Hili wazo ni zuri,kuna rafiki yangu alifanya kama anavyosema Mshana Jr.alitumia viagra kwa muda flani mpaka confidence yake iliporudi akaachana nazo,yuko vizuri ameshaoa na ana watoto plus michepuko kidogo.Kwa uzoefu wangu musterbation haiwezi kumuathiri kwa kiwango hicho, most likely alikuwa na hilo tatizo tangu kuzaliwa halafu likaja kuchagizwa na musterbation.
Lakini pia ambalo ni la hatari zaidi kwa kesi chache nilizokutana nazo kuna watu wameathiriwa na hiyo hali mpaka wamekuwa na tabia za kishoga lakini kwa siri sana, yani starehe yake ni yeye kufanywa kwahiyo hata akiwa na msichana hainjoy kivile na hata erection ni tatizo.
Fanya hivi kwa kuanzia mnapotaka kufanya ngono mshauri atumie Viagra, kama kweli ni tatizo la musterbation Viagra itafanya kazi yake.
Lakini vilevile msidharau mitishamba kuna dawa nzuri sana huko na zisizo na madhara kama shida ni musterbation zitamponyesha kabisa
Umeongea vyema sana mkuu. Huyu ana matatizo mawili, physical na Psychological. Why physical? Punyeto ya muda mrefu imeleta chemical imbalance kwenye mwili wake. Mm nimetoka huko ni mhanga. Ila kama ulivosema asiguse dawa yoyote bali aache kabisa punyeto na porn, pili ale vzuri na afanye mazoezi. Mazoezi ya kegel ni adui kwa mwanaume coz yanasababisha PE labda afanye reverse kegel kidogokidogo.Anatakiwa aonane na wanaume wenzie wamfundishe namna ya kukabiliana na hofu aloipata. Hakuna tatizo la kifizikia hapo ni saikolojia tuu. Na pia wewe dada uwe mvumilivu sana. Ukionesha kumkimbia ndo hataweza kabisa manakd hofu yake ndo itazidi sana. Pia aache punnyeto na afanye mazowezi makali sana ili kurudisha afya na pia ale vyakula vya asili na samaki kwa wingi na vyakula vya baharini jwa wingi sana. Asitumie viagra. Akae muda mrefu bila ya kusex ili hamu ziongezeke siku akikutana na mwanaamke lazima itasimama na ikishasimama vizuri siku moja tu hofu yote itatoka na atarudi kwenye hali yake ya kawaida.
Mwenye zaidi alete tunufaike sote
Tusitoleane maneno ya kashifa.
Kwa uzoefu wangu musterbation haiwezi kumuathiri kwa kiwango hicho, most likely alikuwa na hilo tatizo tangu kuzaliwa halafu likaja kuchagizwa na musterbation.
Lakini pia ambalo ni la hatari zaidi kwa kesi chache nilizokutana nazo kuna watu wameathiriwa na hiyo hali mpaka wamekuwa na tabia za kishoga lakini kwa siri sana, yani starehe yake ni yeye kufanywa kwahiyo hata akiwa na msichana hainjoy kivile na hata erection ni tatizo.
Fanya hivi kwa kuanzia mnapotaka kufanya ngono mshauri atumie Viagra, kama kweli ni tatizo la musterbation Viagra itafanya kazi yake.
Lakini vilevile msidharau mitishamba kuna dawa nzuri sana huko na zisizo na madhara kama shida ni musterbation zitamponyesha kabisa
Mwambie aende hospital akafanyiwe check up, huenda hormone ya testosterone imeshukaAkimaliza akitaka kurudia round ya pili ni kwa kulazimishia yani anakuwa hayupo fully erect sometimes anaweza akawa anatamani kabisa kufanya lakini in the middle of kufanya tendo nasikia kabisa kwamba jogoo amesha sinyaa basi inabidi tuishie hapo mpaka after a while tunajaribu tena kuna kipindi mazoezi alikuwa anafanya lakini sasa naona ameacha
Nilikutana nae chuo kwenye masomo ya degree ya pili, ni mwanaume mwenye umri miaka 30 (mimi 24). Ni kijana mtanashati, mcha Mungu mwenye upendo na malengo ya maisha. Safari yetu ya mahusiano ilianza baada ya masomo yetu kuisha.
