Punyeto ni nini na nini madhara yake?
kuacha inawezekana ila unatakiwa uanze kama mvutaj wa sigara anavuta parkt moja kwa siku ila anapoanza kuacha kwa siku ana jitahd anavuta sigara tatu nne mwshon anaacha kabisha ndivyo ilivyo kwahyo kama kwa siku unaenda mara tatu nne bac kwa maandalizi ya kuacha kwanza tia nia ya kupunguza kufanya hvyo kisha punguza baada ya kuona unapunguza kwa idadi uliokuwa unaenda bac tia tena nia ya kuacha kisha weka mazingira ambayo pind utakapo hic ile hali bac badilisha mazingira kama ukondan toka nje na kama usiku bas amka ruka kachura mpaka utakapo hic magot yamechoka bac utakuwa umekwepana na hali kama hyo ushaur wangu kwa uelewa wangu ndio huo@asante kwa mleta mada inayogusa vijana:
Ahsante kwa ushauri.
 
Mkuu hayo mazoezi yanakuaje au unayafanya kwa mtindo upi? Naoma ufafanuzi kidogo, nimeipenda hii.
Kegel exercises ni mazoezi yanayohusisha msuli uitwao PC muscle(puboccocygeus muscle) unaocontrol kutoka kwa mkojo,ejaculatio(kupizi) na uimara wa uume wako.
Kitu cha kwanza kabisa ni lazima uujur huu msuli na sehemu ulipo.
Njia pekee ya kuutambua huu msuli ni hii, pale unapotoa haja ndogo jaribu kuukata mkojo, utahisi kama vile anus imekaza hivi na uume unakua umekaza.. huo msuli unaokua umekaza ndio PC muscle..
Sasa jinsi ya kufanya mazoezi na huu msuli ndo tunaita KEGEL EXERCISE.
Unachotakiwa kufanya:
1. Bana msuli huu kwa sekunde 3 kisha pumzika kwa sekunde 3 tena. Fanya hivo mara kumi.
2. Bana msuli kwa sekunde tano kisha pumzika kwa sekunde 5..
Fanya hivo mara kumi tena. Endelea kuongeza muda wa kubana kadri unapozidi kuzoea ila muda wa kupumzika usizidi sekunde 5.
Kadri unapoweza kubana kwa muda mrefu, ndo msuli mambo yanazidi kua mazuri na utaona mwenyewe tu perfomance yako kitandani.

NOTE:
~Wakati unabana hakikisha misuli ya mapaja, makalio na tumboni iko relaxed kabisa na isihusike.
~Usifanye zaidi ya mara tatu kwa siku.
 
Ulipiga kwa mda gani, na ulivyoacha ulirudi kawaida baada ya mda gani??
punyeto nilipiga kwa miaka 11 nabaada ya kuacha ndani ya miezi sita nikaanza ona mabadiliko kidogo angalau na ninaendelea kufanya kegel exercise nakula vizuri,sina stress natumaina nitarudia hali ya kawaida as soon as possible
 
punyeto nilipiga kwa miaka 11 nabaada ya kuacha ndani ya miezi sita nikaanza ona mabadiliko kidogo angalau na ninaendelea kufanya kegel exercise nakula vizuri,sina stress natumaina nitarudia hali ya kawaida as soon as possible
Mkuuu me nimepiga kwa miaka 9 lakini ku recover aiseee inahitaji maamuzi magumu zaidi ya jambazi..kwanza kuacha punyeto pili mazoezi kula vizuri usiwe na stress..... lkn inachukua mda siyo kazi ya siku moja.
 
Mkuuu me nimepiga kwa miaka 9 lakini ku recover aiseee inahitaji maamuzi magumu zaidi ya jambazi..kwanza kuacha punyeto pili mazoezi kula vizuri usiwe na stress..... lkn inachukua mda siyo kazi ya siku moja.
mi juzi kati hapa nilijaribu game nikawaza yasije kunitokea kama yale ya mwanzo kumuacha mtoto wa watu hewani,so nikalewa konyagii nitoe hofu nikaenda shivas kununua kahaba ili nisihaibikelikua mara yangu ya kwanza kufanya huo uchafu.
nilitembea na game fresh kabisa usku kama goli 4 lakini asubuhi dushee iligoma kushtua tena!

punyeto mbaya sana anayepiga aache.atakuja juta
 
Kegel exercises ni mazoezi yanayohusisha msuli uitwao PC muscle(puboccocygeus muscle) unaocontrol kutoka kwa mkojo,ejaculatio(kupizi) na uimara wa uume wako.
Kitu cha kwanza kabisa ni lazima uujur huu msuli na sehemu ulipo.
Njia pekee ya kuutambua huu msuli ni hii, pale unapotoa haja ndogo jaribu kuukata mkojo, utahisi kama vile anus imekaza hivi na uume unakua umekaza.. huo msuli unaokua umekaza ndio PC muscle..
Sasa jinsi ya kufanya mazoezi na huu msuli ndo tunaita KEGEL EXERCISE.
Unachotakiwa kufanya:
1. Bana msuli huu kwa sekunde 3 kisha pumzika kwa sekunde 3 tena. Fanya hivo mara kumi.
2. Bana msuli kwa sekunde tano kisha pumzika kwa sekunde 5..
Fanya hivo mara kumi tena. Endelea kuongeza muda wa kubana kadri unapozidi kuzoea ila muda wa kupumzika usizidi sekunde 5.
Kadri unapoweza kubana kwa muda mrefu, ndo msuli mambo yanazidi kua mazuri na utaona mwenyewe tu perfomance yako kitandani.

NOTE:
~Wakati unabana hakikisha misuli ya mapaja, makalio na tumboni iko relaxed kabisa na isihusike.
~Usifanye zaidi ya mara tatu kwa siku.
Ahsante sana umeeleweka vyema.
 
Imewahi kunitokea hii, mtoto alikua ananielewa sana, kalipia lodge, kanunua msosi, nimemuandaa fresh umefika mda wa tukio ngoma holaa hata kondom haivaliki, nililala nae mpaka asubuhi bila kufanya chochote, niliona aibu sana, pia nilimhurumia sana kumpandisha hisia halafu nikamuacha hewani.. ilibidi nimtafutie sababu ili nimuache coz ningemtesa zaidi , mpaka leo ni mwak sijajihusisha na mapenzi tena kwani bado naogopa aibu.
Kamchezo najitahidi kuacha,nakula vizuri, nafanya kegel mara mojamoja na mazoezi mengine.. ingawa sometimes napitiwa nastua, ila najitahidi sana kuacha, kiukweli tumuombe sana Mungu atuepushe na hii kitu sio nzuri kabisa,Maisha yangu yamekua ya mawazo sana sababu ya hiki kitu kila nikifikiria najiona mwenye hatia sana, naona namkosea Mungu, pia nawakosea wanawake kwani wapo wanaonihitaji ila nawakwepa kukwepa aibu, mpaka kazini kwangu wananishangaa kwani sina mahusiano na wanawake kabisa, jamani TUACHE na kama hujaanza usiingie.
Pole sana ila jaribu mara kwa mara wanawake usiogope aibu.
 
Acha kusema eti hii punyeto ni ya mwisho

Siku zote wapiga punyeto wana akili moja ya kufikiria eti sasa leo napiga afu sirudii tena. Hicho kitu hakipo, kwani kesho yake utasema ivoivo, kama unaacha acha mara moja.


Ahahahaha!!! HII NI KWELI KABISA. LEO TAREHE 06/07/2016 SIKU YA EID, Napiga ya mwisho kabisa. Na ninaacha!
 
Back
Top Bottom