Mkono na K ni vitu vwli tofauti kwahiyo ukizoea mkono wako mwisho wa siku utakua unauonea wivu mkono pia mkono unaua nguvu za kiume
 
Mimi ni kijana mwenye miaka 22 na huu ndio ukweli wangu kuhusu swala linalonisibu naomba msaada.

Nilivyotimiza umri wa miaka 13 ndipo nilipoanza kubalehe na nyeti yangu kuwa kubwa hapa ndipo nilipogundua kua nimebalehe.

Takribani siku zinavyokwenda na kukaa mtaani ndio nikajua kitu kinaitwa punyeto pamoja na picha za ngono. Kiukweli nikawa nafurahia sana.

Naangalia picha zile na baadae kupiga punyeto, niliendelea na michezo hiyo mpaka nikawa addicted na sikuwahi kumuwaza msichana kwani nilikuwa namuogopa. Miaka ikazidi kwenda ndipo mwaka 2009 nikaanza kuhisi utofauti.

Nikisimama uume wangu hauna nguvu na niliogopa sana. Baada ya tukio hili nikawa sina raha, nikawa naenda kwenye tiba za asili nanunua dawa lakini wapi hazikusaidia.

Nilitamani sana kuacha punyeto lakini ikawa haiwezekani kwani nikikaa hata siku tatu haziishi lazima nifanye mchezo huo.

Kwa ufupi nikawa addicted kama mlevi wa unga na nikiamka nikilala nawaza ngono tu japo nguvu sina. Nilipataga wanawake ila nikawa siwezi kusex sana sana ntafanya mara moja na saa nyingine nishindwe kabisa.

Huu ni mwaka wa tatu sina mwanamke maana wengi walinkimbia. Maisha yangu ni picha za x na nyeto.

Kila siku usiku na asubuhi lazima nifanye hivyo japo sina nguvu wala hisia kwa mwanamke ila nikiangalia x napata hisia na uume wangu husimama na hushiriki tendo la punyeto.

Huu ni mwaka wa tatu sasa mie ni punyeto tu kila siku usiku na asubuhi. Mpaka sasa kitendo hicho kimepoteza dira ya maisha yangu kwani kuna effects kibao ambazo nimezipata na natamani kulia.

1.Sina uwezo wa nguvu za kiume

2.Uwezo wa kufikiri na kutunza kumbukumbu sina

3.Japo nna umri wa miaka 22 naanza kuota kipara

4.Nachoka sana, muda mwingi nalala tu

5.Vision yangu ya macho imepungua haiko vizuri kama mwanzo

6.Nmepoteza uaminifu kwangu mwenyewe kwani najihisi nisiyestahili chochote, yaani sijiamini hata kidogo.

Mbaya zaidi sina kazi na kiuchumi siko vizuri, shuleni nilikuwa nina akili sana ila kumbe nilikua nashuka kutokana na kuvuruga kichwa ila sikujua.

Jamani punyeto ni mbaya effect yake ni ya longterm huwez kuexperience mwanzoni mpaka baada ya miaka mitano na kuendelea. Yaaani najihisi nimezeeka ama baby aliyepo katika mwili wa kijana.

Naomba msaada wenu
 
nimehisi maana nyingine kabisa. But kama ni kweli unachikisema dawa ni kuacha tu punyeto.Usipende kukaa peke yako.Kaa mbali na sources za pornography. Ni maamuzi tu. Omba Mungu akusaidie.
 
ni shidaaaaa!! mukuje huku bale ba mutu ba ile chama cha wapiga nyeto, muone ushuuhuda huu!! japo mnaweza sema alikuwa anakosea procedures!!! member wenu anahitaji ushauri huku mukujeeee.
 
Hivi unajua picha za ngono, na puli, zinaua dopamine? Hii ni neuro transmiter, ambayo huwa ina control mambo ya pleasure, au starehe katika ubongo. Sasa madhara ya hii dopamine kuharibiwa, inasababisha addiction.

Hautaweza kuacha hiyo makitu hata ukipewa ushauri hapa. Pia inaleta madhara katika movement na cognition. Baadaye unaweza ukapata ugonjwa mmoja unaoitwa Parkison's Disease (PD). Acha kujichua, badala yake tafuta wanawake.
 
Huwez acha tabia kama bado uko mazngira yale yyale ambayo yamekujengea iyo tabia!!cha kufanya oa hata kwa muda tu!!

kitendo hicho kitakufanya usiwe na muda wa punyeto ila mkeo tu!!na hivyo hivyo tatizo litaanza kuondoka taratibu lakin usitegemeee kuacha pekee yako bila kubadili mazngira na mazngira ndo yanaamua mtu uwe na tabia flan!!ni sawa na teja kujishaur aache madawa haiwezekan ila kwa kuwabadilishia!!

Nyumba unajenga muda mrefu lakin unaweza bomoa muda mfupi lakini tabia ni tofauti kadili unavyoijenga tabia muda mrefu ndivo unavyotumia muda mrefu kuibomoa!!!

usitegemee uache ndani ya wik au mwezi kama uko pekee yako!!ila ukibadili mazingira kama kuoa kutafuta kazi itayokuweka bizeee.
 
Sasa mie nlianzaga nilipomalizaga form 6 mwaka 2013, sasa sijui itakua ishaniharibu? Nimeshajaribu kuacha nikashindwa. Nikienda club nikibambia naskia kama semen zinatoka zenyewe. Hebu na mimi nishaurini niache hayo mambo.
 
Tafuta mwanamke sugu aliyekubuhu kunako sita kwa sita. Anayejua maana halisi ya kulamba kon halafu kaa naye wiki mbili mfululizo utarudi kwenye hali yako. Hii imewasaidia wengi. Bila shaka itakusaidia.
 
Pole sana. Na hapo stroke inakusubiri very soon... Mambo ya kuiga iga hayo ndo madhara yake..!!
 
Kuna uzi humu unaelezea dawa ya walioathirika na punyeto nikiupata nitaweka link hapa itakusaidia mkuu, pole sana.
 
Mawazo yako tu ndo yanakufanya hivyo hebu uje nikupe dawa ya kichina unywe kama hujatafuta binti!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…