TANZIA Pumzika kwa amani Sanctus Mtsimbe

Dah!

My guy Superman is gone for good.

I’m at a loss for words.

Tumetoka naye mbali sana kwa kweli. JF mwaka huu inatimiza miaka 18!

Ni muda mrefu kiasi chake mpaka ‘wakongwe’ wake wanaanza kupungua.

Kuna mwaka nilishinda ‘JF Man of the year’ na yeye alihusika sana kwenye ushindi wangu huo [it was all in the name of levity, of course].

I’m so sad.

Pole za dhati ziwafikie ndugu, jamaa, na marafiki zake wote popote pale walipo.

Nitamkumbuka kwa mengi sana.

Pumzika rafiki yangu.
 

Uko sahihi, Kila nikimkumbuka huyu jamaa, taswira yake inakuja akiwa kwenye viazi la suti nadhifu na tai.
 
Sifa zote hizi Kem Kem nina uhakika zingetolewa wakati bado akiwa Hai si tu zingependeza bali hata Yeye angezifurahia mno ila ni bahati mbaya sana anapewa akiwa Ameshafariki labda Ndugu zake walio Hai ndiyo sasa wataziona na pengine hata Kushukuru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…