wa katiba na sio wewe raia kama mimi...Who was he? A journalist, not "proper" journalist but a freelance, not much better than a petty informer. He was working for Kenyan newspapers, kazi yake kubwa ilikuwa breaking news. We assume he was being paid well for his scoops as they call them. Who knows, labda majambazi waligutu au walihisi anawatibulia mipango yao breaking news kuzitoa prematurely?
😂😂😂😂😂😂mm c mwanasiasa malkia
Ndio maana mimi ni mzalendo tu na sina chama mpaka sasando shida ilipofina Kama nchi ikiwa tofauti ni team ufipa na ukiwa muungaji team mbogamboga