Sasa punyeto na Mungu wapi na wapi tena!!!Kupiga punyeto ni kumkufuru mungu!! acha kama uko miongoni mwa waathirika.
hakuna madhara yoyoteNa kwa wanawake je? Tujue madhara ili wengine tujitahidi kuacha
inakuuma nini?Mkuu unapaswa kuwa wakala wa kukomesha hali hii na siyo kupromote!! Stop that habit
Afadhali! Coz duu!hakuna madhara yoyote
na wewe unapiga punyeto mamy?Afadhali! Coz duu!
Hivi km mtu huna mpenzi ufanyeje?
Hapo siwezi kupakwepa aisee!na wewe unapiga punyeto mamy?
inakuuma nini?
kiroho safi nashukuru ujumbe umefika nimesikia na nitafuata na namuomba mungu anisaidie katika thanks so much broo
Tumekuelewa watakao fuata na wafuate kila mtu kimpango wake ujumbe umefikaTunapoteza watalamu wengi sana kwa kutokuwa na uwezo wa kubuni vitu kutokana na kuathirika na punyeto, hata ivyo punyeto si njia halali ya kufanya mapenzi (haikibaliki hata katika dini)
ila muanzisha mada mbona unajiita xxxxlevel?
hongera maana duh! kuna thread moja niliipitia jamaa anasema yy huu ni mwaka wa 20 yupo kwenye punyeto na haisi effect yeyotexxxxlevel ni neno linaloashilia kutoka xxxx ( danger zone) kwenda level (safe zone).
ilo nalo nenoKuhusu gharama binafsi nadhani ata punyeto bado inagharama maana Sabuni zinateketea sana.mche wa jamaa kwa wiki kwa mtu mmoja na vilevile kuwapiga wenzio exile ya bafuni na kusababisha utelezi bafuni
Huyu ameandika kiushabiki, huwezi kusema inasaidia kua muaminifu kwenye mahusiano alafu hii sababu useme ni ya kufikirika. Then mtoa mada anamshauri jamaa akatafute dada poa kulilk kupiga punueto, kweli jamani punyeto ni mbaya hivi kuliko ukimwi na magonjwa mengne ya zinaa. Huu uzi UNAPOTOSHA[emoji57] [emoji57]==> Faida zake ( Za kufikirika tu)
==> Hasara zake (Zimethibitishwa)
*** Unapoamua kujadili kitu na kutoa ushauri jaribu kutokuwa biased sana vinginevyo you unknowingly can defeat the whole purpose. Yaani hata faida za punyeto zilizo self evident kama kujikinga na magonjwa ya zinaa na urahisi wake economically nazo ni za kufikirika tu?