National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Pia Leviathan sio Unclear spirit. Ujue kuna unclean spirit, kuna demons, evil spirit, fallen angel, wicked spirit etc .. somo lako zuri sana goja nilifanyia kazi..Leviathan humuingia mtu pale anapopiga punyeto, kwa unapofanya hii dhambi Basi tambua umemfungulia mlango mwenyewe
Acha kupiga Punyeto Kubwa Jinga na Taahira la JamiiForums Wewe Matolamavi sawa?Ujinga mtupu.
Ni pepo kama pepo wengine ,Pia Leviathan sio Unclear spirit. Ujue kuna unclean spirit, kuna demons, evil spirit, fallen angel, wicked spirit etc .. somo lako zuri sana goja nilifanyia kazi..
Mtuache na nyeto yetu tumewakosea nini lakini?
Mnatuchanganya sasa Wapiga Punyeto wa Kutukuka. Je, tushike lipi sasa na tumuamini nani?Kwa spirit of Leviathan mwanangu umetulisha chai.. Leviathan hausiki na mambo yanayo husu sex.. huyo ni pride ndio mahala pake.. roho zinazo husika na masta ni kama ashtoreth, tonodo, jebezebel , baadhi ya marine spirit..
white man wameshafanya research zao...Kila unapopiga punyeto unazadisha idadi ya pepo wa chafu ndani yako.
Moja ya roho chafu inayojulikana zaidi inaitwa Leviathan , na huyu huwa ina waingia wanaume/wanawake. Kw wapiga punyeto kama ushaanza kujihisi weak Basi hii roho imeshakuvaa.
Kuanza ku-act ulelegelege ni moja kati ya viashirio kuwa hii roho ipo ndani yako.
Kazi za Leviathan, akishakuingia ndani yako
-Chuki: Unajikuta ni mtu wa kuchukia watu bila sababu ya msingi .
Yawezekana chuki usioneshe katika uso, ila ndani ukawa na msukumo mkubwa wa kumchukia mtu ambaye humjui au umepishana nae.
- Kukosa hamu ya kuishi: Unakuwa ni ambaye hauoni uzuri wa maisha - Hii ndiyo sababu kubwa inayofanya wapiga punyeto wengi kujiua.
- Msongo Wa Mawazo: Huyu roho ni moja ya pepo wasumbufu sana anapoingia kichwani. Hapa huuanza kutengeneza mtazamo hasi kichwani , Pia huanza kutengeneza majadiliano yasiyo na msingi pamoja na roho.
Kwa hiyo yeye anakupa mawazo hasi, na roho yako inajaribu kupinga. Hapa ndipo msuguano unapotokea. Hapa ndipo unapoona mtu aliyekuwa na confidence anaanza kuwajitu la aibu - kutokana na mawazo hasi anayojazwa la Leviathan.
Hapa ndipo unapoona boy ambaye alikuwa anaongea vizuri na watoto wakike - anaanza kuonesha tabia wild.
Jinsi ya kupona
Jifungie ndani kwa siku 7 ili ufanye mambo hayo hapo chini
- Funga siku 7: Funga yako iwe ya kikristo, unaweza uka-Google au YouTube jinsi ya kufunga properly.
-Soma biblia ndani ya wiki hiyo yote (Agano Jipya)
-Fatilia maombi na mafundisho ya biblia kupitia videos za YouTube (eg : Edu Duechuku, TB Joshua, Brother Hyeok) - hawa wanauwezo wa kuitoa roho
-Usiruhu mawazo ya ngono yaingie katika Akili yako
Ukishamaliza wiki 1 utaanza kuona utofauti.
Usije kurudi tena kwenye huu uchafu, kwa sababu utakaporudi tambua huyu pepo anatarudi na wengine ambao watakua wild zaidi yake.
Kila mtu abebe msalaba wake.. kama ukiweza kupiga nyeto bila kumwaga mbengu chini, haina madhara yoyote na sio dhambi.. π πMnatuchanganya sasa Wapiga Punyeto wa Kutukuka. Je, tushike lipi sasa na tumuamini nani?
Wapanda mnazi kwa mkono mmoja utawajua tuHilo jambo ni natural, usilisingizie chochote liache kama ulivyolikuta
Kamwe usijidanganye utaweza kushindana na Spirit ukiwa mwilini.Kila mtu abebe msalaba wake.. kama ukiweza kupiga nyeto bila kumwaga mbengu chini, haina madhara yoyote na sio dhambi.. π π
Kapicha cha hiyo rohoKamwe usijidanganye utaweza kushindana na Spirit ukiwa mwilini.