Tulipoanza kukutana faragha ndipo nilipogundua kwamba ana tatizo la Erectile Dysfunction (jogoo hawiki), yani kama akiwika basi erection inakuwa very weak. Nikamuuliza nini tatizo, hakunificha akanielezea tatizo lake kwamba alikuwa anafanya sana masturbation toka yupo primary mpaka amemaliza chuo for about 15 years and it has affected him psychologically.
Naelewa jinsi gani being able to satisfy a partner is to a man na kama akishindwa inamuaffect kwa kiasi gani, so I understood his struggle basi nilimuelewa na akaniambia ni tatizo linatibika ila nikamshauri asijekujaribu short cuts za madawa ya waganga wa kienyeji just because of the pressure ya kupona haraka.
Nikaahidi kumpa muda na support alishughulikie tatizo lake (meaning abstaining from porn n masturbation) na alisema alivyoona madhara yake with his previous gf's akaanza kulishughulikia kama 2 years ago kabla ya sisi kuanza uhusiano tatizo linakuja kwamba sasa yapata miezi 9 naona tatizo bado lipo,, I play my part as a partner kumfanya mawazo yake yote yawe kwangu yani anione mimi desirable n apate proper erection instead of kuvuta hisia za porn.
Na pia tatizo jingine ni kuwa ameloose confidence kiasi kwamba ana doubt mapenzi yangu kwake, kwahiyo muda wote he questions my true feelings, jambo hili hunikera sana japo nimeshamueleza ila bado haachi, najaribu kumuelewa kwasababu yote hii ni a result of his ED problem.
Sasa wadau swali langu ni je, hili tatizo huwa linatumia muda gani kupona, yani mtu kuweza kurudia katika hali yake ya kawaida?? Na akiweza kurudia hali yake ya kawaida are the results permanent??
(This is a serious question) thanks in advance
Vizuri Sana! Endelea kupiga kurwa Mara tano kijanaMh eti punyeto inamadhara! mwenzio ninamiaka 14 katka hii gemu ya nyeto nasijapata madhara,napiga kutwa mara tatu.
Kama chupa Lita moja ya maji ya uhai. Na hizo Karanga unakula had umalize hiyo wiki lengo hapo ni kujenga uwezo wako Wa kuongeza manii na kuongeza nguvu hizo zote ni mbinu za asili tu
Sijaelewa hayaKutokana na matatizo ya nguvu za kiume na watu kuhitaji kuongeza maumbile ya kiume bas leo hii nimeamua kuwaletea sehemu ndogo tu ya mbinu za kutibu nguvu za kiume na kuongeza ukubwa wa umee
TIBA YA PUNYETO
Sasa nakuja kwenye punyeto na kutibu hilo tatizo na kuwa nguvu za kiume kama kifaru dume
Pia wenye tatizo la nguvu za kiumee tumieni hizi mbinu.
Naomba nieleweke hiv mtu mwenye tatizo hilo anatakiwa kufuata mambo yafuatayo Nina uhakika atapona kabisa na nguvu kama zamani inatakiwa afanye mambo yafuatayo japo ni mashart magumu kidogo kwani unatakiwa ukae miez 4 had miez 6 bila kufanya mapenzi .ntawambia faida zake ukiweza kuwa hiv kwanza utakuwa na nguvu za kiume za ajabu yaan utazid hata zile za awal utakuwa umeweza kuongeza nguvu za kiume kwa kiwango kikubwa zaid na utakuwa umejenga uwezo Mkubwa wa kuwa na kiwango kikubwa cha mbegu za kiume . faida nyingine utafanikiwa kuongeza ukubwa wa mboo yako hasa unene wa mboo na kupitia zoez hili utakuwa umezuia tatizo la mboo kusinyaa na kuwa kadogo jambo jingine utaweza kujenga mwili wa mvuto kimapenz yaani utakuwa na six pack.
Onyo: usifuate masharti, hutaweza kufanikisha zoez hili.
