Remedy2017
Member
- Mar 17, 2015
- 8
- 1
Bado Sijaoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dawa ya punyeto ni kutafuta mpenzi
Hebu sahihisha kauli zako kwanza, inaonekana ni story ya kutunga! ina maana huyo bwana alianza kupiga nyeto akiwa just five years!!!???
Ile kitu kuacha ni ngumu kidogo, watu tupo katika ndoa miaka 10 sasa lakini tunashtua kimtindo kama kawa.
mimi pia nimeshindwa kuuache na je nikiacha nitarudi sawa?aisee haka kamchezo nimeshindwa kukaacha tangu mwaka 1998 mpka leo napiga kinoma.... na nilishazoea kama dozi ya panadol kutwa mara 3
Inakuwajee?
Kuna rafiki yangu nimpiga nyeto ballah.
Sasa kapata mpenzi, soanaogopa kushiriki nae tendo kwa sababu ya muda mrefu kuwa addicted na punyeto since miaka 17 mpaka now ana 22.
He told me alipokuwa faragha na mpenzi wake hakupata stimu mpaka alipopata blowjob.
Lakini wakati anaingiza ndani ya Vutu, goma hapo hapo ikalala bila ya kupump.
Mnamshauri nini huyuu?:decision:
HI wana jf,
Nauliza kama kuna tiba yoyote ya kudumu kwa mtu aliyeathirika na upigaji punyeto kwa hapa kwetu tanzania? namaanisha aliyeathirika mpaka akashindwa ku perform anapokutana na mwanamke kama alivyokuwa aki perform mwanzo,au ndo inakuwa kilema cha maisha?na kama zipo zinapatikana wapi?
Mimi binafsi sina details zozote ila kuna rafiki yangu ameniuliza swali hilo zaidi ya mara tatu nimeshindwa kumjibu zaidi nimehisi huenda ana tatizo linalohusiana na hizo issue ila anaona aibu kuniambia.
naomba kujuzwa wadau ili nijibu kama nilivyoulizwa
Vipi wadau? Dawa ya PUNYETO ni nini? Kuna mtu ameadhirika kila siku anasema nilazima apige nane kwa siku. Sasa ameishiwa na NGUVU za kiume kabisa. Anataka kuacha PUNYETO LAKINI HAWEZI. Afanyeje?
Vipi wadau? Dawa ya PUNYETO ni nini? Kuna mtu ameadhirika kila siku anasema nilazima apige nane kwa siku. Sasa ameishiwa na NGUVU za kiume kabisa. Anataka kuacha PUNYETO LAKINI HAWEZI. Afanyeje?