Punguzeni kuomba, wote tunafanya kazi Kipato sawa

Punguzeni kuomba, wote tunafanya kazi Kipato sawa

Linapofika swala la Asubuhi kwenda kwenye Chai, Ofisi nyingi huwa Zina Staff Tea.

Sasa Kuna wale ambao wanaenda Canteen kununua chai.

Mshahara tunalipwa wote kiwango sawa au Hata wewe umenizidi mshahara, Punguzeni kuomba nunuliwe Breakfast.

Na ukifika Mchana pia kama Kawa mda wa luch mnajifanya kutia huruma Ili tu mnunuliwe msosi.
Kuna mwenzenu kashaniita bahili kisa tu nimekataa kumnunulia chai.

Pesa zenu mnazifanya za malengo za wenzenu ndo za kutumia.
cc: Wadada wa mjini wanaojishaua, Kajala, Wema,, Aunty Ezekiel, na wengineo wa Bongo movie na fleva
 
Linapofika swala la Asubuhi kwenda kwenye Chai, Ofisi nyingi huwa Zina Staff Tea.

Sasa Kuna wale ambao wanaenda Canteen kununua chai.

Mshahara tunalipwa wote kiwango sawa au Hata wewe umenizidi mshahara, Punguzeni kuomba nunuliwe Breakfast.

Na ukifika Mchana pia kama Kawa mda wa luch mnajifanya kutia huruma Ili tu mnunuliwe msosi.
Kuna mwenzenu kashaniita bahili kisa tu nimekataa kumnunulia chai.

Pesa zenu mnazifanya za malengo za wenzenu ndo za kutumia.
Salamu hizi ziwafikie hao wadada wote hapo ofisini kwenu
 
Hii tabia siipendi! Ukiukataa unaambiwa bahili! Unakuta mtu anapata hela tena kubwa kuliko ww ila kila wakati ni kujilalamisha maisha magumu ili akukope au umnunulie kitu hela zao wananunulia mavitu makubwa makubwa
 
Back
Top Bottom