Hii roho itaku drive crazy
Hapo kwenye namna ya kupona napingana na wewe kwenye baadhi ya mambo.Kila unapopiga punyeto unazadisha idadi ya pepo wa chafu ndani yako.
Moja ya roho chafu inayojulikana zaidi inaitwa Leviathan , na huyu huwa ina waingia wanaume/wanawake. Kw wapiga punyeto kama ushaanza kujihisi weak Basi hii roho imeshakuvaa.
Kuanza ku-act ulelegelege ni moja kati ya viashirio kuwa hii roho ipo ndani yako.
Kazi za Leviathan, akishakuingia ndani yako
-Chuki: Unajikuta ni mtu wa kuchukia watu bila sababu ya msingi .
Yawezekana chuki usioneshe katika uso, ila ndani ukawa na msukumo mkubwa wa kumchukia mtu ambaye humjui au umepishana nae.
- Kukosa hamu ya kuishi: Unakuwa ni ambaye hauoni uzuri wa maisha - Hii ndiyo sababu kubwa inayofanya wapiga punyeto wengi kujiua.
- Msongo Wa Mawazo: Huyu roho ni moja ya pepo wasumbufu sana anapoingia kichwani. Hapa huuanza kutengeneza mtazamo hasi kichwani , Pia huanza kutengeneza majadiliano yasiyo na msingi pamoja na roho.
Kwa hiyo yeye anakupa mawazo hasi, na roho yako inajaribu kupinga. Hapa ndipo msuguano unapotokea. Hapa ndipo unapoona mtu aliyekuwa na confidence anaanza kuwajitu la aibu - kutokana na mawazo hasi anayojazwa la Leviathan.
Hapa ndipo unapoona boy ambaye alikuwa anaongea vizuri na watoto wakike - anaanza kuonesha tabia wild.
Jinsi ya kupona
Jifungie ndani kwa siku 7 ili ufanye mambo hayo hapo chini
- Funga siku 7: Funga yako iwe ya kikristo, unaweza uka-Google au YouTube jinsi ya kufunga properly.
-Soma biblia ndani ya wiki hiyo yote (Agano Jipya)
-Fatilia maombi na mafundisho ya biblia kupitia videos za YouTube (eg : Edu Duechuku, TB Joshua, Brother Hyeok) - hawa wanauwezo wa kuitoa roho
-Usiruhu mawazo ya ngono yaingie katika Akili yako
Ukishamaliza wiki 1 utaanza kuona utofauti.
Usije kurudi tena kwenye huu uchafu, kwa sababu utakaporudi tambua huyu pepo anatarudi na wengine ambao watakua wild zaidi yake.
Kuna wanawake wanapiga punyeto weye.....Hivi na nyie huwa mnaangukia huku, nilijua ni janga la wanaume tuu.
Maisha Ni kuchaguaHapo kwenye namna ya kupona napingana na wewe kwenye baadhi ya mambo.
1. Katika ulimwengu wa leo mawazo ya ngono huwezi kuyakwepa asilani. Labda uamue usimiliki simu ya smart (usipate internet connection, usiingie kwenye social media etc.). pia ujifungie huko mashambani usionane na hawa wanatutega mabarabarani, mijini na maofisini hata kwenye nyumba za ibada wamejaa wengi wanatingisha matako tuu.
2. Unaposema akina TB Joshua na wengine wana uwezo wa kutoa hizo roho hapo unatulisha matango pori. Mwenye uwezo ni Mungu pekee na wewe unachotakiwa ni kumuomba Mungu akuepusha na majaribu. Hiyo ni kazi ya Roho mMtakatifu. Vinginevyo wewe utakuwa mfuasi wa Mwamposya na wapiga dili wengine kama hao.
Mkuu Wapiga Nyeto wa Kutukuka ( Nikiwawakilisha ) tunahitaji Ufafanuzi wa Kina hasa unaposema Nyeto tupige, ila Mbegu zisitue chini. Kwahiyo tuzidake zikiwa zinakaribia kutoka Mboloni Kwetu au tuziwekee Bakuli kwa Chini ili Jini asizidake?Kila mtu abebe msalaba wake.. kama ukiweza kupiga nyeto bila kumwaga mbengu chini, haina madhara yoyote na sio dhambi.. π π
Leviathan humuingia mtu pale anapopiga punyeto, kama unapofanya hii dhambi Basi tambua umemfungulia mlango mwenyewe
Kwenye maombiumemjulia wapi huyo roho wewe?