Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Wewe subiria tu! kama unavyoingoja siku yako ya kufa kwa kuwa hakuna mwanasayansi aliyeweza kukuthibitishia itakua lini
Atakuwa mwathirika wa hii kitu anataka ushindwe kuthibitisha abariki kamchezo hako
 
wadau salamu ziwafikie;

nimeoa takribani miezi 7 sasa, lakini cha kushangaza kila siku asubuhi nikiwa naoga bafuni kwa ajili ya kujiandaa kwenda kazini ni lazima nipige punyeto, ndugu zangu ebu nisaidieni nini tatizo; nifanyeje ili niache tabia hii??
Kwani kuna madhara mengine unayapata kutokana na hii kitu au unataka tu kuacha ila haikuathiri chochote?
 
Inategemea anapiga na nini.... kama anatumia mshumaa au peni unadhani itabaki kweli?
acha utani,peni? utakuwa una utani

Nilimaanisha kama anawezavumilia maumivu ya kukatika hymen(yeye mwenyewe ajikate)
 
Wewe nimekwambia subiri umeshindwa kusubiri kalale

Basi tuache hizo point zooooote kwa maana hauna scientific evidence yoyote....toa 'evidence' ya point yako ya kwanza tu...punyeto ina haribu kizazi!. Inaharibu vipi? Na madhara yanayoweza kutokea baada ya kizazi kuharibika ni yepi?. Je takwimu zinasemaje kuhusiana na punyeto na kuharibika kwa kizazi?
 
wadau salamu ziwafikie;

nimeoa takribani miezi 7 sasa, lakini cha kushangaza kila siku asubuhi nikiwa naoga bafuni kwa ajili ya kujiandaa kwenda kazini ni lazima nipige punyeto, ndugu zangu ebu nisaidieni nini tatizo; nifanyeje ili niache tabia hii??
Endelea tu braza uje kusaidiwa mke wako..........
 
Back
Top Bottom