ww utakiwa mwanaume wa dar na mbaya zaidi ni mwanafunzi wa UDOM.umeweka upupu usiokuwa na data kamili na ukijua hum kuna wahanga na wanachama wa CHAPUTA
 
hance mtanashati Mbona wapo vijana kibao wanaokufa kwa ajali

~Halafu tuwekee hapa idadi ya vifo kwa mwaka wanao kufa kwa kupinga punyeto

~Na idadi ya wanao kufa kwa ajali za barabarani!

~Na idadi ya wanaokufa kwa ukimwi nilinganishe!


Na je wanao piga puli tu ndiyo wanaokufa? hujui hata wew lazma uje ufe?

Kufa ni suala la mda tu! Usije ukaogopesha watu kwa mambo ya kijinga
 
Kufa sawa tutakufa ila punyeto inapelekea kifo cha haraka zaidi, hivi ujawahi kusikia kesi za mara za watu wanaokufa ghafla kisa puli??
 
Kuanzia leo sifanyi tena punyeto
Vizuri fanya hivyo kijana , kamwe usijefatisha wajinga wajinga wa humu ambao bila aibu wanasifia ujinga wao wa kupiga puli,




Kwanza upigaji wa puli ni mambo ya kitoto sana, sasa inakua ajabu jitu linafunguka waziwazi eti " mimi nina miaka 30+ na nipo kwenye ndoa lakini napiga puli" hivi mtu kama huyo unamuona yupo sawa kweli kiakili??
 
Habari Wadau!
Tumeona Vijana Wengi Wakilalamika Kupungukiwa Na Nguvu Za Kiume Humu Ndani, Na Suluhisho Lake 60% Ya Maoni Ya Watu Wanashauri Wanaume Waache Kabisa Kupiga Punyeto, Sasa Swali Langu Ni Muda Gani Uume Unaweza Kurudi Katika Ubora Wake Mara Baada Ya Kuacha Punyeto?

Lengo La Kuuliza Hili Swali Ni Kuwataka Vijana Kuwa Wavumilivu Mara Baada Ya Kuacha Punyeto, Maana Wengine Wanaacha Punyeto Wakiona Hakuna Mabadiliko Chanya Wanakimbilia Kubugia Makemikali Mfano Viagra Na Kasongo Madawa Ambayo Yanaweza Kuwaletea Madhara Makubwa Kuliko Ilivyokuwa Mwanzo.
Naomba Kuwasilisha
 
pole sana mkuu kwa hilo tatizo .inategemeana naww mwenyewe ktk kuzingatia mashart na tiba.usione aibu kusema kuwa niww hili janga la wengi.asante
 
Kusex mara moja na kupiga bao moja ni sawa na kukimbia kilomita 7 na unakiwa umejipunguzia siku 3 za kuishi, sorry naomba uniambie mtu aliepiga nyeto moja na mtu alie sex tofauti yao ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…