Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Kupiga punyeto ni kumkufuru mungu!! acha kama uko miongoni mwa waathirika.
Sasa punyeto na Mungu wapi na wapi tena!!!
Mi naamini ni moja ya njia salama ya kujiridhisha ki mwili tu.
*kila kitu kikizidi ndio huwa na madhara
 
Hivi km mtu huna mpenzi ufanyeje?


Unapaswa kutambua jambo moja, kuumizwa katika maisha ya leo ni jambo ambalo halikwepeki. Hivyo basi unapaswa kumuomba sana mungu ili akuepushe/kuyashinda matatizo yote yaliyokukabiri/yanayokubiri na yatakayokukabiri katika maisha yako ikiwemo kumuomba umpate mtu ambaye mtapendana kwa dhati.
 
kiroho safi nashukuru ujumbe umefika nimesikia na nitafuata na namuomba mungu anisaidie katika thanks so much broo
 
Tunapoteza watalamu wengi sana kwa kutokuwa na uwezo wa kubuni vitu kutokana na kuathirika na punyeto, hata ivyo punyeto si njia halali ya kufanya mapenzi (haikibaliki hata katika dini)
Tumekuelewa watakao fuata na wafuate kila mtu kimpango wake ujumbe umefika
 
kwa kweli punyeto haikubariki na naanza rasmi mapambano zidi ya punyeto nimeshatangaza hari ya hatari!
 
Kuhusu gharama binafsi nadhani ata punyeto bado inagharama maana Sabuni zinateketea sana.mche wa jamaa kwa wiki kwa mtu mmoja na vilevile kuwapiga wenzio exile ya bafuni na kusababisha utelezi bafuni
 
Kuhusu gharama binafsi nadhani ata punyeto bado inagharama maana Sabuni zinateketea sana.mche wa jamaa kwa wiki kwa mtu mmoja na vilevile kuwapiga wenzio exile ya bafuni na kusababisha utelezi bafuni
ilo nalo neno
 
==> Faida zake ( Za kufikirika tu)

==> Hasara zake (Zimethibitishwa)

*** Unapoamua kujadili kitu na kutoa ushauri jaribu kutokuwa biased sana vinginevyo you unknowingly can defeat the whole purpose. Yaani hata faida za punyeto zilizo self evident kama kujikinga na magonjwa ya zinaa na urahisi wake economically nazo ni za kufikirika tu?
Huyu ameandika kiushabiki, huwezi kusema inasaidia kua muaminifu kwenye mahusiano alafu hii sababu useme ni ya kufikirika. Then mtoa mada anamshauri jamaa akatafute dada poa kulilk kupiga punueto, kweli jamani punyeto ni mbaya hivi kuliko ukimwi na magonjwa mengne ya zinaa. Huu uzi UNAPOTOSHA[emoji57] [emoji57]
 
Kama ni punyeto basi mimi ni master! nimeanza punyeto kabla sijabalehe nadhani nina zaidi ya miaka 30 na punyeto.
Sidhani kama imeniathiri kimwili, japo nimeoa zaidi ya miaka 13 ya ndoa, mke hajanilalamikia kuwa nina uume mdogo, na pump napiga kama kawa.
Labda athari niliyoipata ni kutokuwa malaya, pia huwa sihangaiki na mademu, nikimtongoza mara moja akikataa kimpango wake sibembelezi kwanza nina mke.
Pia wakati fulani mke wangu akiwa hana mood ya ngono na mimi ninayo, najichua kiroho safi. Hayo tu.
 
Back
Top Bottom