Vyakula unavyopaswa kuvitumia wakati kutibu tatizo hilo(unaweza kutumia vyakula vingine ila hiv ntakavyokutajia hakikisha unatumia)
kula ugali wa dona faida yake ni kuwa utaongeza uwezo wako wa nguvu za kiume na mbegu za kiume pia zitaimarika zaimbivu samaki aina zote, maziwa fresh, maharage, kunde, mboga za majani, mihogo, viaz vitamu, tumia mafuta alizeti, ufuta au mawese..
Tumia matunda
parachichi,ndizi mbivu, machungwa,chenza,madalanzi,maboga,tikiti maji,papai,Nana's,tende,nyanya,pera,kitungu maji,saumu,zabibu,karoti,madafu,bamia,bilinganya.mayai ya kienyeji na n.k
Jinsi ya kuondoa tatizo la punyeto kwa kutumia njia hii unakuwa nguvu ya kuipatia misul nguvu zaidi
Chua uume wako kwa kutumia kitunguu swaumu.
Unatakiwa kipindi chote ukiwa unatumia dozi hii ni unatakiwa kuchukua mboo yako kwa vitunguu vyaumu kila siku kabla ya kulala unaweza kutwanga punje kama tank hiv na ukachua vizur. Faida yake ni kuwa hii inasadia kuipa nguvu mishipa ya uume wako na kuweza kurudisha hali yake ya nguvu kama awali.
Unatakiwa kula kalanga Lita 1 kwa wiki kwa hiyo kwa mwez unatakiwa utumie lita 4 za kalanga kwahiyo kwa miez 4 had sita unatakiwa utumie lita 20 had 24 za kalanga.
Unatakiwa utumie tangawiz kila siku.hii ni kwamba unatakiwa utwange tangawiz mbichi na uchemshe kisha kunywa . hapa hutakiwi kuchanganya na kitu chochote kile na unatakiwa ukitumie ikiwa ya moto wastan na sio iwe ya vugu vugu.unaweza kutumia asubuhi au jioni.
Unatakiwa kunywa maji mengi sana kwa Siku ni vyema ukiweza kunywa maji kuanzia Lita 3 had 5 kwa siku hii ni muhimu sana. Unatakiwa kuchukua pia uumee wako kwa asali mbichi sio ya kuchemshwa . chua uume wako kila siku unapo amka na ukisha chua unalamba kijiko kimoja pia chua jion na utalamba kijiko kimoja cha asali.
Jitahid kutumia matikit maji kwa wiki wasta tumia tikit maji 1 kwa wiki moja na matikit maji 4kwa mwez had miez 4au 6itimie unatakiwa utumie kila wiki yai moja au 2 had umalize doz hii ya miez 4au 6.
Unatakiwa kupasha uume wako kwa kitambaa cha moto wastani. Hapa ni hivi, chemsha maji afu yakiwa ya moto wastan utatakiwa kupaka uume wako mafuta ya zaituni na kisha chukua kitamba chako kikiwa cha moto wastan funika uumee wako afu uwe una vuta mboo kwa kuvuta kwenda mbele .rudia zoez hili mara 3 .Fanya kila siku had umalize doz .unaweza kufanya muda wowote unaopenda ilimrad una muda.
