Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Masturbation sio mbaya kamwe, ask medical practitioners like Gynacologists and they will tell you masturbation has no negative effect in the body whatsoever. It does not cause Erectyle Dysfucntion

Acha mbwembwe wewe,hao gynaecologist unaowataja nk madaktari wa wanawake!!
Excessive masturbation ina madhara kubwa sana kwanza short term memory loss ni kawaida sana na pia kutafuta bao la pili inakua kazi sana.
 
Acha mbwembwe wewe,hao gynaecologist unaowataja nk madaktari wa wanawake!!
Excessive masturbation ina madhara kubwa sana kwanza short term memory loss ni kawaida sana na pia kutafuta bao la pili inakua kazi sana.

Tatizo la memory loss linatokana na shahawa hivyo, yeyote yule anaye toa shahawa kupitiliza lazima akumbwe na tatizo hili.

We must learn how to be a multorgasmic. Yaani unapiga punyeto au kujamiiana bila kutoa shahawa, if you do so, iwe kwa mpangilio Unao eleweka.

Ikumbukwe, ejaculations is for reproduction only.
 
Atakuwa mgonjwa huyo, mwanaume uliye kamili huwez fika kileleni kirahisi hvyo...
 
Back
Top Bottom