Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣La saba B huwa hawajui neno "lunch"!Utakuwa form two E.
Kuna watu wanaona pesa zao ni za kutunza ,lakini za wenzao ni za kutumia alafu baadae wakwambie umefulia ulikuwa huna plan nzuri ya maisha. hao watu ni wakuwapiga pin tu.Linapofika swala la Asubuhi kwenda kwenye Chai, Ofisi nyingi huwa Zina Staff Tea.
Sasa Kuna wale ambao wanaenda Canteen kununua chai.
Mshahara tunalipwa wote kiwango sawa au Hata wewe umenizidi mshahara, Punguzeni kuomba nunuliwe Breakfast.
Na ukifika Mchana pia kama Kawa mda wa luch mnajifanya kutia huruma Ili tu mnunuliwe msosi.
Kuna mwenzenu kashaniita bahili kisa tu nimekataa kumnunulia chai.
Pesa zenu mnazifanya za malengo za wenzenu ndo za kutumia.
Hata wanaume wapo ndugu na wanakela kweliNi wanawake au wanaume??
BalaaLinapofika swala la Asubuhi kwenda kwenye Chai, Ofisi nyingi huwa Zina Staff Tea.
Sasa Kuna wale ambao wanaenda Canteen kununua chai.
Mshahara tunalipwa wote kiwango sawa au Hata wewe umenizidi mshahara, Punguzeni kuomba nunuliwe Breakfast.
Na ukifika Mchana pia kama Kawa mda wa luch mnajifanya kutia huruma Ili tu mnunuliwe msosi.
Kuna mwenzenu kashaniita bahili kisa tu nimekataa kumnunulia chai.
Pesa zenu mnazifanya za malengo za wenzenu ndo za kutumia.
Kwa hiyo ushapokea hizo baraka, ama time Will Tell mkuu?Nanunuaga sana ranchi ni vire wananichukuriaga poa.
Ila kazini 🙌🙌🙌
Kuna dada nilimpa kodi fulani ya kupata pesa ambayo tayari alikuwa ashaipoteza, akaniahidi 10% ile ela ikiingia nmgaramikie na ranchi kama wiki hivi hadi hela yake itakapoingia. Hela ikaingia sikuambulia hata mia yake mbovu kaishia kusema nakuombea kwa Mungu akubariki 😂
Ni hatari muraaFita ni fita muraaa🤣🤣
Sasa unaingia kanda maarumu. Karibu Tarime.
I don't think if giving someone a one-day backup could be all the bad, but if it becomes repetitive and frequent, then something must be wrong with that guy.Hata wanaume wapo ndugu na wanakela kweli
Baraka gani kashanipiga chenga ya mwiliKwa hiyo ushapokea hizo baraka, ama time Will Tell mkuu?
Uongo ungeshaacha laanaNdio🤣
Idadi kubwa ya hawa wagogo makazini na mitaani ni wanawake na wengine wana waume zao na wanafanya kazi pia. Mimi mwanamke yeyote asiye na faida kwangu ni vigumu sana kumnunulia kitu au hata kumpa offer ya chai mkono mmoja, simpi hata iweje.Linapofika swala la Asubuhi kwenda kwenye Chai, Ofisi nyingi huwa Zina Staff Tea.
Sasa Kuna wale ambao wanaenda Canteen kununua chai.
Mshahara tunalipwa wote kiwango sawa au Hata wewe umenizidi mshahara, Punguzeni kuomba nunuliwe Breakfast.
Na ukifika Mchana pia kama Kawa mda wa luch mnajifanya kutia huruma Ili tu mnunuliwe msosi.
Kuna mwenzenu kashaniita bahili kisa tu nimekataa kumnunulia chai.
Pesa zenu mnazifanya za malengo za wenzenu ndo za kutumia.
Hili Jambo Kwa upande Wangu nimeliona sana,Kuna watu wanaona pesa zao ni za kutunza ,lakini za wenzao ni za kutumia alafu baadae wakwambie umefulia ulikuwa huna plan nzuri ya maisha. hao watu ni wakuwapiga pin tu.
Kuna kusaidiana lakin wengine ni unyonyaji na roho mbaya
Uko sahihi sana, Maana Daah Hawa Watu wanajiona Special sana, yaani woa ni wakupewa mda wote, Vyao ni vya Thamani vya wengine ni Vya Bure,Idadi kubwa ya hawa wagogo makazini na mitaani ni wanawake na wengine wana waume zao na wanafanya kazi pia. Mimi mwanamke yeyote asiye na faida kwangu ni vigumu sana kumnunulia kitu au hata kumpa offer ya chai mkono mmoja, simpi hata iweje.
Wanaona nao wapite njia zenu - umeona uchungu wa kugharamikia mtu mzima eehSikuizi hadi miwanaume inaomba ilipiwe lunch na yenyewe,. Hovyo kabisa🚮
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sikuizi hadi miwanaume inaomba ilipiwe lunch na yenyewe,. Hovyo kabisa[emoji706]
Duuuh hatariii.Na kuna wale wamepack magari nyumbani Kwa kupunguza gharama
Au hawajanunua kabisa magari.
Ila kila siku ni kudandia lift yako, na mbaya zaidi kutwa wanawaponda watu wanaoweka mafuta kwenda kazini kuwa wanatapanya hela na hawana mahesabu ya maisha!!
Wasio ma handsome huwa hawaombi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawa wakaka mahandsome muwaone hivihivi tu,, wanatabia mbaya sana sikuizi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nanunuaga sana ranchi ni vire wananichukuriaga poa.
Ila kazini [emoji119][emoji119][emoji119]
Kuna dada nilimpa kodi fulani ya kupata pesa ambayo tayari alikuwa ashaipoteza, akaniahidi 10% ile ela ikiingia nmgaramikie na ranchi kama wiki hivi hadi hela yake itakapoingia. Hela ikaingia sikuambulia hata mia yake mbovu kaishia kusema nakuombea kwa Mungu akubariki [emoji23]
Wana danga vipi? Em sema kwani! [emoji23][emoji23][emoji23]Wapo wapo wengi sana tena hadi kudanga wanadanga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unajisifia kula Pepsi na chipsi halafu tutegemee transformations kama Taifa? Hatari sana