Punyeto: Mitazamo ya Uislam na Ukristo

Hii itakuwa kweli, maana puli tayari , na vitoto vingi sana block 4 ...kubet ndio nimeanza, nilihisi sitokuja ku bet, nimeanza ku bet uzeeni πŸ™‚πŸ™‚
πŸ˜„πŸ˜„ Mi kubet niliwahi kujaribu 2015 nikaliwa Jero sikuwahi kujaribu Tena.Kwanza mi na mipira/Michezo Ni mbalimbali hata sehemu wakianza kujadili mipira tu huyo najinyanyukia zangu naenda kutafuta utelezi.
 
πŸ˜„πŸ˜„ Mi kubet niliwahi kujaribu 2015 nikaliwa Jero sikuwahi kujaribu Tena.Kwanza mi na mipira/Michezo Ni mbalimbali hata sehemu wakianza kujadili mipira tu huyo najinyanyukia zangu naenda kutafuta utelezi.
Nilianza ku bet hivi karibuni, nilikuwa sina kitu nipo juu hatari,nikatupia mziigo sportpesa kwani ulirudi sasa πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ mzigo wote ulienda, utelezi na mpira ni mbingu na nchi..
 
Mkuu mstari umeandika wazi kuhusu β€œkutazama” sina shaka kama ingekusudiwa Punyeto ingeelezwa wazi maana ufiraji umekatazwa waziwazi mkuu.
 
Oh Shukran sana, natumai kuna watu watachukua ushauri huu.
 
Mkuu lakini maelezo haya hayajajibu swali

Vipi kama mtu akamtamani mkewe?
 
Mkuu lakini maelezo haya hayajajibu swali

Vipi kama mtu akamtamani mk

Mkuu lakini maelezo haya haya jajibu swali

Vipi kama mtu akamtamani mkewe?
Mkuu JumaKilumbi

Biblia inamwelekeza mwanaume kumpenda mke wake na kumtimizia mahitaji yake (Ikiwemo tendo la ndoa).

Hakuna mahali biblia inamwambia mwanaume kuwa amtamani mkewe, bali ameambiwa kumpenda. Hilo suala la kutamani unalianzisha mwenyewe kwa utashi wako tu; au ni namna uliyojitungia wewe mwenyewe kama ilivyoandikwa kwenye wakolosai 2:23
 
Kwa hiyo mtu kumtamani mkewe wa ndoa kwa mujibu wako ni dhambi?
 
mewahi sikia baadhi ya vijana walioko kwa ndoa wakipiga nyetooo

nyeto = mental health problem - lack of self confidence
Kuna Mtu nilizungumza nae jana alikiri kuwa kuna muda anamuacha mkewe na kufanya hivyo.
 
Mkuu kwa heshima sote sina hakika kama unajua Mapenzi yanavyofanya kazi.

Inawezekanaje mtu kutomtamani mumewe?
 
Kwa hiyo mtu kumtamani mkewe wa ndoa kwa mujibu wako ni dhambi?
Mimi nimetoa maandiko ya biblia yanayomwelekeza mwanaume kumpenda mkewe na kumtimizia mahitaji yake.

Hizo habari za "Kwa mujibu wangu" zimetoka wapi? Mimi ni nani hadi niwe na mujibu wangu?
Mimi ninajibu kwa mujibu wa biblia sio mujibu wangu.

Ni bora na wewe ulete maandiko ya biblia yanayokuruhusu kupiga punyeto kwa kumtamani mkeo aliyeko mbali
 
Mkuu kwa heshima sote sina hakika kama unajua Mapenzi yanavyofanya kazi.

Inawezekanaje mtu kutomtamani mumewe?
Biblia inasema usimtamani mwanamke asiye mke wako..kwa uelewa wangu mdogo hapo maana yake kumtamani mkeo kiasi hata cha kumpigia nyeto kama hampo pamoja sio dhambi.
 
Biblia inasema usimtamani mwanamke asiye mke wako..kwa uelewa wangu mdogo hapo maana yake kumtamani mkeo kiasi hata cha kumpigia nyeto kama hampo pamoja sio dhambi.
Guu la Tembo maelezo haya yanakubalika kwa kuwa ni kweli.

Ila ukitupa na nukuu ya huo mstari itakuwa vyema mno.
 
Mkuu kwa heshima sote sina hakika kama unajua Mapenzi yanavyofanya kazi.

Inawezekanaje mtu kutomtamani mumewe?
Mkuu nadhani point yako ya awali ni kuhusu mwanaume kufanya punyeto kwa kumtamani mkewe aliyeko mbali.

Nashauri mjadala wetu ujikite hapo tafadhali. Tusihamishe mada.
 
Biblia inasema usimtamani mwanamke asiye mke wako..kwa uelewa wangu mdogo hapo maana yake kumtamani mkeo kiasi hata cha kumpigia nyeto kama hampo pamoja sio dhambi.
Huyo ni mke wa jirani yako umezuiwa kumtamani, na lengo la kuzuiwa kumtamani ni kuiepusha zinaa, kwamba ukishamtamani basi utazini naye, hivyo unazuiwa kabisa kumtamani ili usije ukazini naye.

Sasa tupe maandiki ambayo yanaongelea mke wako mwenyewe
 
Mkuu nadhani point yako ya awali ni kuhusu mwanaume kufanya punyeto kwa kumtamani mkewe aliyeko mbali.

Nashauri mjadala wetu ujikite hapo tafadhali. Tusihamishe mada.
Sawa mkuu tujikite hapo,

Zipi hoja zako mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…