Punyeto: Mitazamo ya Uislam na Ukristo

Punyeto: Mitazamo ya Uislam na Ukristo

Hii itakuwa kweli, maana puli tayari , na vitoto vingi sana block 4 ...kubet ndio nimeanza, nilihisi sitokuja ku bet, nimeanza ku bet uzeeni ๐Ÿ™‚๐Ÿ™‚
๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ Mi kubet niliwahi kujaribu 2015 nikaliwa Jero sikuwahi kujaribu Tena.Kwanza mi na mipira/Michezo Ni mbalimbali hata sehemu wakianza kujadili mipira tu huyo najinyanyukia zangu naenda kutafuta utelezi.
 
๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ Mi kubet niliwahi kujaribu 2015 nikaliwa Jero sikuwahi kujaribu Tena.Kwanza mi na mipira/Michezo Ni mbalimbali hata sehemu wakianza kujadili mipira tu huyo najinyanyukia zangu naenda kutafuta utelezi.
Nilianza ku bet hivi karibuni, nilikuwa sina kitu nipo juu hatari,nikatupia mziigo sportpesa kwani ulirudi sasa ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ mzigo wote ulienda, utelezi na mpira ni mbingu na nchi..
 
Mkuu nadhani point kubwa ya Yesu hapo ilikuwa sio kutazama...point ni kutamani kuzini naye.....sasa kinachofanyika ktk nyeto...kule kuvuta hisia si ndo huko huko kutamani?...na ukumbuke nyeto inahusha uvutaji wa hisia tofauti tofauti...ikiwemo hiyo ya kutamani kuzini na mwanamke fulani
Mkuu mstari umeandika wazi kuhusu โ€œkutazamaโ€ sina shaka kama ingekusudiwa Punyeto ingeelezwa wazi maana ufiraji umekatazwa waziwazi mkuu.
 
Nmepunguza kuangalia porno, nmejiepusha kukaa chumban pekeangu na mda nkiwa pekeangu bas ntakuwa naangalia movie au kucheza game

Pia nlfkria sana itakuaje sku na mm ikantokea ile hali ya watu wanayosema kimoja tu chali mtu hawez kuendlea na ndo limenfanya pia nichukue hatua ya kuacha kupiga

Nmefuta channel zote za porno, mfano za huko telegram, Twitter ili kuepusha kuangalia vdeo ztakazonfanya npige

Hayo ni baadh tu.
Oh Shukran sana, natumai kuna watu watachukua ushauri huu.
 
Mkuu; Biblia inatuasa kuzishinda tamaa za mwili.
1 Petro 2:11
Wapenzi, nawasihi kama wapitaji na wasafiri, ziepukeni tamaa za mwili zipiganazo na roho.

Soma pia hapa;
Wakolosai 2:23
[23]Mambo hayo yanaonekana kana kwamba yana hekima, katika namna ya ibada mliyojitungia wenyewe, na katika kunyenyekea, na katika kuutawala mwili kwa ukali; lakini hayafai kitu kwa kuzizuia tamaa za mwili.
Mkuu lakini maelezo haya hayajajibu swali

Vipi kama mtu akamtamani mkewe?
 
Mkuu lakini maelezo haya hayajajibu swali

Vipi kama mtu akamtamani mk

Mkuu lakini maelezo haya haya jajibu swali

Vipi kama mtu akamtamani mkewe?
Mkuu JumaKilumbi

Biblia inamwelekeza mwanaume kumpenda mke wake na kumtimizia mahitaji yake (Ikiwemo tendo la ndoa).

Hakuna mahali biblia inamwambia mwanaume kuwa amtamani mkewe, bali ameambiwa kumpenda. Hilo suala la kutamani unalianzisha mwenyewe kwa utashi wako tu; au ni namna uliyojitungia wewe mwenyewe kama ilivyoandikwa kwenye wakolosai 2:23
 
Mkuu JumaKilumbi

Biblia inamwelekeza mwanaume kumpenda mke wake na kumtimizia mahitaji yake (Ikiwemo tendo la ndoa).

