Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Hahaha duh! That's a real savage right there, huyu jamaa si wa kumruhusu acheze muziki wala kugusana na Manzi wako. Sipatii picha hizo ramani kwenye mashuka na bed-cover.
hawa ndo wale demu akivua nguo tu ye wazungu washatoka na kitu kimenywea
 
John Ezekiel
Anauchosha ubongo kutumia nguvu nyingi kufikiria kitu ambacho hakipo(just imagination), ina madhara makubwa tu,kupunguza uwezo wa kutunza kumbukumbu, kuudanganya ubongo ni kosa kubwa,anaathirika kisaikolojia..

NB; Mtu anaye imagine anafanya mapenzi ki hivyo,lazima aliishawahi kufanya kweli au kuona lile tunda lilivyo,hivyo ili kutunza kumbukumbu ya picha ya lile tunda la kati itamladhimu hata kutazama picha au porn videos ili kujikumbushia na hapo ndio anazidi kuuharibu ubondo.. unakuwa tegemezi kwa pornographic na kujikuta uwezo wa kukumbuka mambo muhimu unapotea..
 
Last edited by a moderator:
mkuu ameshasema kua sometimes hushare vitu personal hadi nimeshtuka

Mkumbushe pia tabia ya wavulana ambao balehe haijakauka vizuri kulala pamoja kitanda kimoja inaweza kuamsha ndorobo waliolala wakakosa gazeti la kujipepea yakatokea mengine!
 
John Ezekiel
Hapa ujaspecify vizur kama huwa anapiga huku anajielewa au anapiga huku akiwa ndotoni.... Kama ni ndotoni kwa kweli jamaa yuko na shida inawezakana anafanya mapenzi na jini la mahaba awe anapiga salasala kama anataka kuacha basi hiyo style ya kulala ni mbaya ukilala hivyo kwa mtoto wa kiume unaongeza sexual desire hivyo alale kama yuko kwenye jeneza pia..kwa maelezo ya haraka jamaa amekuwa addicted kuacha itakuwa shughuli kama hayuko WILLING cha msingi mpigishe Tiz akirudi akiwa amechoka basi atalala kama mfu hiyo mambo ya punyto itaondoka taratibu... Hii kitu ni sawa na kuachwa na mpenzi yani ile First Love mpk uje upone it takes a time
 
Last edited by a moderator:
ilo jina lenyewe punyeto baya kama nini.? watu wanajisifu na nyeto ni aibu nyeto haifai. mwambie abadilike balehe gani ina mshika haimuachi mana mtu ukianza kubalehe ndo mi chezo yake iyo muambie abadilike. punyeto wa achiwe wa toto under 20 .
 
hiii miaka inavyokwenda wanawake wengi watakosa wanaume wakuwaoa
 
Back
Top Bottom