����unatakiwa ufanye mazoez hakikisha kila siku unapiga push up 20 asubuhi na jion 20 na ukiwa na muda fanya zoez la kukimbia au nunua kamba na uruke ruke ukiwa kwako
����unatakiwa ujiamin na kuwa wewe una nguvu za kiume huna tatizo
����hii ndiyo sharti gumu na ukikosea tu bas hutaweza kupona hata kidogo. Na tatizo litakuwa kubwa zaid ya awal. Ni hiv kipind chote hiki hutakiwi kufanya mapenz na mtu yoyote yule au kupiga punyeto. Kwa ukifanya hivyo utakuwa umeharibu tiba yote. Kwa sababu kipind hiki mishipa na viungo vyote vya kiume vitakuwa na kaz moja tu kujenga uwezo wa awal na kurudisha nguvu za awali za kiume hivyo kuipatia nafas mishipa yote kuwa imara na kuimarisha uwezo was kufanya mapenz. Hapa ili uweze kufanikisha hili ni vyema ukajadiliana na mkeo/mpenzi wako kuhusu hili tatizo lako na jinsi unavyotaka kutibu ili uweze kuwa kidume kama awal
����utatakiwa kufanya mazoez ya kegel. Haya ni mazoez maalum ya kujenga uwezo wa mishipa kuwa na nguvu kama kifaru dume
����kula ugal wa dona
������������ Mazoez maalum ya kukujenge uwezo na kuupatia mgongo nguvu mazoez haya yatakusadia kuondoa maumivu ya mgongo na pia nakushaur penda kulala kwenye cement au udongo ila pawe tambala na ukiwa na hayo maumivu ya mgongo au kiuno yatapungua au kuondoka kabisa. Unapo lala lalia mgongo huku ukitazama juu unaweza kulala SAA 1 au zaid au ukihitaji mazoez mengine download video za Abs workout level up to 8 six pack
����������������
Mbinu za kutibu tatizo la punyeto
������������
Mazoezi: kama wewe ni mtu unayeishi bila
mazoezi kabisa hutaweza kurudisha nguvu hizo,
hivyo unahitaji kufanya mazoezi yeyote angalau
nusu saa kwa siku. Inaweza kua kuruka kamba,
push ups, kukimbia, kuogelea na kadhalika.
Mazoezi haya ndio yanayofanya mzunguko wa
damu ue mzuri na wewe usimamishe uume
vizuri. Pia zoez la kegel ni zur zaid kwa kujenga misuli ya uume
Onyo: mazoezi yasiwe makali sana kwani
yatakumaliza nguvu za kiume.
��������������
Kula chakula bora cha asili ; vyakula vya
viwandani vina kemikali nyingi sana na ndio
vyakula vinaliwa sana kwenye kizazi chetu hichi
cha sasa hivi ndio maana shida hizi zamani
hazikuwepo ila siku hizi hata kijana mdogo
analalamika kuishiwa nguvu za kiume. Kula
ugali, maharage, viazi, maziwa mgando, karanga,
korosho, mihogo na vyakula vyote vya asili
unavyofahamu ila punguza ulaji wa nyama
kwani hauna matokeo mazuri kwenye tiba hii.
Kunywa maji mengi sana; kusimama vizuri kwa
uume kunategemea sana mzunguko mzuri wa
damu mwilini hivyo kama mwili una maji mengi
ni rahisi damu kwenda vizuri kwenye uume.
Nikukumbushe kwamba ni wingi wa damu
unaopelekwa sehemu za siri zako na kufanya
uume wako usimame vizuri.. pia mwili unatoa
kipaumbele vya damu nyingi kwa viungo
vinavyotupa uhai kwanza kwa maana nyingine
damu yako haiwezi kuacha kwenda kwenye
ubongo, figo na moyo kwanza afu iende kwenye
uume. Upe mwili sababu za kupeleka damu ya
ziada kwenye uume wako kwa kunywa maji
mengi.
���� chuo cha mapenzi����
Sijaelewa hayaKutokana na matatizo ya nguvu za kiume na watu kuhitaji kuongeza maumbile ya kiume bas leo hii nimeamua kuwaletea sehemu ndogo tu ya mbinu za kutibu nguvu za kiume na kuongeza ukubwa wa umee
TIBA YA PUNYETO
Sasa nakuja kwenye punyeto na kutibu hilo tatizo na kuwa nguvu za kiume kama kifaru dume
Pia wenye tatizo la nguvu za kiumee tumieni hizi mbinu.
Naomba nieleweke hiv mtu mwenye tatizo hilo anatakiwa kufuata mambo yafuatayo Nina uhakika atapona kabisa na nguvu kama zamani inatakiwa afanye mambo yafuatayo japo ni mashart magumu kidogo kwani unatakiwa ukae miez 4 had miez 6 bila kufanya mapenzi .ntawambia faida zake ukiweza kuwa hiv kwanza utakuwa na nguvu za kiume za ajabu yaan utazid hata zile za awal utakuwa umeweza kuongeza nguvu za kiume kwa kiwango kikubwa zaid na utakuwa umejenga uwezo Mkubwa wa kuwa na kiwango kikubwa cha mbegu za kiume . faida nyingine utafanikiwa kuongeza ukubwa wa mboo yako hasa unene wa mboo na kupitia zoez hili utakuwa umezuia tatizo la mboo kusinyaa na kuwa kadogo jambo jingine utaweza kujenga mwili wa mvuto kimapenz yaani utakuwa na six pack.
