Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Mleta mada wacha ujinga huu.....asikudanganye mtu PUNYETO ni muhimu na ina faida sana katika mwili wa binadamu. Mimi wala siachi hata unitishie vipi. Naishi peke yangu, kuna siku nazidiwa usiku mpaka nashindwa kulala inanibidi nijichue ili nipate usingizi. Sasa wewe unataka niache kiburudisho changu kwa nini, una akili kweli wewe? Shame on you.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] khaaaaaa..
 
Mleta mada wacha ujinga huu.....asikudanganye mtu PUNYETO ni muhimu na ina faida sana katika mwili wa binadamu. Mimi wala siachi hata unitishie vipi. Naishi peke yangu, kuna siku nazidiwa usiku mpaka nashindwa kulala inanibidi nijichue ili nipate usingizi. Sasa wewe unataka niache kiburudisho changu kwa nini, una akili kweli wewe? Shame on you.
Kweli wewe ni mpiga nyeto.
 
Mleta mada wacha ujinga huu.....asikudanganye mtu PUNYETO ni muhimu na ina faida sana katika mwili wa binadamu. Mimi wala siachi hata unitishie vipi. Naishi peke yangu, kuna siku nazidiwa usiku mpaka nashindwa kulala inanibidi nijichue ili nipate usingizi. Sasa wewe unataka niache kiburudisho changu kwa nini, una akili kweli wewe? Shame on you.
Nikuambie kitu man haujalazimishwa kuacha ww endelea tu tena zidisha doz utaacha bila kulazimiashwa utajikuta ushachelewa
 
John Ezekiel

Kwa njia hiyo bila ya kujigusa uume wako ni nzuri lakini unamkaribisha Jini Mahaba apate kukutawala na ukikubw ana jini Mahaba uka eukijuwa Maisha yako yataharibika kabisa utakuw ani masikini wa kutupwa na Wanawake watakukimbia hutoweza kuowa tena katika maisha yako.

MJUE JINI MAHABA NA DALILI YAKE





NI NANI JINI MAHABA (AASHIQ DJINN )

unapoongelea juu ya jini mahaba basi unaongelea jambo muhimu na gumu, kwani majini wapo aina karibia 660, na kila jamii ina kuwa na mifumo yake pindi awapo mahaba.
jini mahaba si jini maalum kusema huyu ni mahaba,
mfano sisi binaadamu hatuna kabila maalumu kwamba hawa ni watu tabia mbaya, ila tabia mbaya huwa kwa mtu mwenyewe ni kwa kabila.
pia jini mahaba si jini maalum kuwa huyu ni mahaba ila majini wote waoi wahuni miongoni mwao ambao husumbua maisha ya wanadamu.

DALILI ZA KUJUA UNA JINI MAHABA



1) Kuwa na hasira zisio na sababu

2) kutokuwa hamu ya jimai

3) kupata maumivu na na michubuko katika jimai

4) kuchoka sana wakati wa jimai.

5) kumchukia mwenza wako pindi anapo kuwa karibu na wewe.
huyu ni JINI SUBIANI.
6) kukosa hedhi

7) kupata hedhi kwa miezi miwili hadi mitatu

8) kuumwa chango au ngiri mara kwa mara

9) kushindwa kumwaga manii ufanyapo jimai

10) kuingia na kumwaga manii haraka sana
huyu ni jinni UMMU MULDAMI.
11) kupoteza ladha ya jimai katikati ya tendo

12) kuishiwa nguvu haraka

13) kupatwa maumivu makali ya tumbo wakati ukifanya jimai

14) Kuto kuona ladha yeyote na mwanamke kushindwa kutoa ute na kumpa maumivu
huyu ni JINI JALWUSH
tibazakissuna.blogspot.com


15) Kuto kubeba mimba



16) Kujaa maziwa kama mjamzito

huyu ni UMMU SUBIANI

17) Kuota Unapaa


18) Kuharibika Mimba kaabla ya Miezi Minne

19) Chunus zisizo SIKIA DAWA

20) Kuchukia kutongozwa na kuto hitaji ndoa
huyu ni JINI TWAYR {qarnail}


21) Kuto tosheka na jimai

huyu ni MAYMUNA

22) Mtoto kumuogopa mama yake


23) Kuota unafanya mapenzi ndani ya usingizini ukiwa ni Mwanamke au mwanaume.

