Ahsante!
 
Nafurahi kuona jitahada nyigi zikifanyika kunusulu wapiga punteto ambapo sasa unatambua kuwa nazo hizo njia zinasaidia ikiwa kama muathilika atakuwa ameaandaliwa kiroho.
 
Yote ni sawa kwani wapo walioacha baada ya kuoa. Maana yake ni kwamba walipata mtu wa kukizi haja zao pale inapoitajika.
 

Nina wiki moja toka niache ila leo imenibana kazini ikabidi nipige moja.ila nitaendelea kuwa bize zaidi ili niache
 

Mungu anisamehe nimeacha
 
vipi wife alirudi au na wewe umeanza kupiga puchu

hahahaha just jocking
 
Wapiga pinyeto msimu huu wa baridi nawashauri musmke mapema,oga maji naridi uhakikishe dushe linalala,alafu wahi kazini taratibu utaacha kupiga puchu
 
Shukran kwa neno lako, ni wiki sasa cjafanya hiki kitendo.... Nipeni ujuzi zaid ili niendelee kuikimbia hii dhambi
hongera najitahidi ifike mwezi,miezi miaka mwisho unasahau mazima mi nina miez 6 nataka mwaka uishe nijipokeze miaka ipite,
punyeto ni mbaya sana ukirudia eta itakuja kukufanya ujichukie
 
Wiki kama mbili imeniaibisha hadi nikaona noma... Yaani mashine iligoma kusimama vzur had kuvaa condom inakuwa shida..... Nimekomaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…