Onyo: usifuate masharti, hutaweza kufanikisha zoez hili.
Vyakula unavyopaswa kuvitumia wakati kutibu tatizo hilo(unaweza kutumia vyakula vingine ila hiv ntakavyokutajia hakikisha unatumia)
kula ugali wa dona faida yake ni kuwa utaongeza uwezo wako wa nguvu za kiume na mbegu za kiume pia zitaimarika zaimbivu samaki aina zote, maziwa fresh, maharage, kunde, mboga za majani, mihogo, viaz vitamu, tumia mafuta alizeti, ufuta au mawese..
Tumia matunda
parachichi,ndizi mbivu, machungwa,chenza,madalanzi,maboga,tikiti maji,papai,Nana's,tende,nyanya,pera,kitungu maji,saumu,zabibu,karoti,madafu,bamia,bilinganya.mayai ya kienyeji na n.k
Jinsi ya kuondoa tatizo la punyeto kwa kutumia njia hii unakuwa nguvu ya kuipatia misul nguvu zaidi
Chua uume wako kwa kutumia kitunguu swaumu.
Unatakiwa kipindi chote ukiwa unatumia dozi hii ni unatakiwa kuchukua mboo yako kwa vitunguu vyaumu kila siku kabla ya kulala unaweza kutwanga punje kama tank hiv na ukachua vizur. Faida yake ni kuwa hii inasadia kuipa nguvu mishipa ya uume wako na kuweza kurudisha hali yake ya nguvu kama awali.
Unatakiwa kula kalanga Lita 1 kwa wiki kwa hiyo kwa mwez unatakiwa utumie lita 4 za kalanga kwahiyo kwa miez 4 had sita unatakiwa utumie lita 20 had 24 za kalanga.
Unatakiwa utumie tangawiz kila siku.hii ni kwamba unatakiwa utwange tangawiz mbichi na uchemshe kisha kunywa . hapa hutakiwi kuchanganya na kitu chochote kile na unatakiwa ukitumie ikiwa ya moto wastan na sio iwe ya vugu vugu.unaweza kutumia asubuhi au jioni.
Unatakiwa kunywa maji mengi sana kwa Siku ni vyema ukiweza kunywa maji kuanzia Lita 3 had 5 kwa siku hii ni muhimu sana. Unatakiwa kuchukua pia uumee wako kwa asali mbichi sio ya kuchemshwa . chua uume wako kila siku unapo amka na ukisha chua unalamba kijiko kimoja pia chua jion na utalamba kijiko kimoja cha asali.
Jitahid kutumia matikit maji kwa wiki wasta tumia tikit maji 1 kwa wiki moja na matikit maji 4kwa mwez had miez 4au 6itimie unatakiwa utumie kila wiki yai moja au 2 had umalize doz hii ya miez 4au 6.
Unatakiwa kupasha uume wako kwa kitambaa cha moto wastani. Hapa ni hivi, chemsha maji afu yakiwa ya moto wastan utatakiwa kupaka uume wako mafuta ya zaituni na kisha chukua kitamba chako kikiwa cha moto wastan funika uumee wako afu uwe una vuta mboo kwa kuvuta kwenda mbele .rudia zoez hili mara 3 .Fanya kila siku had umalize doz .unaweza kufanya muda wowote unaopenda ilimrad una muda.