24) Mama kuto toa maziwa akijifungua

25) Mtoto kupatwa degedege.
huyu ni MAKATA WA MAKATANI.

Dalili ni nyingi kulingana na aina ya jini anaye kusumbua.

UKIWA NA SWALILOLOTE NITAFUTE KWA KUBONYEZ HAPA.
Mawasiliano
Mimi Huwa naota nafanya mapenzi lakini dalili zingine hizo sina
Je na mimi nitakua nae au ni Kawaida tu?
Lakini mimi sijawahi kufanya mapenzi na mwanamke
Ila nimeshawahi kupiga punyeto kama ya mtoa mada hapo kwa miaka 8
Lakini nimeshaacha kupiga punyeto huu mwezi wa 7 sasa
Lakini kipindi nilipokua napiga punyeto nilikua sioti
Nimeanza kuota baada ya kuacha
 
Masturbation sio mbaya kamwe, ask medical practitioners like Gynacologists and they will tell you masturbation has no negative effect in the body whatsoever. It does not cause Erectyle Dysfucntion

[emoji12][emoji12]
 
Habari wanajamii,

Kumekuwa na wimbi la wanaume wengi wakisema wamejihusisha na punyeto na kupata madhara, sasa nikawa najiuliza nini hatima ya hawa ndugu zetu maana sijawahi kuona watu wanatoa namana ya kurejea katika hali yao ya kawaida.
 
Ushaathirika na puchu nini mzee? Sasa unataka kurejea kama zamani. Hakuna kurejea yakhe ndo ushafunga ndoa na mkono wako pamoja na sabuni. Kila la heri.
Hahaaa nimeuliza tu mkuu, kwasababu watu wanazungumzia madhara lakini hawatoi tiba yake!! Mimi niko vzr na minguvu kibao naweza kukugawia kabisaaaaa
 
Spritually, punyeto ni roho chafu au pepo wachafu ambao humvaa mtu na kujikuta u mtumwa wa ngono kwa punyeto. Katika hali ya kawaida ni ngumu sana kuachana nayo, unaweza kuwa ulianza nayo kabla hujaoa lakini ukajikuta unaendelea nayo hata baadaya kuoa. Unaweza kujizui kwa kipindi kifupi lakini siyo kuacha, solution yake ni kwenda kanisani ufanyiwe maombi na roho hiyo chafu itakutoka na utarejea kwenye utimamu wako wa akili na mwili.

Amen!
 
Spritually, punyeto ni roho chafu au pepo wachafu ambao humvaa mtu na kujikuta u mtumwa wa ngono kwa punyeto. Katika hali ya kawaida ni ngumu sana kuachana nayo, unaweza kuwa ulianza nayo kabla hujaoa lakini ukajikuta unaendelea nayo hata baadaya kuoa. Unaweza kujizui kwa kipindi kifupi lakini siyo kuacha, solution yake ni kwenda kanisani ufanyiwe maombi na roho hiyo chafu itakutoka na utarejea kwenye utimamu wako wa akili na mwili.

Amen!
 
Spritually, punyeto ni roho chafu au pepo wachafu ambao humvaa mtu na kujikuta u mtumwa wa ngono kwa punyeto. Katika hali ya kawaida ni ngumu sana kuachana nayo, unaweza kuwa ulianza nayo kabla hujaoa lakini ukajikuta unaendelea nayo hata baadaya kuoa. Unaweza kujizui kwa kipindi kifupi lakini siyo kuacha, solution yake ni kwenda kanisani ufanyiwe maombi na roho hiyo chafu itakutoka na utarejea kwenye utimamu wako wa akili na mwili.

Amen!
Mkuu nimeuliza tu sio mm ndio nina hilo tatizo lkn naimani watu wengi watajifunza kulingana na comments za hapa
 
Upweke ni kitu kibaya sana,
Ukiweza kukabiliana nao basi hata musterbation utakuwa umeshajitibu
 
Back
Top Bottom