Hongera kijana mana nyeto ni hatari sana Mungu akusaidie mana nyeto ni pepo mchafu na ameshindwa
 
hivi ulijuaje km engineering students wanapiga sana punyeto??

vipi umeacha kuangalia na porno?
 
Hongera kijana kwa maamuz magum m nilianza nikiwa kidato cha nne mwaka 2005,mpaka nimeiacha mwaka 2012 nikiwa chuo kikuu mwishon mwa mwaka niliapa kutoingia mwaka 2013 na tabia mbaya za miaka ya huko nyuma,NAICHUKIA PULI,ila mdogo wangu automatically utajikuta Unasaka demu kwa nguvu na Utampata!HONGERA KARIBU KWA WASTAAFU!
 

Mkuu green hapo, embu niweke sawa. Kwani uume una mifupa?
 
inapendeza sana....
tiba! chukuwa tikiti,barachichi,karoti tengeneza juic usiweke maji wala sukari kila siku glas moja walau kwa wiki mbili, pia jitaidi sana kufanya mazoezi ya viungo.
 
nawashukuru wote mlionipa mawazo mazuri,,nitayafanyia kazi pia nitarudi tena kutoa ushuhuda
 
hats hapa ulipo maliza kuandika huu uzi hujapiga kimoja kweli! hongera kwa kuacha puli
 
Hongera sana, lakini jitahid pia kuepuka mazingira yanayopelekea mtu kupiga puli (mfano kuangalia porn) maana ukiendelea nayo hutadumu soon utajikuta umerudia
 
Vizur kijana, sisi wengine hatuwezi kukiua chama cha CHAPUTA ni dhambi,tunasikitika kukupoteza mwanachama.Ss nenda kafe na ngoma maana lazima utataka uiguse yenyewe.

Mkuu unasimamia vidole vya minguu tumechoka
 
Wataalamu wa masuala ya tiba wanaeleza sana kuhusu madhara ya punyeto, lakini hawatoi maelezo ya kutosha kuhusu tiba sahihi inayoweza kumrejesha mtu katika hali yake ya awali baada ya kuathirika na punyeto.
Tiba yake ni ipi hasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…