[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] khaaaaaa..
 
Kweli wewe ni mpiga nyeto.
 
Nikuambie kitu man haujalazimishwa kuacha ww endelea tu tena zidisha doz utaacha bila kulazimiashwa utajikuta ushachelewa
 
Mimi Huwa naota nafanya mapenzi lakini dalili zingine hizo sina
Je na mimi nitakua nae au ni Kawaida tu?
Lakini mimi sijawahi kufanya mapenzi na mwanamke
Ila nimeshawahi kupiga punyeto kama ya mtoa mada hapo kwa miaka 8
Lakini nimeshaacha kupiga punyeto huu mwezi wa 7 sasa
Lakini kipindi nilipokua napiga punyeto nilikua sioti
Nimeanza kuota baada ya kuacha
 
Masturbation sio mbaya kamwe, ask medical practitioners like Gynacologists and they will tell you masturbation has no negative effect in the body whatsoever. It does not cause Erectyle Dysfucntion

[emoji12][emoji12]
 
Habari wanajamii,

Kumekuwa na wimbi la wanaume wengi wakisema wamejihusisha na punyeto na kupata madhara, sasa nikawa najiuliza nini hatima ya hawa ndugu zetu maana sijawahi kuona watu wanatoa namana ya kurejea katika hali yao ya kawaida.
 
Ushaathirika na puchu nini mzee? Sasa unataka kurejea kama zamani. Hakuna kurejea yakhe ndo ushafunga ndoa na mkono wako pamoja na sabuni. Kila la heri.
Hahaaa nimeuliza tu mkuu, kwasababu watu wanazungumzia madhara lakini hawatoi tiba yake!! Mimi niko vzr na minguvu kibao naweza kukugawia kabisaaaaa
 
Spritually, punyeto ni roho chafu au pepo wachafu ambao humvaa mtu na kujikuta u mtumwa wa ngono kwa punyeto. Katika hali ya kawaida ni ngumu sana kuachana nayo, unaweza kuwa ulianza nayo kabla hujaoa lakini ukajikuta unaendelea nayo hata baadaya kuoa. Unaweza kujizui kwa kipindi kifupi lakini siyo kuacha, solution yake ni kwenda kanisani ufanyiwe maombi na roho hiyo chafu itakutoka na utarejea kwenye utimamu wako wa akili na mwili.

Amen!
 
Spritually, punyeto ni roho chafu au pepo wachafu ambao humvaa mtu na kujikuta u mtumwa wa ngono kwa punyeto. Katika hali ya kawaida ni ngumu sana kuachana nayo, unaweza kuwa ulianza nayo kabla hujaoa lakini ukajikuta unaendelea nayo hata baadaya kuoa. Unaweza kujizui kwa kipindi kifupi lakini siyo kuacha, solution yake ni kwenda kanisani ufanyiwe maombi na roho hiyo chafu itakutoka na utarejea kwenye utimamu wako wa akili na mwili.

Amen!
 
Mkuu nimeuliza tu sio mm ndio nina hilo tatizo lkn naimani watu wengi watajifunza kulingana na comments za hapa
 
Upweke ni kitu kibaya sana,
Ukiweza kukabiliana nao basi hata musterbation utakuwa umeshajitibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…