Punyeto kuacha ni sawa na teja kuacha kula unga! hata kama una mke na huku nyuma ulikuwa unapiga lazma utakuwa unapiga siku mojamoja
 
Amua kuacha, kitu chochote ukiamua kuacha kwa hiyari yako unaacha.
 
Ulaaniwe, ufe una faida gani duniani, uchafu mtupu! Ulaaniwe tena na tena, shetani mkubwa Lusiferi mwana haramu!

Wewe sio bure lazima utakua na tatizo kama si la kifamilia, basi una stress za maisha au empty headed. Hivi wewe unafaida gani duniani? Kwani kupiga nyeto ni dhambi? Vitabu vya zamani vya ukimwi walikua wakituletea shule walitushauri tupige nyeto kama njia ya kujiridhisha na kuepukana na ukimwi. Hao ni madktari walishauri hivyo. Iweje leo umuone mwenzio mwana haramu? Nani hajawahi kupiga nyeto humu toka ameanza balehe yake??? Wewe nadhani ndo utalaaniwa mara mbili ya huyo uliye muombea laana. Shuwani....
 
Ila hii kitu ni noma. Nakumbuka kipindi flani kaja demu nikagonga kama bao 3 hivi akasepa. Baadae mzuka ukanipanda nikapiga nyeto. Ila hii kitu ni ya ajabu sana nimepiga miaka kibao na naweza piga hadi 4 kwa siku. Lakini demu nakamua kama kawa na nipo normal tu
 

Stop sweeping statements, sema wewe unafanya kila siku usiwasemee wenzako. kama ni vizuri weka jina lako halisi ujitangaze! tukujue si unaona sifa-swine mkubwa we
 
Ulaaniwe, ufe una faida gani duniani, uchafu mtupu! Ulaaniwe tena na tena, shetani mkubwa Lusiferi mwana haramu!

Kuandika hivyo unajiona mjanja mwenyewe. Acha ujinga wewe. Bora ukae kimnya kama hauna cha kuchangia. Kama mdogo ako amekuja kuomba ushauri utamwbia hivyo?
 
Kuandika hivyo unajiona mjanja mwenyewe. Acha ujinga wewe. Bora ukae kimnya kama hauna cha kuchangia. Kama mdogo ako amekuja kuomba ushauri utamwbia hivyo?

Mambo ya kujitakia akija mwanangu nitamlaani mara 70 elfu! Ni mambo ya kujitakia narudia. Kuendekeza ngono/ masturbation. Sawa na madawa ya lkulevya, tunasema wanasikia mtu anafanya hicho hicho. Sawa na ukimwi wanajua madhara ya ngono, mtu anafanya hicho hicho, acha afe tu! Nami nife tu nisiwasumbue watu kwa matashi yangu ya kijinga. Hamu ya sex sio njaa -hunger, no at all. Ni utashi wa mtu
 

Siamini kama mpaka leo kuna watu punguani wasiojielewa kuwa wao ni mapunguani,inasemekana kwa waliochelewa kufanya ngono baada ya kubalehe,asilimia 75 wameshawahi kupiga punyeto,hyo asilimia 25 wapo ambao ni watumishi wa mungu,walemavu wa mikono,na wengine wamezuiwa na mazingira,sasa unavyopayuka hivyo km ww ni mwanaume naamini unatafuta kick tu humu maana kuna uwezekano ukawa ndie kinara wa kupiga nyeto kuliko mchangiaji mwingine wa hii thread,na km ww ni bint,bila shaka una zile za bandia,mnaziita dildo....
 


unachekesha sana wewe. Nakupa pole kua kwanza.
 
Ulaaniwe, ufe una faida gani duniani, uchafu mtupu! Ulaaniwe tena na tena, shetani mkubwa Lusiferi mwana haramu!
Tuko hapa kushauriana na kusaidiana sio kulaaniana kwani kaona ni kosa ndo mana anaomba ushauri..ndugu umepanic au ndo mchezo wako? Bora yeye kajitokeza apate msaada sio wewe unaejifanya ujui akati ndo zako. Acha izo ka kimekukela kaa kimnya sio lazima ucoment kwa kumtukana na kumlaani..you heard!!!!
 
Hapa anachokipata sio hoja, ni hicho anachokifanya na kukileta mbele ya watu eti anaomba ushauri. Huyu mtu ni hatari, kesho atabaka!

Atakubaka wewe au maana hicho anachokifanya ndo kinachommaliza hamu yake umekomaaa shwaini wewe upo kama kuku kifude
 
Hapana huyu mtu ni hatari kesho atabaka watoto. afadhali afe, ana faida gani ! dunia ya watoto wadogo ipone. Atabaka! Kesho ataamua kufanya zaidi ya huo upuuzi!

Nawasiwasi na akili yako mkuu,haupo sawa wewe
 

Stupid you! Mwambie amuulize mama yako ampe ushauri
 

msameheni huyu hajui hiyo ni ugonjwa ea kisaikolojia kurudiarudia no kitokana na addiction sawa na madawa ukila mara kwa mara huachi tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…