TANZIA Pumzika kwa amani Sanctus Mtsimbe

Niliwasiliana na bro kuhusu kunisaidia kuweka radio yetu Tzgospel Radio Tzgospel Radio satellite alinipa ushirikiano wa kutosha na mwongozo ilikua ni vibali pekee tu nimekaribia kukamilisha kaka umeenda kaka umeendaa!


Ungesubiri basi radio iingie kwenye satellite
 
Apumzike kwa amani mkongwe Mtsimbe...

Inasikitisha sana, nimekutana na hii habari katika instagram page ya Azamtv , nikaja upande huu kuona kama kuna tanzia ya huyu mkongwe...
 
Looh, pole sana kwa familia! Naikumbuka sana michango yake hapa jukwaani!
Yeah mwenyewe ni mgeni machoni na masikioni ila inatukumbusha kutojisahau sana...tunakufa bro..daah
Mliojiunga JF miaka ya 2020 hamwezi kumfahamu huyu bwana. Naona alipunguza sana uchangiaji hapa jukwaani. Aliwahi kuleta simulizi moja nzuri sana ya vituko vya JKT ya miaka ile (siyo hii ya miezi 3).
 

R.I.P
 
Ni kweli, apumzike kwa amani mkwe wetu. Tuko hapa nyumbani kwenye kikao cha familia.
 
R.I.P Mwamba mwenzetu JFs.

Tangulia tunakuja
 
Shocking news ! RIP Mtsimbe.
 
Tujitahidi tunapokuwa na nafasi mbalimbali maisha yetu yaguse Watu as possible as it can take ili tusiwape watu kazi ya kutuelezea kinagaubaga ili kufahamisha waliobaki hai jinsi tulivyokuwa muhimu.

Mtu anaweza kuwa na kanafasi kadogo akagusa watu na maisha yake kuliko mwenye Macheo makubwa yaliyojaa ubinafsi.

Mnisamehe kama nimekuwa so Hatsh labda ni vile leo nimetoka msibani nikaona jinsi watu na magari yalivyojaa kumsindikiza mama huyo mzee utadhani alikuwa waziri.

Na upendo wa watoto wake ndio ulimaliza kabisa mpaka mvua iliyokuwa ikikaribia kabisa kunyesha na kulowesha kila kitu haikunyesha tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…