Punguzeni kuomba, wote tunafanya kazi Kipato sawa

Punguzeni kuomba, wote tunafanya kazi Kipato sawa

Linapofika swala la Asubuhi kwenda kwenye Chai, Ofisi nyingi huwa Zina Staff Tea.

Sasa Kuna wale ambao wanaenda Canteen kununua chai.

Mshahara tunalipwa wote kiwango sawa au Hata wewe umenizidi mshahara, Punguzeni kuomba nunuliwe Breakfast.

Na ukifika Mchana pia kama Kawa mda wa luch mnajifanya kutia huruma Ili tu mnunuliwe msosi.
Kuna mwenzenu kashaniita bahili kisa tu nimekataa kumnunulia chai.

Pesa zenu mnazifanya za malengo za wenzenu ndo za kutumia.
Kuna watu wanaona pesa zao ni za kutunza ,lakini za wenzao ni za kutumia alafu baadae wakwambie umefulia ulikuwa huna plan nzuri ya maisha. hao watu ni wakuwapiga pin tu.

Kuna kusaidiana lakin wengine ni unyonyaji na roho mbaya
 
Linapofika swala la Asubuhi kwenda kwenye Chai, Ofisi nyingi huwa Zina Staff Tea.

Sasa Kuna wale ambao wanaenda Canteen kununua chai.

Mshahara tunalipwa wote kiwango sawa au Hata wewe umenizidi mshahara, Punguzeni kuomba nunuliwe Breakfast.

Na ukifika Mchana pia kama Kawa mda wa luch mnajifanya kutia huruma Ili tu mnunuliwe msosi.
Kuna mwenzenu kashaniita bahili kisa tu nimekataa kumnunulia chai.

Pesa zenu mnazifanya za malengo za wenzenu ndo za kutumia.
Balaa
 
Nanunuaga sana ranchi ni vire wananichukuriaga poa.

Ila kazini 🙌🙌🙌
Kuna dada nilimpa kodi fulani ya kupata pesa ambayo tayari alikuwa ashaipoteza, akaniahidi 10% ile ela ikiingia nmgaramikie na ranchi kama wiki hivi hadi hela yake itakapoingia. Hela ikaingia sikuambulia hata mia yake mbovu kaishia kusema nakuombea kwa Mungu akubariki 😂
Kwa hiyo ushapokea hizo baraka, ama time Will Tell mkuu?
 

Attachments

  • IMG_20210608_230726.jpg
    IMG_20210608_230726.jpg
    49.8 KB · Views: 2
Kuna wale wengine mmetoka kwenye kikao au semina mmelipwa wote laki na 20, halafu anakwambia hauna buku 2 hapo maana mimi sina hela ndogo. Ukitoa tu imeisha hiyo.

Mwingine anakuomba buku cash anakwambia hela yake ipo kwenye simu, kutoa itakuwa usumbufu. Namwambia hata mimi ipo kwenye simu.
 
Linapofika swala la Asubuhi kwenda kwenye Chai, Ofisi nyingi huwa Zina Staff Tea.

Sasa Kuna wale ambao wanaenda Canteen kununua chai.

Mshahara tunalipwa wote kiwango sawa au Hata wewe umenizidi mshahara, Punguzeni kuomba nunuliwe Breakfast.

Na ukifika Mchana pia kama Kawa mda wa luch mnajifanya kutia huruma Ili tu mnunuliwe msosi.
Kuna mwenzenu kashaniita bahili kisa tu nimekataa kumnunulia chai.

Pesa zenu mnazifanya za malengo za wenzenu ndo za kutumia.
Idadi kubwa ya hawa wagogo makazini na mitaani ni wanawake na wengine wana waume zao na wanafanya kazi pia. Mimi mwanamke yeyote asiye na faida kwangu ni vigumu sana kumnunulia kitu au hata kumpa offer ya chai mkono mmoja, simpi hata iweje.
 
Kuna watu wanaona pesa zao ni za kutunza ,lakini za wenzao ni za kutumia alafu baadae wakwambie umefulia ulikuwa huna plan nzuri ya maisha. hao watu ni wakuwapiga pin tu.

Kuna kusaidiana lakin wengine ni unyonyaji na roho mbaya
Hili Jambo Kwa upande Wangu nimeliona sana,
Idadi kubwa ya hawa wagogo makazini na mitaani ni wanawake na wengine wana waume zao na wanafanya kazi pia. Mimi mwanamke yeyote asiye na faida kwangu ni vigumu sana kumnunulia kitu au hata kumpa offer ya chai mkono mmoja, simpi hata iweje.
Uko sahihi sana, Maana Daah Hawa Watu wanajiona Special sana, yaani woa ni wakupewa mda wote, Vyao ni vya Thamani vya wengine ni Vya Bure,
Nawaonaga hata kwenye usafiri, atakufata umpe lifti, ila kumbuka yeye huyo Hana masada wowote kwako zaidi ta kutaka apewe yeye msaada mda wote.
 
Na kuna wale wamepack magari nyumbani Kwa kupunguza gharama
Au hawajanunua kabisa magari.

Ila kila siku ni kudandia lift yako, na mbaya zaidi kutwa wanawaponda watu wanaoweka mafuta kwenda kazini kuwa wanatapanya hela na hawana mahesabu ya maisha!!
Duuuh hatariii.
 
Nanunuaga sana ranchi ni vire wananichukuriaga poa.

Ila kazini [emoji119][emoji119][emoji119]
Kuna dada nilimpa kodi fulani ya kupata pesa ambayo tayari alikuwa ashaipoteza, akaniahidi 10% ile ela ikiingia nmgaramikie na ranchi kama wiki hivi hadi hela yake itakapoingia. Hela ikaingia sikuambulia hata mia yake mbovu kaishia kusema nakuombea kwa Mungu akubariki [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom