Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Kutoka "semen" ina maana ushaathirika na iyo kitu. Fanya mazoezi sana, usipende kukaa muda mwingi bafuni wakati wa kuoga. Usipende kukaa peke yako, muda mwingi jichanganye na wenzio mpige stori. Usiangalie pornography na uwe serious, baada ya muda utaona!!
 
Nitafute nikupe dawa uchanganye na asali, kila siku asubuhi na usiku uwe unalamba itakusaidia kurudsha nguvu. Namba 0712389866
 
Dah!pole sana bro, hata mimi thnking capacity ilipungua kisa nyeto. Hiyo yako ni balaa. Nenda kamwone daktari wa saikolojia upate counceling kwanza.
 
Badili kwanza what u have in mind na ujijengee kuwa u can live without hayo mambo ukiweka efforts na kumuomba mungu yatapita 2 na maisha yatakuwa poa all the best
 
Badili kwanza what you have in mind na ujijengee kuwa you can live without hayo mambo. Ukiweka efforts na kumuomba Mungu yatapita tu na maisha yatakuwa poa. All the best!
 
A Brazilian Teenager Dies After masturbating 42 Times Without Stopping!!


A 16-year-old boy died after masturbating 42 times without stopping in Rubiato town, in Goiás region, Brazil.
His mother told a local newspaper that she already knew about his son’s addiction and that she planned to see the doctor, but the decision came too late.
The young man began to masturbate at midnight and spent the whole night to compulsively touch himself.
At school, his classmates commented on the boy’s problem and some said he asked them to connect to the webcam for being observed.
They further said that his attraction to women was extreme; he was attracted to all kind of women, regardless of texture physics, color and age.
In his room a great amount of pornography was found, including photographs and videos of nude women that were saved on his PC.

How sure are they that he did it 42 times? Who was counting the number of rounds? Was there a referee?
 
Dah huyo dogo tishio mara 42 bila kumzika kweli alikuwa ana taka kufa ila mama yake kama alijua tabia ya mwanae kwa nini alichelewa mpeleka kwa doctor
 
Ndugu habar zenu humu jamvin..

Mim ni kijana ambaye nasumbuliwa sana na tatizo la punyeto au mgalala,,, jina maarufu huku kwetu, msaada ili niache jaman
 
Asa mawazo stress kwann unataka kuacha puchu jamaa angu?? ili ufanye nn sasa? Ebu acha ufala jamaa angu...we endelea tu
 
Last edited by a moderator:
sasa unataka kuacha nyeto ili ufanye nini kama kutongoza hujui ??

Piga nyeto mpaka upate mtoto
 
....acha ikumalize sisi inatuhusu nini sasa...?
 
Ndugu habar zenu humu jamvin..

Mim ni kijana ambaye nasumbuliwa sana na tatizo la punyeto au mgalala,,, jina maarufu huku kwetu, msaada ili niache jaman

Hakikisha Kila Baada Ya Nusu Saa Unajipiga NDOLE Kunako Uvungu Wako Na Hiyo Hali Itaisha Kama Si Kupotea Kabisa Na Hatimaye Kupona.
 
Usitetee uovu. Huo upuuzi ni uovu mkubwa. Mimi sio malaika, lakini huo upuuzi auweke siri yake! Kesho atabaka alipofikia!

Mbona una hasira hivyo?

Mshauri usimwombee mabaya kwani na wewe unao watoto na hujui wanafanya nini.
 
Hapana huyu mtu ni hatari kesho atabaka watoto. afadhali afe, ana faida gani ! dunia ya watoto wadogo ipone. Atabaka! Kesho ataamua kufanya zaidi ya huo upuuzi!
Punyeto huwa inasaidia sana mtu kutofikiria wasichana au ngono kwani mpiga punyeto akihisi hamu basi huwa anaimaliza kwa mikono yake pia na sabuni,mke wa mpiga punyeto ni mikono yake,pia wapiga punyeto huwa sio wabakaji kwan humaliza hamu yake kwamtindo huo,watu ambao sio wapiga punyeto hao huwa hawana njia mbadala ya kukizi haja zao mihemuko ikiwazid huwa wanakimbilia kubaka au kununua malaya
 
Back
Top Bottom