����unatakiwa ufanye mazoez hakikisha kila siku unapiga push up 20 asubuhi na jion 20 na ukiwa na muda fanya zoez la kukimbia au nunua kamba na uruke ruke ukiwa kwako
����unatakiwa ujiamin na kuwa wewe una nguvu za kiume huna tatizo
����hii ndiyo sharti gumu na ukikosea tu bas hutaweza kupona hata kidogo. Na tatizo litakuwa kubwa zaid ya awal. Ni hiv kipind chote hiki hutakiwi kufanya mapenz na mtu yoyote yule au kupiga punyeto. Kwa ukifanya hivyo utakuwa umeharibu tiba yote. Kwa sababu kipind hiki mishipa na viungo vyote vya kiume vitakuwa na kaz moja tu kujenga uwezo wa awal na kurudisha nguvu za awali za kiume hivyo kuipatia nafas mishipa yote kuwa imara na kuimarisha uwezo was kufanya mapenz. Hapa ili uweze kufanikisha hili ni vyema ukajadiliana na mkeo/mpenzi wako kuhusu hili tatizo lako na jinsi unavyotaka kutibu ili uweze kuwa kidume kama awal
����utatakiwa kufanya mazoez ya kegel. Haya ni mazoez maalum ya kujenga uwezo wa mishipa kuwa na nguvu kama kifaru dume
����kula ugal wa dona
������������ Mazoez maalum ya kukujenge uwezo na kuupatia mgongo nguvu mazoez haya yatakusadia kuondoa maumivu ya mgongo na pia nakushaur penda kulala kwenye cement au udongo ila pawe tambala na ukiwa na hayo maumivu ya mgongo au kiuno yatapungua au kuondoka kabisa. Unapo lala lalia mgongo huku ukitazama juu unaweza kulala SAA 1 au zaid au ukihitaji mazoez mengine download video za Abs workout level up to 8 six pack
����������������
Mbinu za kutibu tatizo la punyeto
������������
Mazoezi: kama wewe ni mtu unayeishi bila
mazoezi kabisa hutaweza kurudisha nguvu hizo,
hivyo unahitaji kufanya mazoezi yeyote angalau
nusu saa kwa siku. Inaweza kua kuruka kamba,
push ups, kukimbia, kuogelea na kadhalika.
Mazoezi haya ndio yanayofanya mzunguko wa
damu ue mzuri na wewe usimamishe uume
vizuri. Pia zoez la kegel ni zur zaid kwa kujenga misuli ya uume
Onyo: mazoezi yasiwe makali sana kwani
yatakumaliza nguvu za kiume.
��������������
Kula chakula bora cha asili ; vyakula vya
viwandani vina kemikali nyingi sana na ndio
vyakula vinaliwa sana kwenye kizazi chetu hichi
cha sasa hivi ndio maana shida hizi zamani
hazikuwepo ila siku hizi hata kijana mdogo
analalamika kuishiwa nguvu za kiume. Kula
ugali, maharage, viazi, maziwa mgando, karanga,
korosho, mihogo na vyakula vyote vya asili
unavyofahamu ila punguza ulaji wa nyama
kwani hauna matokeo mazuri kwenye tiba hii.
Kunywa maji mengi sana; kusimama vizuri kwa
uume kunategemea sana mzunguko mzuri wa
damu mwilini hivyo kama mwili una maji mengi
ni rahisi damu kwenda vizuri kwenye uume.
Nikukumbushe kwamba ni wingi wa damu
unaopelekwa sehemu za siri zako na kufanya
uume wako usimame vizuri.. pia mwili unatoa
kipaumbele vya damu nyingi kwa viungo
vinavyotupa uhai kwanza kwa maana nyingine
damu yako haiwezi kuacha kwenda kwenye
ubongo, figo na moyo kwanza afu iende kwenye
uume. Upe mwili sababu za kupeleka damu ya
ziada kwenye uume wako kwa kunywa maji
mengi.
���� chuo cha mapenzi����
Size ya uume inaenda sambamba na size ya mwili. Huwezi kuwa na mikono mirefu wakati wewe ni mfupi! Ikiwa utaweza kurefusha mikono wakati sehemu zingine ziko vile vile maana yake viungo havitaweza kufanya kazi kwa ushirikiano unaotakiwa, hapo inakuwa tatizo jipya kwa tatizo la zamani.Hii inawezeka tu kwa wale ambao watakuwa wapo tayar kupata tiba hii nina uhakika itakusadia maana mi nimetumia mbinu hiz kuongeza size ya uume wangu na ipo sawa kabisa