little hulk
JF-Expert Member
- Jun 20, 2014
- 1,610
- 557
safi sana mkuu maana kiutafiti walisemaga ni ngumu kuacha nyeto kuliko utumiaji wa madaw ya kulevyaNashukuru Sana Mkuu, Me Mwenyewe Najipongeza Sana Kuiacha Punyeto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
safi sana mkuu maana kiutafiti walisemaga ni ngumu kuacha nyeto kuliko utumiaji wa madaw ya kulevyaNashukuru Sana Mkuu, Me Mwenyewe Najipongeza Sana Kuiacha Punyeto.
Tanzania bila punyeto INAWEZEKANA.
poa mkuu nlikua nashangaa why me. ucjali kua na amani mkuuMkuu tripod sory nime misquote nlitaka kumpa hongera huyo jamaa aliyoacha punyeto
Subir upigwe chini na huyo demu ndo utajua revola inauzwa duka gani
mi jana xaa 5 usiku nilipiga nyeto. nikawa nimetimiza mara 2 kwa mwezi. ila mwez ujao nitapunguza tena.
hiyo kitu mbaya bana sio ya kuendekeza. Acha kabisa.
mi jana xaa 5 usiku nilipiga nyeto. nikawa nimetimiza mara 2 kwa mwezi. ila mwez ujao nitapunguza tena.