Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa mwathirika wa hii kitu anataka ushindwe kuthibitisha abariki kamchezo hakoWewe subiria tu! kama unavyoingoja siku yako ya kufa kwa kuwa hakuna mwanasayansi aliyeweza kukuthibitishia itakua lini
jifunze kua positive ,nimeuliza swali kutokana na maelezo hapo juu
Mimi hapana aisee ila niliwahi kufikiri kujipigisha pull nikawa najionea aibukumbe hata nyie mnapiga puli duuu? Vp miss chagga na ww n member?
Kwani kuna madhara mengine unayapata kutokana na hii kitu au unataka tu kuacha ila haikuathiri chochote?wadau salamu ziwafikie;
nimeoa takribani miezi 7 sasa, lakini cha kushangaza kila siku asubuhi nikiwa naoga bafuni kwa ajili ya kujiandaa kwenda kazini ni lazima nipige punyeto, ndugu zangu ebu nisaidieni nini tatizo; nifanyeje ili niache tabia hii??
Wewe subiria tu! kama unavyoingoja siku yako ya kufa kwa kuwa hakuna mwanasayansi aliyeweza kukuthibitishia itakua lini
Atakuwa mwathirika wa hii kitu anataka ushindwe kuthibitisha abariki kamchezo hako
Punguza gharama upate michongo siyo kujipiga selfie.Je ukitumia vidole navyo vinaharibu uzazi au vinalegeza uke?
Ha ha ha nilidhani unakuja na fact kumbe porojo, leta evidence bibie!
nisaidie kirefu cha chaputa tafadhaliHahaha CHAPUTA
inawezekana bint kujitoa ubikira kwa punyeto?
acha utani,peni? utakuwa una utaniInategemea anapiga na nini.... kama anatumia mshumaa au peni unadhani itabaki kweli?
Wewe nimekwambia subiri umeshindwa kusubiri kalale
Teh teh..haya Douta..Nilipatwa na wasiwasi aisee lolHahaha daddy selfie yangu ni ile ya kujiphotoa na simu
Mi nachunwa na kula broUnaukumbuka wimbo wa Ngwair na Mchizi Mox?
Wewe unachunwa wanakula wengine, shtuka bro.
acha utani,peni? utakuwa una utani
Nilimaanisha kama anawezavumilia maumivu ya kukatika hymen(yeye mwenyewe ajikate)
Endelea tu braza uje kusaidiwa mke wako..........wadau salamu ziwafikie;
nimeoa takribani miezi 7 sasa, lakini cha kushangaza kila siku asubuhi nikiwa naoga bafuni kwa ajili ya kujiandaa kwenda kazini ni lazima nipige punyeto, ndugu zangu ebu nisaidieni nini tatizo; nifanyeje ili niache tabia hii??