Hakuna mahali biblia inamwambia mwanaume kuwa amtamani mkewe, bali ameambiwa kumpenda. Hilo suala la kutamani unalianzisha mwenyewe kwa utashi wako tu; au ni namna uliyojitungia wewe mwenyewe kama ilivyoandikwa kwenye wakolosai 2:23
Kwa hiyo mtu kumtamani mkewe wa ndoa kwa mujibu wako ni dhambi?
 
mewahi sikia baadhi ya vijana walioko kwa ndoa wakipiga nyetooo

nyeto = mental health problem - lack of self confidence
Kuna Mtu nilizungumza nae jana alikiri kuwa kuna muda anamuacha mkewe na kufanya hivyo.
 
Mkuu JumaKilumbi

Biblia inamwelekeza mwanaume kumpenda mke wake na kumtimizia mahitaji yake (Ikiwemo tendo la ndoa).

Hakuna mahali biblia inamwambia mwanaume kuwa amtamani mkewe, bali ameambiwa kumpenda. Hilo suala la kutamani unalianzisha mwenyewe kwa utashi wako tu; au ni namna uliyojitungia wewe mwenyewe kama ilivyoandikwa kwenye wakolosai 2:23
Mkuu kwa heshima sote sina hakika kama unajua Mapenzi yanavyofanya kazi.

Inawezekanaje mtu kutomtamani mumewe?
 
Kwa hiyo mtu kumtamani mkewe wa ndoa kwa mujibu wako ni dhambi?
Mimi nimetoa maandiko ya biblia yanayomwelekeza mwanaume kumpenda mkewe na kumtimizia mahitaji yake.

Hizo habari za "Kwa mujibu wangu" zimetoka wapi? Mimi ni nani hadi niwe na mujibu wangu?
Mimi ninajibu kwa mujibu wa biblia sio mujibu wangu.

Ni bora na wewe ulete maandiko ya biblia yanayokuruhusu kupiga punyeto kwa kumtamani mkeo aliyeko mbali
 
Mkuu kwa heshima sote sina hakika kama unajua Mapenzi yanavyofanya kazi.

Inawezekanaje mtu kutomtamani mumewe?
Biblia inasema usimtamani mwanamke asiye mke wako..kwa uelewa wangu mdogo hapo maana yake kumtamani mkeo kiasi hata cha kumpigia nyeto kama hampo pamoja sio dhambi.
 
Biblia inasema usimtamani mwanamke asiye mke wako..kwa uelewa wangu mdogo hapo maana yake kumtamani mkeo kiasi hata cha kumpigia nyeto kama hampo pamoja sio dhambi.
Guu la Tembo maelezo haya yanakubalika kwa kuwa ni kweli.

Ila ukitupa na nukuu ya huo mstari itakuwa vyema mno.
 
Mkuu kwa heshima sote sina hakika kama unajua Mapenzi yanavyofanya kazi.

Inawezekanaje mtu kutomtamani mumewe?
Mkuu nadhani point yako ya awali ni kuhusu mwanaume kufanya punyeto kwa kumtamani mkewe aliyeko mbali.

Nashauri mjadala wetu ujikite hapo tafadhali. Tusihamishe mada.
 
Biblia inasema usimtamani mwanamke asiye mke wako..kwa uelewa wangu mdogo hapo maana yake kumtamani mkeo kiasi hata cha kumpigia nyeto kama hampo pamoja sio dhambi.
Huyo ni mke wa jirani yako umezuiwa kumtamani, na lengo la kuzuiwa kumtamani ni kuiepusha zinaa, kwamba ukishamtamani basi utazini naye, hivyo unazuiwa kabisa kumtamani ili usije ukazini naye.

Sasa tupe maandiki ambayo yanaongelea mke wako mwenyewe
 
Mkuu nadhani point yako ya awali ni kuhusu mwanaume kufanya punyeto kwa kumtamani mkewe aliyeko mbali.

Nashauri mjadala wetu ujikite hapo tafadhali. Tusihamishe mada.
Sawa mkuu tujikite hapo,

Zipi hoja zako mkuu?
 
Back
Top Bottom